"How Europe Underdeveloped Africa," By Walter Rodney!

"How Europe Underdeveloped Africa," By Walter Rodney!

Kiukweli chama changu cha jembe na nyundo tumeshikwa pabaya ambapo panauma ila tutayamaliza haya na soon tutaanza kutana na kamati..kujua tunasolve vipi hili tatizo
 
Mpaka uwe na upeo wa kutosha ndio utaelewa mkuu!
View attachment 333820

Ukisoma kitabu hiki utajua namna Ulaya ilivyoididimiza Afrika!
Na bahati mbaya mpango huo bado haujaisha!
Tunaoshabikia misaada hatujui tutendalo!

View attachment 333824
Afrika imekuwa underdeveloped na waafrika wenyewe, kwa sababu moja kuu, waafrika wana akili sana sana sana lakini hawatumii akili zao kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili.Sababu ya kutokutumia akili walizojaaliwa na Mungu imekuwa chanzo cha kukosa kila kitu, maendeleo,utajiri maisha bora n.k.Tuanze na Mababu wa mababu wa mababu zetu kabla ya wakoloni wao rasilimali kkama almasi na dhahabu walichezea bao hwakujishughulisha akili zao kufanya ugunduzi zaidi ya ule wa kula kuzaana na kulala(nina maana pana hapo),tusogee kidogo mababu wa mababu zetu hawa ni wale wa wakati ukoloni unakuja ,hawa walidanganywa kwa shanga na vioo mpaka wakawauza wenzao waliokuwa na nguvu nao pia hawakushughulisha akili isipokuwa kwa ajili ya matumbo yao,mababa wa mababu zetu zetu hawa walijitahidi kidogo baadhi walipata elimu na kutafuta uhuru lakini nao akili yao iliishia hapo hawakujenga misingi ya kuhakikisha vizazi vinavyofuata vitaendeshaje maisha yao pia walidanganyika wakaona cha mzungu ndio wakaacha kabisa kushughulika na kuendeleza vya kwao,mababu zetu, wengi wlifanikiwa kupata uhuru lakini baada ya kuupata hawakujua waufanyie nini,hawakuwa na mpango mkakati wakajiingiza katika kufuata milengo ya kiuchumi ya Magharibi au Mashariki bila kujenga muundo msingi unaolinganna na jiografia hulka na asili ya watu wa bara hili matokeo yake kuangukia katika mfumo tegemezi wa mapokeo.Yaani bila mzungu hatuwezi,hawwakujenga mfumo wa kumwezesha mwafrika kujenga ,kuboresha na kugundua chake na hata akigundua chake ni lazma aombe ridhaa kwa mzungu.....Baba zetu, hawa ndio da ! Hawa uwezo wao ni mdogo sana ukilinganisha na vizazi vyote vilivyopita ,hawa ni watu wenye upeo finyu,ni watu wanaojali siwezi sema maslahi yao ,hapana hawa wanajali matumbo yao tu ni wezi wapiga dili .................................kwa hiyo Afrika was ,is and will always be underdeveloped na Waafrika wenyewe.
 
tatizzo watu wengi hawasomi vitabu wanaamini prpaganda wanazoambiwa kwenye cnn na mitandao ya jamii kama wangekuwa wanasoma vitabu hapa sizungumzii vitabu vya shigongo wangefanya mapinduzi makubwa ya kifikra
 
tatizzo watu wengi hawasomi vitabu wanaamini prpaganda wanazoambiwa kwenye cnn na mitandao ya jamii kama wangekuwa wanasoma vitabu hapa sizungumzii vitabu vya shigongo wangefanya mapinduzi makubwa ya kifikra
mtunzi mwenyewe mzungu..hahaha
 
Tutasonga mbele bila kutegemea misaada ya kishoga, kila mtu acheze nafasi yake vizuri, ila mkianza kuleta habari za kuibiwa kura wakati wabunge wako wakuchaguliwa wapo chini ya 40
 
W. Rodney need to be challenged. Africa is being underdeveloped by Africans. Look at corruption rates in Africa, civil wars, poor democracy, leaders have fat accounts in oversees. In fact the book should read "How Africans are Under-developing Africa"
 
Kukaa nje si sababu. Wapo Watanzania wannaishi nje lkn ni wazalendo kuliko ss tunaoishi Tanzania. Pia lugha yako haipendezi sana humu jukwaani maana hatujuani unaweza ukamtusi mkweo! Hahahaaa!
usijali umesomeka mkweee! tena mzalendo ka weye!
 
inatakiwa kusoma vitabu ili utengeneze madawati au madarasa ya wanafunzi kitabu kiandikwe na mzungu kutatua kero zako...akili ya mwafrika ipo kibinafsi sana mtu akisoma anabaki kijisifia mpaka anakufa msaada hana katika jamii..
 
