How DR Congo conflict could ignite regional war(must read please) see how Tz is involved.

How DR Congo conflict could ignite regional war(must read please) see how Tz is involved.

Mwandishi wa habari hizi ni mjinga asiye na elimu. Jeshi la Tanzania limekomboa Comoro juzi juzi hapa yeye anadai hatujaingia kwenye action for more than 30 years. Tanzania imejihusisha na amani ya Sudan, Somalia, Lebanon nk na kote huko Jeshi letu limeingia kwenye action na kufanya vizuri.... Asubiri aone. Habari hii ni ya uzushi tu!!

Mkuu hapo kwenye RED kuna walakini...!

  • Sina hakika kama kweli huyu mwandishi ni "Mjinga na asiye na elimu" kama unavyodai; Ukitafakari kwa makini utagundua kuwa hii vita ya msituni anayoongelea ni rahisi kabisa kwa jeshi la Tz na hilo la SA kushindwa na hao M23. Uzoefu umetuonyesha jinsi wataleban walivyowaangaisha wamarekani japokuwa wamarekani wana vifaa na teknolijia za juu kabisa! Mfano mwingine ni Israel Vs Hizborah.
  • Si kweli kuwa majeshi ya UN uko Sudani au Lebanon yanakuwa kwenye Action. Ulizia vyema hao askari maarufu kama "Blue helmets soldiers" uwa wanaingia katika mapigano au wao ni kutunza amani? Hata DRC walipopewa mamraka ya kujibu mapigo hatukuona lolote zaidi ya M23 kujitwalia maeneo.
Nisingependa kuona Tz, SA na Msumbiji wakienda kupigana bila kuwa na sababu za msingi. Tatizo la DRC wote tunalijua nalo ni serikali ya DRC kushindwa kujenga jeshi la kulinda mipaka yake. Vipi nchi kama DRC yenye utajiri wa rasilimali ishindwe kujenga jeshi lake?

Jifunzeni kutoka Afrika ya kati (CAR), ambapo waasi wametwanga wanajeshi wa serikali wanaosaidiwa na nchi kibao ikiwamo SA. Kuliko kwenda vitani ni bora wakamfunze Kabila jinsi ya kujenga jeshi la kulinda nchi yake!
 
Mwandishi wa habari hizi ni mjinga asiye na elimu. Jeshi la Tanzania limekomboa Comoro juzi juzi hapa yeye anadai hatujaingia kwenye action for more than 30 years. Tanzania imejihusisha na amani ya Sudan, Somalia, Lebanon nk na kote huko Jeshi letu limeingia kwenye action na kufanya vizuri.... Asubiri aone. Habari hii ni ya uzushi tu!!
Hapo mzee sidhani kama unatakiwa kutembea kifua mbele kwa sababu hiyo, kule wameenda kupambana na sungusungu
 
hivi ni vitu vidogo kwa Amiri jeshi wetu Baba Ri1 na Mwanahaasha kama ni hivyo wadhubutu waone jeshi letu lilivyo, sisi tumeinvest sana katika jeshi hadi mabomu yetu yanajipiga yenyewe yanapokosa watu.
 
You dont see the problem of insecurity in your neighbor? Are you ready to house more millions of refugees in Western Tanzania? It is just a basic and simple explanation: an Insecure and war tone neighbour brings problems to its other border sharing countries.

Example, If there was insecurity in Canada, dont you think the USA would intervene and help stop it?

We do have our own enormous problems, but the Congo crisis is one of the problems..a secured Congo will bring prosperity to Tanzania due to trade and commercial relationships.

Historical experience has not proved that we ve been able to use their peace and security in fostering trade and economical relationships. Our geographical location was enough to show how our country maintain economic relations with those peaceful neighbours. I would say as a nation we are lacking foreign policy which will guide us on whom one to relate with and for what reasons. Lacking that, I don see the fact that 'she is our neighbor' strong and decisive justifying our involvement to war. We better house refugees than engaging in a meaningless war which will bring refugees to Tanzania anyway. My point is very clear here if I will ve to give more explanations, that we must know why Tanzania would like to fight in Congo far beyond them being neighbours. I don think we were destined to solve any or all problems faced by our neighbours! Are they doing that to us? Did they do that back in 1979 on a neighbor bases?
 
tatizo nikiwa je kabila yupo tayari majeshi yetu kwenda congo. au huyu kanambe atatuuza kwa kagame.....?
 
