How to be a good partner...?

kile kidude cha thanks maty kiko wapi


yeah haiwezekani kuwa a good partner kwani binadamu haturidhiki ukifanya hivi anatafuta sababu hii ukifanya vile anaibukia kwingine mradi tabu tu (unakumbuka huu sijui ni wimbo unaimbwa dunia aaaa dunia hadaaa ukiwa huna wewe bwana gani? na ukitoa ***** mtonzeni). Umenichekesha na kitambi wanawake wengi wakishazaa kukosa kitambi ni bahati nasibu mpendwa so cha muhimu we kipende tu mi changu nimejaribu kila mbinu lakini hakitaki so nimekiacha wakati wengine hawafungi tumbo na wanakula balaa lakini hawapati vitambi wala nini mwingine hali kihivyo ana kitambi hata kabla hajazaa.
 
1) unakunywa sana
2) mbona leo hujanywa kabisa unaumwa?


ni bora uwe na weird compatible partner.
 
Keep your dependence and independence in balance. Tell and show your partner how much you need him/her, but don't cling, as that can make your partner feel trapped.

Never go to bad mad at each other. Try to patch things up or call it a truce before the bedtime. It will give you time to calm down and in the morning everything will seem in different light.
Accept that it's your job to educate your partner about what makes you feel most loved. Love your partner how they want to be loved, not how you want to be loved.

Try doing something fun together at least twice a month and don't forget to compliment each other. Don't focus on your partner's negatives boost up the positives and you'll see them work on the negatives on their own. People already know what their faults are they don't need anyone to tell them.
 
does this makes you be a good partner nafikiri appreciation ndo kitu cha muhimu waeza weka mgongoni lakini bado list ikaongezeka sasa ukaimbiwa mbona kiuno hakijanyooka


Keep your dependence and independence in balance. Tell and show your partner how much you need him/her, but don't cling, as that can make your partner feel trapped.


Never go to bad mad at each other. Try to patch things up or call it a truce before the bedtime. It will give you time to calm down and in the morning everything will seem in different light.
Accept that it's your job to educate your partner about what makes you feel most loved. Love your partner how they want to be loved, not how you want to be loved.

Try doing something fun together at least twice a month and don't forget to compliment each other. Don't focus on your partner's negatives boost up the positives and you'll see them work on the negatives on their own. People already know what their faults are they don't need anyone to tell them.
 
Ukizisoma hizo sms wakati ukiwa na bia kichwani, wala hazikusumbui kichwa.

KWA MARA YA PILI KARIBU KUNDINI.
nshakaribia mkuu.... tatizo tukizima tu wanazisoma aisee... yani balaa bin buluu...

hivi ukiwa zoba si pia inaboa kwenye mapenzi?
 
Ukitoka utoe maelezo ya kwanini unatoka, na ukirudi useme kwanini umewahi ama kuchelewa kurudi

Na hata ukitoa maelezo ya unapoenda yanahojiwa, kwanini unakutana sana na kina fulani (walevi?), na hata ukisema kuwa unakutana nao kwakuwa na wewe ni mlevi hataki kukubali kwakuwa atajiona low kuolewa na mlevi

Siku hizi midume tunatakiwa kutoa maelezo kuliko watoto wanavyotoa maelezo kwa wazazi, wala kuliko washtakiwa wanavyotoa maelezo polisi

kweli ndoa ndoano
dah yani wewe acha tu hizi kesi za maelezo zitatuua aisee...
 
nshakaribia mkuu.... tatizo tukizima tu wanazisoma aisee... yani balaa bin buluu...

hivi ukiwa zoba si pia inaboa kwenye mapenzi?

kichwa ya nyumba tena uwe zoba hapana ni kujidhalilisha, huyo mkeo/gf wako kakukuta mlevi lazima akuache na ulevi wako mradi ukirudi nyumbani usimkere na utimize wajibu wako kama mume na nini na utuuzima huu anajipa karaha?
 
dah yani wewe acha tu hizi kesi za maelezo zitatuua aisee...


Unatakiwa umkalishe chini na umueleze kabisa tena ukiwa haujalewa na yeye akiwa yuko kenye good mud mwambie hili gubu lako mama nanihilu hakyanani nitakimbia nyumba nikuache na watoto wako uone kama ataendelea
 
yeah haiwezekani kuwa a good partner kwani binadamu haturidhiki ukifanya hivi anatafuta sababu hii ukifanya vile anaibukia kwingine mradi tabu tu (unakumbuka huu sijui ni wimbo unaimbwa dunia aaaa dunia hadaaa ukiwa huna wewe bwana gani? na ukitoa ***** mtonzeni). Umenichekesha na kitambi wanawake wengi wakishazaa kukosa kitambi ni bahati nasibu mpendwa so cha muhimu we kipende tu mi changu nimejaribu kila mbinu lakini hakitaki so nimekiacha wakati wengine hawafungi tumbo na wanakula balaa lakini hawapati vitambi wala nini mwingine hali kihivyo ana kitambi hata kabla hajazaa.
Thanks Maty

nakwambia wanaume tumekua wapole sana siku hizi, yani nikikumbuka enzi za mwalimu... wanaume walikua hawahojiwi... sijui tumekuaje aisee, mna bahati kweli akina dada siku hizi

Halafu cha kushangaza, sie haturuhusiwi kugusa simu wala nini:frog:
 
1) unakunywa sana
2) mbona leo hujanywa kabisa unaumwa?


ni bora uwe na weird compatible partner.
i chose to be weird, nimeambiwa sieleweki... a man needs to be clearly understood by everyone... hata bar unayokunywa ni vizuri ijulikane maana watu wabaya watapata tabu kukudhuru sehemu unayofahamika, and a few moment later nikaambiwa hivi wewe ile bar una shares zako pale?

waweza ambiwa mbona unanenepa sana? nani tena huyo ananisaidia... ghafla kesho unaambiwa pesa unapeleka wapi mbona unakonda sana??

its hard to be a partner
 
Unatakiwa umkalishe chini na umueleze kabisa tena ukiwa haujalewa na yeye akiwa yuko kenye good mud mwambie hili gubu lako mama nanihilu hakyanani nitakimbia nyumba nikuache na watoto wako uone kama ataendelea
hahah.....

wanaume ndio tunakalishwa chini, ukikalisha chini wewe unaambiwa ni unyanyasaji wa kijinsia mazee.. upo hapo?:Cry:
 
wewe hiyo tabia ya kuwakaribisha watu waje kundini sio nzuri, je unauhakika wote watadumu huko kundini? wengine wan vichwa kama vya panzi..
Ukizisoma hizo sms wakati ukiwa na bia kichwani, wala hazikusumbui kichwa.

KWA MARA YA PILI KARIBU KUNDINI.
 
Uzuri wa patna ni patna mwenyewe mkuu....hakuna kitu univeso......
Ila si wanasema ndoa ni kukubali kuishi na kero ya aina moja maishani?
 
Back
Top Bottom