HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
naomba kuunga tela!!!!
Aisee itakuwa poa sana, maana wkend hii niko mwenyewe tuuuu, kwa hiyo wapi, Mtambuzi pub?
Last edited by a moderator:
naomba kuunga tela!!!!
Natamani kulewa, lol!
Njoo tulewe woteee nami nina matamanio kama yako lol (joke)
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wine na kucheza mziki na mume wangu (making love all night long in front of a fireplace ) wanangu wanakwenda kwenda kuona hockey game na babu Yao .uhh I can't waitRatiba yangu ita alternate between kufua, kupika na kumuangalia baby wangu. Kazi zingine dada atafanya. Jioni nitatafuta muda baby akiwa amelala nifanye mazoezi. Halafu nitasoma vitabu, nitaperuse JF na kucheki movies. I will be very happy. Wewe je?
Wine na kucheza mziki na mume wangu (making love all night long in front of a fireplace ) wanangu wanakwenda kwenda kuona hockey game na babu Yao .uhh I can't wait
AH MI MAGUVU GUVU NA MAMISULI !UNAFIKIRI NATAKA!?ah wapi wish like nipate mp3 ya nyimbo za michael bolton tu!nisikilize mwanzo mwisho! BAK hebu do ze nidful!
japo nipatia ka wimbo ka moja ka dream husky voice wangu!lol
wenyewe Walingala huwa wanasema "kutomboka"
eiyer unaumwa?
Kesho, nitafanya kazi ya kumfundisha new maid kutengeneza juice, na kupika; baadaye kama weather ikiruhusu, nitaenda swimming na my son ambaye amekuja likizo. Jumapili ni church, then watching emmanuel TV na kumalizia viporo vya ufisini!
In a tent, in the rainy forest, hundreds of kilometers from any "civilisation" (but with JF, somehow he he he he)
pole braza. Kama vipi njoo home tusikilize reggae za bob afu unipeleke mahali (dereva wa bure nani hataki kwi kwi kwi)Kuna mambo haziko mukinga,but i'll fix dat hopefully!
wifi, mwanangu anaendeleaje? Ile kesi iliisha salama eeh? Hebu mlete bwana uncle wake Paw amfundishe kung fu na mie nimpe busara zangu huku tunaswim. Wewe nenda spa leo ama saluni.
Hahahaha, this is for real my dear. Hayo mengine ni fiction tu, kuchangamsha baraza. ( #NaniKanuna ? )msalimie fulani. Hivi nyumbani uliomba ruhusa ama umetoroka. Manake wewe!
hahahah!!yeah,c u therrr!!!ntakutambuaje jaman?lol
my guess? You will spend sunday afternoon in the arms of the one who loves you.
orait....nilikuja......lakini mazingira hayakunifariji nikaondoka....khaaaa!!.....kwa nini wasingepigia nje.......waliniuzi.......
me too. Mtori stage nishapita but ze mugongo bana is bringing shidaz.