How to track someone's phone?

How to track someone's phone?

Hili somo mkimaliza wakuu mje mtuletee mshindo nyuma, yaliojiri ili nasi wengine tujaribu!
4a1a87b80beb9a93646a33068242fca0.jpg
f64f27e1aabff11d79e1593a2d9fa3d3.jpg
9331b74116a7e8d01b60fe9fe691c3c1.jpg
5e4849b3ff0e1b4564c065f004f72fa0.jpg
 
Mayu asante kwa elimu murua, but naona kwa upande wako elimu ya tracking imeishia hapo ikiwa na maana Technology ipo zaidi ya hapo kwa hivi sasa au kabla ya hapo.

Huyu ni mmoja wa waTZ ambaye namuheshimu sana akiwa na ujuzi yawezekana kama wako, ila anachofanya kwa kutumia simu yake ndicho kimenifanya nione wewe umeishia nyuma sana.

Huyu jamaa simtaji jina aliniomba kujaribu kitu kidogo sana, mf. Aliniomba namba yangu akaniambia naweza kukupa details juu ya calls, sms, nk au kujua ninachofanya wakati wote pasipo kuishika simu yangu..!!

Kwa ufupi aliniambia kuna uwezekano wa kufuatilia kila afanyacho mtu hata kuzuia simu zisitoke/kuingia ili mradi uwe na ujuzi wa simu za kisasa/smartphone, ambazo zenyewe zina mifumo uliokuja nazo zaidi ya tunazo_install.

Kwa sasa ni hayo .....>>>>
 
Mayu asante kwa elimu murua, but naona kwa upande wako elimu ya tracking imeishia hapo ikiwa na maana Technology ipo zaidi ya hapo kwa hivi sasa au kabla ya hapo.

Huyu ni mmoja wa waTZ ambaye namuheshimu sana akiwa na ujuzi yawezekana kama wako ila unachofanya kwa kutumia simu yake ndicho kimenifanya nione wewe imeishia nyuma sana.

Huyu jamaa simtaji jina amenieleza na kujaribu kitu kidogo sana, mf. Nilimaanisha namba yangu akaniambia nikueleze nini juu calls, sms, nk au kujua unachofanya wakati wote pasipo kuishika simu yangu..!!

Kwa ufupi aliniambia kuna uwezekano wa kufuatilia kila afanyacho mtu hata kuzuia simu zisitoke/kuingia ili mradi uwe na ujuzi wa simu za kisasa/smartphone, ambazo wenyewe zina mifumo (uja nazo) zaidi ya hizo tunazo_install.

Kwa sasa ni hayo .....>>>>
Mkuu Jf hatuandikagi hivi.....hujaandika chochote hapo....
 
Tatzo za hizi application nyingi zake zinauzwa..tena gali sana hadi laki sita hela ya kitanzania ukitaka kutumia application yao kwa mwaka mzima.....otherwise ni vitrial version vya siku 3 hadi 7.
 
Ni nzuri kwa watu wenye biashara..kwa mfano mtu una kamini supermarket kako...ukaamua kuwanunulia wafanyakaz simu za kazi....just kwa kazi tu....kwa hiyo ukiwa na application kama hizi zinaiweka biashara yako salama.....
 
ok ok,ngoja tujipime kama tuna magonjwa ya mioyo ama laah...
 
Mayu asante kwa elimu murua, but naona kwa upande wako elimu ya tracking imeishia hapo ikiwa na maana Technology ipo zaidi ya hapo kwa hivi sasa au kabla ya hapo.

Huyu ni mmoja wa waTZ ambaye namuheshimu sana akiwa na ujuzi yawezekana kama wako, ila anachofanya kwa kutumia simu yake ndicho kimenifanya nione wewe umeishia nyuma sana.

Huyu jamaa simtaji jina aliniomba kujaribu kitu kidogo sana, mf. Aliniomba namba yangu akaniambia naweza kukupa details juu ya calls, sms, nk au kujua ninachofanya wakati wote pasipo kuishika simu yangu..!!

Kwa ufupi aliniambia kuna uwezekano wa kufuatilia kila afanyacho mtu hata kuzuia simu zisitoke/kuingia ili mradi uwe na ujuzi wa simu za kisasa/smartphone, ambazo zenyewe zina mifumo uliokuja nazo zaidi ya tunazo_install.

Kwa sasa ni hayo .....>>>>
Hebu ngoja,mfano mtu anajua namba yangu moja tu let say ya Voda,je kwa njia hiyo anaweza kusoma na kuona calls hata za line nyingine iwapo simu ni double line.Je,kama anaweza hata ikiwa offline anauwezo pia.
 
Mayu asante kwa elimu murua, but naona kwa upande wako elimu ya tracking imeishia hapo ikiwa na maana Technology ipo zaidi ya hapo kwa hivi sasa au kabla ya hapo.

Huyu ni mmoja wa waTZ ambaye namuheshimu sana akiwa na ujuzi yawezekana kama wako, ila anachofanya kwa kutumia simu yake ndicho kimenifanya nione wewe umeishia nyuma sana.

Huyu jamaa simtaji jina aliniomba kujaribu kitu kidogo sana, mf. Aliniomba namba yangu akaniambia naweza kukupa details juu ya calls, sms, nk au kujua ninachofanya wakati wote pasipo kuishika simu yangu..!!

Kwa ufupi aliniambia kuna uwezekano wa kufuatilia kila afanyacho mtu hata kuzuia simu zisitoke/kuingia ili mradi uwe na ujuzi wa simu za kisasa/smartphone, ambazo zenyewe zina mifumo uliokuja nazo zaidi ya tunazo_install.

Kwa sasa ni hayo .....>>>>
Hadithi za abunuwasi hizi
Yaani ujue no ya mtu tu kisha uhack details zake bila kushika simu ya muhusika?
Labda awe anafanya kazi kwenye mitandao husika kama voda au tigo nk
 
Iko poaaa ila nzuri sana
Naombaaa msaada kwa mtoa amada hakuna ile isiyohitaji simu ya victim kuinstall app yoyote yaan ukiwa na namba yake tu mchezo kwishaa hakuna hiyo????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom