Utani vunja mbavu mkuu kwaiyo mlokole hajaokoka!Mlokole kakutana na simba badala hata ya kutimua mbio na kuingia nyumba jirani , alipiga magoti na kumuomba Mungu amuepushe na kifo , wakati huo nae simba anamshukuru Mungu kwa chakula kilichopo mbele yake . Mshindi akawa simba na mlokole akawa kitoweo cha simba .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifaru atakuja kuuzima na varangati lake utajuta kuzaliwaKoka moto hakuna mnyama anasogea
Rekebisha title, siyo wanyamapori wote ni wakali.Uzi maalum wa kushare pamoja jinsi gani ya kuepuka wanyama wakali kama simba,Chui,Nyoka,Tembo,Mamba n.k......Wataalamu Njooni huku tusaidiane!
Asifanye utani na tembo kwa kumdharau unene wake, kitakupata kilichompata yule mpigapicha wa UDOM mwaka juzi, tembo anambio kukushinda wewe.Unaweza ukawa na kiberiti na majani makavu lakini hiyo panic utakumbuka kuwasha ? Omba usikutane na simba nafuu tembo utampiga chenga ya woga ! Ila ukiweza kuwasha moto simba hakaribii , atakaa mbali asubiri uzimike
Sent using Jamii Forums mobile app
Moto unawa agitate faru ukiwasha moto atakujia hapo ulipo atau stomp na kukushambulia piaKoka moto hakuna mnyama anasogea
Imani ni kitu kingine kuna bwana alishushwa kwenye Fuso ilikuwa inaelekea Katavi kutokana na kuwa na nauli katikati ya pori lakini alitembea kwa miguu kurudi Inyonga usiku ulipofika akalala chini ya mti baada ya kusali mpaka kulipokucha alikuwa anawaona Chui na Simba anasimama wao wanaondoka na yeye anaondokaMlokole kakutana na simba badala hata ya kutimua mbio na kuingia nyumba jirani , alipiga magoti na kumuomba Mungu amuepushe na kifo , wakati huo nae simba anamshukuru Mungu kwa chakula kilichopo mbele yake . Mshindi akawa simba na mlokole akawa kitoweo cha simba .
Sent using Jamii Forums mobile app