How I imagine people in JF


Na MaxShimba je?
Mimi nahisi (hapana, niko sure) MaxShimba ni Kichaa. Dalili mojawapo- hypergraphia, strong unshakable beliefs.
Sijui atajishtukia ama kushtuliwa lini kuwa akili yake si sawa! Msaidieni tafadhali kabla hajaleta madhara kwa jamii.
Halafu nahisi anapenda sana hela na mademu. Kama ni mzee wa kanisa basi anawafanyizia kondoo ambao ameachiwa awachunge.
 
kelly alienda wapi jamani???,alivuta wengi kujiunga na JF....sie wakati huo kipindi cha chabo tulikuwa tunapenda sana kusoma posti zake....kelly bana rudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 

Nahisi ni muha-mad follower huyu hater!
 
kelly alienda wapi jamani???,alivuta wengi kujiunga na JF....sie wakati huo kipindi cha chabo tulikuwa tunapenda sana kusoma posti zake....kelly bana rudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

labda amerudi kivingine
 
hivi na ile chat room iliishia wapi tena? imepigwa ban?

kwetu hakuna tuna chumba kimoja tu sasa hiyo chat room itoke wapi?

sikuwa nimesoma tarehe ya hii thread, nikahisi mume wangu anamisbehave in my absence
 
kwetu hakuna tuna chumba kimoja tu sasa hiyo chat room itoke wapi?

sikuwa nimesoma tarehe ya hii thread, nikahisi mume wangu anamisbehave in my absence

hahahahahaha!....tuliya mke mwee huyu haendi kokote kwako amefika...anyhoo how are you?longtime uh....


Blantanda...My shem....i salute you!...you said it well....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…