Dada yangu yalimkuta, alipoolewa tu mama mkwe mgongo ulianza kuuma na hakuweza kukaa kijijini tena, sasa dada akitoka kazini akisikia tu engine ya gari inawaka, anakuja mama unakwenda wapi? Nimechoka kukaa ndani, basi wakawa wanazunguka wote, siku moja alikutana na mke wa kaka mkubwa, akamuuliza kama wanaweza kumchukua mama for a weekend, akaongeza kuwa maana sasa mama "amekuwa bettery kwenye gari yangu" Mwenzangu yule mama akaenda kumweleza mume wake, familia nzima wakaambiana. Wakigombana na mume anaanza kwanza unamwita mama yangu battery.