"How Europe Underdeveloped Africa," By Walter Rodney!

"How Europe Underdeveloped Africa," By Walter Rodney!

Mkuu, kuna watu wanashabikia ujinga wakidhani kufanya hivyo watapata faida yoyote!
kama nyie mlivyo kuwa mkishabikia ubakwaji wa demokrasia zanzibar na utungwaji,upitishwaji na usainiwaji na utelekezwaji wa sheria ya mtandao?
 
Watu wanaweza kuwa wamekufa ila mawazo yao yanaweza kusaidia kuleta maendeleo. ideas are more poweful than the people who gave them.
 
kama nyie mlivyo kuwa mkishabikia ubakwaji wa demokrasia zanzibar na utungwaji,upitishwaji na usainiwaji na utelekezwaji wa sheria ya mtandao?
Kwa kuwa mabwana zenu wamesema ndio na nyie mmefuata upepo?
 
Danganyikeni ninyi sio mimi. Tumekuwa wavivu na wezi halafu tunazingizia watu wengine. Vitabu kama hivyo vinamfanya mwafrika azidi kudumaa kimawazo badala ya kusonga mbele. Kuna mataifa kama waisrael walipata shuruba isiyosemekana na leo wana maendeleo ije kuwa sisi?
wameendelea kwa misaada??
 
View attachment 333820

Ukisoma kitabu hiki utajua namna Ulaya ilivyoididimiza Afrika!
Na bahati mbaya mpango huo bado haujaisha!
Tunaoshabikia misaada hatujui tutendalo!

View attachment 333824
Miaka sitini baada ya uhuru bado tunalalamika 'how europe underdeveloped africa'? Shame on us na Donald Trump anayo haki kabisa ya kusema kuwa tunahitaji kutawaliwa tena!!!
Kwa kifupi hii discourse ya post-colonial imeishawekwa makumbusho. Sasa mtaanza kutukumbusha na 'ujamaa ni imani'!!
 
U moderator ndio mdudu gani huyo?
Unajifanya huujui sio? Hahahahah kutoka kuwa mod mpaka kidagaa wa Lumumba!!!

Akili zako mbovu zinadhirisha ndo zilikufanya uondolewe u mod!!

Mchafu wa akili na fikra weye!!!!
 
Mkuu hicho kitabu hujakielewa vizuri nenda ukisome upya
Hata kukisoma hajakisoma!! Kwa akili hizo anaweza elewa kitabu cha kizungu? Kachukua cover kaleta hapa!! Angesoma walau angeelezea kwa kukijengea hoja!! Huyo mtoto mtupu kabisa kichwani.
 
Back
Top Bottom