Na Bado Mtafukua Makaburi Kubabake...Mtamfufua Nyerere,Sokoine,Kambona na Maiti Wote Ambao Mnahisi Watawapunguzia Kasi Ya Mashambuliz...Ila Ukweli Unabaki Pale Pale,Mtaisoma Namba Kudadadeki!
Unafurahia nchi kuingia kwenye misukosuko.

Kapimwe akili.
 
Mpaka uwe na upeo wa kutosha ndio utaelewa mkuu!
Ukiwa na upeo utagundua kujipendekeza kwa serikali kwa kujifanya kuwa SIZITAKI MBICHI HIZI ni motivation ya kusonga mbele.

Mind you Mr. Upeo, leo wanafiki China wanatuambia uchaguzi wa Zanzibar safi na watatupa misaada. Km misaada naona tija, tukatae na hii ya China ambao kwa mimi mwenye upeo mdogo naona ni kununuliwa na mwekezaji mwingine.

China wanatutaka watuchune
 
Je, wakati tunaukubali mkataba wa MCCARTNEY tulisoma na kuelewa vipengele vyote?
Je, ni nani amefanya tofauti na mkataba ulivyoandikwa?
 
tatizzo watu wengi hawasomi vitabu wanaamini prpaganda wanazoambiwa kwenye cnn na mitandao ya jamii kama wangekuwa wanasoma vitabu hapa sizungumzii vitabu vya shigongo wangefanya mapinduzi makubwa ya kifikra
Hivyo vitabu vimeandikwa na waafrika? Ni mawazo na idea zilizotokana na mazingira yetu huku afrika?
 
Hivyo vitabu vimeandikwa na waafrika? Ni mawazo na idea zilizotokana na mazingira yetu huku afrika?
umekisoma hicho kitabu hivi kuandika kitabu kinachohusu kitu fulani ni lazima uwe unatoka hilo eneo kama ni hivyo waafrika wengi waliopata phd nje ya afrika phd zao ni feki maana maandiko mengi hayakutoka huku
 
Walter Rodney yeye kasema Kwa ujumla how Europe understand develop Africa... Mimi pia nimekisoma vizuri.... Lakini swala la misaada lipo kimataifa nakabla yakujitegemea lazima Uwe na technology yako... Sasa Tanzania tunatechlogy gani ya kakataa misaada.. Hapo ni uchu wa madaraka wa viongozi wengi wa Africa.... African we have resources but no innovation na technology, no capital,no creativity, no good governance, no rules of law.. Even God already left Africa.... Just my opinion..... Tunahitaji kuwa na mabadiliko ya kiuchumi ndio mambo mengine yafuate...... Hili uchumi ukae lazima sector ya energy iwekezwe vya kutosha........ Sio maneno vitendo
 
Mtanzania anayetoa kauli kama hizi hafai kabisa kuitwa Mtanzania au Mwafrika for that matter!

Watanzania tuache kuwaonea wivu nchi zilizoendelea. Sizitaki mbichi hizi haitakaa itusaidie. Tu maskini kwa kuwa hatutumii ipasavyo raslimali zetu kama vile maliasili, watu tulio nao kwenye taifa. Vijana wanazurura, wanavuta unga na bangi, hawafayi kazi za uzalishaji japo wana nguvu. Technology hatuna ya kubadilisha tulivyo navyo kuwa mali. Tunawasingizia wazungu kwa umaskini tulio nao. Kuna mikoa ambayo wazungu hawakufika kabisa je ni matajiri? Walishatuachia nchi miaka 55 iliyopita. Tena nadiriki kusema wasingekuja wazungu nchi hii tungekuwa na hali mbaya kama wahazabe.
 
Back
Top Bottom