Hivi Hawa jamaa hawaoni haya.... hata kama ni kukomaa sio kiiivyo... wajiuzulu bwana tushachoka na type hizi za viongozi..uzembe huu wa sasa hauvumiliki...Hivi mwinyi hajifunzi kutoka kwa Baba yake mwaka 1972 alijiuzulu na heshima yake ikabaki palepale...watuachie nchi yetu bwanaa..
Mwendapole
Mwendapole