Ukisoma kitabu hiki utajua namna Ulaya ilivyoididimiza Afrika!
Na bahati mbaya mpango huo bado haujaisha!
Tunaoshabikia misaada hatujui tutendalo!
mmemufufua rodney,ili awaokoe,enhe?aya kamfufueni na Frantz Fanon!Ukisoma kitabu hiki utajua namna Ulaya ilivyoididimiza Afrika!
Na bahati mbaya mpango huo bado haujaisha!
Tunaoshabikia misaada hatujui tutendalo!
Ukisoma kitabu hiki utajua namna Ulaya ilivyoididimiza Afrika!
Na bahati mbaya mpango huo bado haujaisha!
Tunaoshabikia misaada hatujui tutendalo!
Danganyikeni ninyi sio mimi. Tumekuwa wavivu na wezi halafu tunazingizia watu wengine. Vitabu kama hivyo vinamfanya mwafrika azidi kudumaa kimawazo badala ya kusonga mbele. Kuna mataifa kama waisrael walipata shuruba isiyosemekana na leo wana maendeleo ije kuwa sisi?Ukisoma kitabu hiki utajua namna Ulaya ilivyoididimiza Afrika!
Na bahati mbaya mpango huo bado haujaisha!
Tunaoshabikia misaada hatujui tutendalo!
Acha UCCM, hayo ni historia ya zamaini and has not been put to challenge. Aliandika na huwezi jua wazungu, Europe for that matter wangelimjibu vipi. Angalia leo acha history za Rodney, Buchanan umesoma wapiUkisoma kitabu hiki utajua namna Ulaya ilivyoididimiza Afrika!
Na bahati mbaya mpango huo bado haujaisha!
Tunaoshabikia misaada hatujui tutendalo!
Mpaka uwe na upeo wa kutosha ndio utaelewa mkuu!
Halafu unajua anayeng'ang'ania madaraka bila utendaji mzuri na wananchi wakimkataa kwenye kura halali anatumia jeshi kupora madaraka ndio mng'ang'anizi mkubwa wa misaada?Ukisoma kitabu hiki utajua namna Ulaya ilivyoididimiza Afrika!
Na bahati mbaya mpango huo bado haujaisha!
Tunaoshabikia misaada hatujui tutendalo!
Ndio tumeshaona hakuna dili yoyote, mara tunaambiwa wanaume tulalane wenyewe kwa wenyewe, mara tunaambiwa tubadili Sheria iliyotungwa kihalali na Bunge!...wacha kutapatapa,hii misaada mlikuwa mnaitolea macho miaka yote,leo ndio umemkumbuka Walter Rodney baada ya misaada kuzuiwa,pathetic!
Mtanzania anayetoa kauli kama hizi hafai kabisa kuitwa Mtanzania au Mwafrika for that matter!Na Bado Mtafukua Makaburi Kubabake...Mtamfufua Nyerere,Sokoine,Kambona na Maiti Wote Ambao Mnahisi Watawapunguzia Kasi Ya Mashambuliz...Ila Ukweli Unabaki Pale Pale,Mtaisoma Namba Kudadadeki!
Kwa vile kasema ukweli CCM hauutaki. Eti uzalendo, ujinga tuMtanzania anayetoa kauli kama hizi hafai kabisa kuitwa Mtanzania au Mwafrika for that matter!
kwa hio mtanzania anaye toa kauli zipi ndio anafaa?Mtanzania anayetoa kauli kama hizi hafai kabisa kuitwa Mtanzania au Mwafrika for that matter!
Nikuulize wewe unajua?Hivi unajua maana ya jeshi kupora madaraka?