Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,761
- 5,039
Mauzo ya simu za Apple nchini China yameshuka na dalili zinaonesha yataendelea kushuka mwaka huu wa 2024, kwa mujibu wa utafiti wa Jefferies.
Mauzo ya iPhone 15 series hayakuwa mazuri tangu mwanzo, na hii imepelekea mauzo ya Apple yashuke kwa 30%
Upande mwingine mauzo ya Huawei yamekuwa kwa asilimia kubwa sana na hii ni kwa sababu ya Huawei Mate 60 series ambazo zimepata mafanikio makubwa mno nchini humo
Uzinduzi wa iPhone 15 series ulifanyika wiki mbili tu baada ya kuzinduliwa kwa Huawei Mate 60 series. Utafiti wa Jefferies unadai kwamba uzalendo wa Wachina wengi ndio umepelekea watu wengi wahamasike kununua hizi flagship za Huawei zenye chipset ambayo imetengenezwa nyumbani kwao hapohapo (Huawei Kirin 9000S) ambazo tayari zimeshatolewa details za kutosha na kampuni yenyewe
Jefferies inakadiria kuwa Huawei wameuza takribani simu milioni 35 ambazo inasadikika wangeuza nyingi zaidi kama kusingekuwa na shortage of supply.
Kushuka huku kwa asilimia 30 za mauzo ya Apple kunatarajiwa kuendelea zaidi mwaka huu. Deals kibao za kupata iPhones kwa bei za chini nchini China zimeonekana sehemu nyingi mitandaoni wiki iliyopita. Lakini licha ya bei rahisi za simu hizi bado mauzo yao hayaja-improve
Mauzo ya iPhone 15 series hayakuwa mazuri tangu mwanzo, na hii imepelekea mauzo ya Apple yashuke kwa 30%
Upande mwingine mauzo ya Huawei yamekuwa kwa asilimia kubwa sana na hii ni kwa sababu ya Huawei Mate 60 series ambazo zimepata mafanikio makubwa mno nchini humo
Uzinduzi wa iPhone 15 series ulifanyika wiki mbili tu baada ya kuzinduliwa kwa Huawei Mate 60 series. Utafiti wa Jefferies unadai kwamba uzalendo wa Wachina wengi ndio umepelekea watu wengi wahamasike kununua hizi flagship za Huawei zenye chipset ambayo imetengenezwa nyumbani kwao hapohapo (Huawei Kirin 9000S) ambazo tayari zimeshatolewa details za kutosha na kampuni yenyewe
Jefferies inakadiria kuwa Huawei wameuza takribani simu milioni 35 ambazo inasadikika wangeuza nyingi zaidi kama kusingekuwa na shortage of supply.
Kushuka huku kwa asilimia 30 za mauzo ya Apple kunatarajiwa kuendelea zaidi mwaka huu. Deals kibao za kupata iPhones kwa bei za chini nchini China zimeonekana sehemu nyingi mitandaoni wiki iliyopita. Lakini licha ya bei rahisi za simu hizi bado mauzo yao hayaja-improve