Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Kwa afya ya akili, mke/mume wako inapendeza akawa rafiki yako.
Kwani mke/mmeo huwa anakuwa ndugu yako?
Kwa afya ya akili, mke/mume wako inapendeza akawa rafiki yako.
yeah haiwezekani kuwa a good partner kwani binadamu haturidhiki ukifanya hivi anatafuta sababu hii ukifanya vile anaibukia kwingine mradi tabu tu (unakumbuka huu sijui ni wimbo unaimbwa dunia aaaa dunia hadaaa ukiwa huna wewe bwana gani? na ukitoa ***** mtonzeni). Umenichekesha na kitambi wanawake wengi wakishazaa kukosa kitambi ni bahati nasibu mpendwa so cha muhimu we kipende tu mi changu nimejaribu kila mbinu lakini hakitaki so nimekiacha wakati wengine hawafungi tumbo na wanakula balaa lakini hawapati vitambi wala nini mwingine hali kihivyo ana kitambi hata kabla hajazaa.
1) unakunywa sana
2) mbona leo hujanywa kabisa unaumwa?
ni bora uwe na weird compatible partner.
Keep your dependence and independence in balance. Tell and show your partner how much you need him/her, but don't cling, as that can make your partner feel trapped.Accept that it's your job to educate your partner about what makes you feel most loved. Love your partner how they want to be loved, not how you want to be loved.
Never go to bad mad at each other. Try to patch things up or call it a truce before the bedtime. It will give you time to calm down and in the morning everything will seem in different light.
Try doing something fun together at least twice a month and don't forget to compliment each other. Don't focus on your partner's negatives boost up the positives and you'll see them work on the negatives on their own. People already know what their faults are they don't need anyone to tell them.
Kwani mke/mmeo huwa anakuwa ndugu yako?
nshakaribia mkuu.... tatizo tukizima tu wanazisoma aisee... yani balaa bin buluu...Ukizisoma hizo sms wakati ukiwa na bia kichwani, wala hazikusumbui kichwa.
KWA MARA YA PILI KARIBU KUNDINI.
kile kidude cha thanks maty kiko wapi
dah yani wewe acha tu hizi kesi za maelezo zitatuua aisee...Ukitoka utoe maelezo ya kwanini unatoka, na ukirudi useme kwanini umewahi ama kuchelewa kurudi
Na hata ukitoa maelezo ya unapoenda yanahojiwa, kwanini unakutana sana na kina fulani (walevi?), na hata ukisema kuwa unakutana nao kwakuwa na wewe ni mlevi hataki kukubali kwakuwa atajiona low kuolewa na mlevi
Siku hizi midume tunatakiwa kutoa maelezo kuliko watoto wanavyotoa maelezo kwa wazazi, wala kuliko washtakiwa wanavyotoa maelezo polisi
kweli ndoa ndoano
nshakaribia mkuu.... tatizo tukizima tu wanazisoma aisee... yani balaa bin buluu...
hivi ukiwa zoba si pia inaboa kwenye mapenzi?
yani hadi sasa sijapata jibu
nifanyeje kuwa a good partner? au haiwezekani?
dah yani wewe acha tu hizi kesi za maelezo zitatuua aisee...
Thanks Matyyeah haiwezekani kuwa a good partner kwani binadamu haturidhiki ukifanya hivi anatafuta sababu hii ukifanya vile anaibukia kwingine mradi tabu tu (unakumbuka huu sijui ni wimbo unaimbwa dunia aaaa dunia hadaaa ukiwa huna wewe bwana gani? na ukitoa ***** mtonzeni). Umenichekesha na kitambi wanawake wengi wakishazaa kukosa kitambi ni bahati nasibu mpendwa so cha muhimu we kipende tu mi changu nimejaribu kila mbinu lakini hakitaki so nimekiacha wakati wengine hawafungi tumbo na wanakula balaa lakini hawapati vitambi wala nini mwingine hali kihivyo ana kitambi hata kabla hajazaa.
i chose to be weird, nimeambiwa sieleweki... a man needs to be clearly understood by everyone... hata bar unayokunywa ni vizuri ijulikane maana watu wabaya watapata tabu kukudhuru sehemu unayofahamika, and a few moment later nikaambiwa hivi wewe ile bar una shares zako pale?1) unakunywa sana
2) mbona leo hujanywa kabisa unaumwa?
ni bora uwe na weird compatible partner.
hahah.....Unatakiwa umkalishe chini na umueleze kabisa tena ukiwa haujalewa na yeye akiwa yuko kenye good mud mwambie hili gubu lako mama nanihilu hakyanani nitakimbia nyumba nikuache na watoto wako uone kama ataendelea
Ukizisoma hizo sms wakati ukiwa na bia kichwani, wala hazikusumbui kichwa.
KWA MARA YA PILI KARIBU KUNDINI.
yani hadi sasa sijapata jibu
nifanyeje kuwa a good partner? au haiwezekani?