Sometimes vitu kama Igunga Issue vinaboa na kupoteza muda . We are waiting for action and not a lot of discussions
Got me? Get prepared guys this is Tanzania
"Kama vyama vya tanzania vitaendelea kuendekeza mfumo wa kugawana madaraka hakika hatutakuwa na maendeleo ya kweli". Kama CDM wangewaacha madiwani Wa arusha bac tungeelekea kulekule kwenye serikali ya umoja wa kitaifa ya ZNZ ambayo dhahiri inawaumiza wananchi. "Demokrasia ya kweli lazima ifuate misingi ya haki si ulafi wa kugawana madaraka" Hongera cdm kwa maamuzi magumu.
hellow jf members.am very new hapa janvini lakini naanza na ombi ndugu zangu nimemaliza Bsc in property and facilities management naomba kama kuna mdau anaweza kuni connect sehemu ya professional yangu angalau nifanye internship.thanx in advance
I dont believe in superheroes rather i do believe in the extraodinary.i believe people can do the extraodinary out of the ordinary not outside the ordinary:Elimring moshi (0714112062)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.