Huawei kuzindua mfumo wake wa uendeshaji simu janja mbadala wa Android

Sio android sema anatumia apps tumizi za android,ila mfumo endeshi ni wa Huawei na sio Google
Ni android mkuu, ingia link Niliyo weka huko juu, ni kitu ambacho kipo proved Harmony os ni android.
 
Mkuu mimi sio mtaalam kabisa wa IT,lakini nasikia hata Android Os kuna vitu vya linux. Na hata Windows Os pia. Kwa mtazamo wangu naona pengine ni njia ya kuwavuta wateja wajue kuwa kumbe Harmony Os ni Android tu,ili baadaye warekebishe kidogo kidogo na hatimaye kujitegemea kabisaaaaa.
Android inatumia Linux kernel na sio software.

Walichofanya Huawei almost developer yoyote anaweza fanya wame fork tu android, kuna maelfu ya Custom rom ya natumia njia hii ni halali na wala haina tatizo. Even Amazon Ana fire os kwenye TV box na tablets zake ni fork ya Android.

Tunachosema na kupinga sisi ni claim ya Huawei kwamba Harmony os imetengenezwa from scratch, na sio fork ya Android kitu ambacho ni uongo na wanadanganya.
 
Mimi nadhani hapa watachemka kupenya kwenye soko bila google services
 
Android inatumia Linux kernel na sio software.

Walichofanya Huawei almost developer yoyote anaweza fanya wame fork tu android, kuna maelfu ya Custom rom ya natumia njia hii ni halali na wala haina tatizo. Even Amazon Ana fire os kwenye TV box na tablets zake ni fork ya Android.

Tunachosema na kupinga sisi ni claim ya Huawei kwamba Harmony os imetengenezwa from scratch, na sio fork ya Android kitu ambacho ni uongo na wanadanganya.
Mkuu kama code ni zile zile license ya kutumia katoa wapi? Tunajua Android iko huru
 
Android inatumia Linux kernel na sio software.

Walichofanya Huawei almost developer yoyote anaweza fanya wame fork tu android, kuna maelfu ya Custom rom ya natumia njia hii ni halali na wala haina tatizo. Even Amazon Ana fire os kwenye TV box na tablets zake ni fork ya Android.

Tunachosema na kupinga sisi ni claim ya Huawei kwamba Harmony os imetengenezwa from scratch, na sio fork ya Android kitu ambacho ni uongo na wanadanganya.
Nimekuelewa mkuu. Ngoja simu zao zije tuone.
 
Mimi nadhani hapa watachemka kupenya kwenye soko bila google services
Mkuu kwa kule kwao china google services haina kazi kabisa. Labda soko la dunia. Lakini hata huko nako developers wengi tu wa apps wako bize kuhakikisha apps zao zinafanya kazi kwenye harmony Os.
 
Mimi nadhani hapa watachemka kupenya kwenye soko bila google services
Pia makampuni yao karibia yote utayaona yanatumia harmony Os kwa pale china na hata baadaye internationally. Hiyo itafanya developers kuvutiwa.
 
Mkuu mimi sio mtaalam kabisa wa IT,lakini nasikia hata Android Os kuna vitu vya linux. Na hata Windows Os pia. Kwa mtazamo wangu naona pengine ni njia ya kuwavuta wateja wajue kuwa kumbe Harmony Os ni Android tu,ili baadaye warekebishe kidogo kidogo na hatimaye kujitegemea kabisaaaaa.
Android ni linux based OS linafahamika kuwa android ina linux kernel.

Linux Os zingine kuna ubuntu, opensuse, fedora, debian, linux mint, sailfish, tizen ya samsung nk.
Operating system nyingi siku hizi hazitengenezwi from scratch kwa sababu ni gharama hata IOS inatumia kernel ya MacOS(Darwin kernel) ambayo kiasilia ni UNIX.

Windows hazitumii linux bali wana kernel zao weneyewe.

Kwa upande wa Huawei, walisema Harmony os haitatokana na android kabisa na itakuwa fasta kuliko android na watu waliamini sababu wana mtaji mkubwa.
Inashangaza kuwa OS inatokana na AOSP(Android Open Source Project).

Na ishu sio kuwa Huawei anatumia hiyo njia ya kuvuta watu bali hili lilitokana na developer alijaribu kutengeneza app ya hello world inayotaerget toleo la zamani la android kit kat na akagundua kuwa ujumbe wa harmony os na kit kat unafanana
photo_2020-12-18_20-51-57.jpg



Point ya Huawei kuvutia wateja kwa Huwai ni kuwa Harmony itakuwa fasta kuliko android
 
Android ni linux based OS linafahamika kuwa android ina linux kernel.

Linux Os zingine kuna ubuntu, opensuse, fedora, debian, linux mint, sailfish, tizen ya samsung nk.
Operating system nyingi siku hizi hazitengenezwi from scratch kwa sababu ni gharama hata IOS inatumia kernel ya MacOS(Darwin kernel) ambayo kiasilia ni UNIX.

Windows hazitumii linux bali wana kernel zao weneyewe.

Kwa upande wa Huawei, walisema Harmony os haitatokana na android kabisa na itakuwa fasta kuliko android na watu waliamini sababu wana mtaji mkubwa.
Inashangaza kuwa OS inatokana na AOSP(Android Open Source Project).

Na ishu sio kuwa Huawei anatumia hiyo njia ya kuvuta watu bali hili lilitokana na developer alijaribu kutengeneza app ya hello world inayotaerget toleo la zamani la android kit kat na akagundua kuwa ujumbe wa harmony os na kit kat unafanana
photo_2020-12-18_20-51-57.jpg



Point ya Huawei kuvutia wateja kwa Huwai ni kuwa Harmony itakuwa fasta kuliko android
Barikiwa sana kwa ufafanuzi mzuri
 
Mkuu kama code ni zile zile license ya kutumia katoa wapi? Tunajua Android iko huru
Kwenye Android ipo makundi mawili
-Aosp ambayo hii ni open source hii mtu yoyote anaweza kuitumia bure. Hii haina Google service
-Oha version ambayo Google na partners wake wanatumia hii inakuwa na Google services.

Hio Aosp wanaofork kama custom rom developers na makampuni kama Huawei na Amazon ndio wanatumia, na wao wana namna yao ya ku distribute apps tofauti na playstore.
 
Back
Top Bottom