Mambo ya Congo bhana ni meengi sana.nakumbuka mwaka ule yule sijui Martha Karua wa Kenya alivyomshutumu prezidaa wetu wa wakati ule kuwa anahusika kuingiza silaha Congo!hatujazungumzia influence ya makampuni ya madini ya ulaya na .U.S kwenye vita hii!tusidanganyane bhana!ukitaka kuujua ukweli wa vita hii hebu wazungumzie akina rais Kichaka na baba yake wa unyamwezini,pamoja na watu wao akina Kashoggi na kampuni yao hii ya kule Shinyanga,Musoma ndio wenyewe bhana.hawa sijui Ntaganda vivuli tu.waafrika tukatae utumwa bhana.!ah!...nikae zangu kimya mie isije kuwa tabu humu!
 
hakuna aliyekwambia utuambie cv yako hapa...pia hatukutaka sifa za kijinga kuwa umesoma marekani nk...kwanza TPDF haipo somalia...ipo sudan pekee kwa hapa afrika...pili jibu maswali na sio kuja na hoja mufilisi

Acha upumbavu wewe!!. Elewa hoja ya EMJ alitaka kujua elimu yangu n.k. Nimejibu hoja yake, hata hivyo alianza kunishambulia badala ya kujibu hoja na kuheshimu mawazo yangu. Sheria za JF ziheshimiwe humu. Upuuzi huo huo unaufanya na wewe. Mwalimu wako ndo alikuambia CV inaandikwa hivyo?. Tafadhali jifunze kujiheshimu.
 
Paragraph ya kwanza umeongea vizuri mkuu, tuna reli ya kati tayari, kwahyo waki rehabilitate na kuweza kuifikisha hadi Congo then poa na vyema.

Lakini point yangu ni kuwa a secured Congo brings prosperity to both of us..kwanza tuwamalize wale marebels then twende kwenye trade na commerce relationship ambapo business zitaboom.

Huoni kuwa nchi kama Namibia, Mozambique, Zambia, Zimbabwe kila siku tuna mahusiano nayo mazuri tu na trade inakua, hii ni kwasababu tuliwasaidia kwenye uhuru wao.. tena mimi naona bora tuongane na wao ambao wanatuthamini kuliko wa Kenya!
Mkuu huu ni mgogoro baina ya wacongoman wenyewe, ni tofauti na mapambano ya kuwaondoa wageni kama wakoloni. Wale rebels wa Congo wana sababu zao za kuipinga kijeshi serikali yao. Sisi tukienda kuingilia huko inakuwa sawa na kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine. Sisi tunaona Kabila yuko sawa kwa kuwa amechaguliwa kidemokrasia, wao wanaona Kabila hayuko sawa na ni haki yao ndani ya nchi yao. Si vizuri kuingilia mambo ya ndani ya Congo, bora tutumie AU.

Pili, suala la reli ni kuwa toka mjerumani ametuachia haijawahi kufanyiwa ukarabati mkubwa na kifupi imechoka mno na hakuna juhudi zozote kuiboresha. Hata hao Msumbiji barabara ya kufika huko haiunganishi na Tanzania nzima kwa lami. Sasa utafanyaje biashara na majirani zako bila kuimarisha miundombinu? Only CCM wana jibu hapo.
 
Hivi Kikwete anapeleka majeshi Congo kwa interest gani na ya nani?

Sometimes huwa nadhani rais wetu atakuja kuolewa na kina Kaizari sababu ya ujinga.


kama baba yako aliolewa ili apate fedha za kukulea!!!! usidhani kila mwanaume anaweza kuolewa... ni COWARDS wachache kama baba yako ndio wanaweza kufanya uchafu kama huo... period!!!!
 
Peaceful Congo or not,tangu lini TZ ikawa na maslahi Congo mpaka wapeleke military combat? hizi story ni fantasy tuu na hakuna hata siku moja TZ watapigana na Rwanda kwa ajiri ya rebels wa M23,hata TZ wakiingia Congo watapigana na Congolese sio Rwandese,hii connection ya vita kati ya TZ na Rwanda sijui inatoka wapi?
 
Mwandishi wa habari hizi ni mjinga asiye na elimu. Jeshi la Tanzania limekomboa Comoro juzi juzi hapa yeye anadai hatujaingia kwenye action for more than 30 years. Tanzania imejihusisha na amani ya Sudan, Somalia, Lebanon nk na kote huko Jeshi letu limeingia kwenye action na kufanya vizuri.... Asubiri aone. Habari hii ni ya uzushi tu!!

A load of ----........
 
Haya mambo yanahitaji uelewa wa taratibu za ulinzi

Inawezekana kabisa askari wakawa eneo la tukio lakini hawana mamlaka ya kudhuru


Hata ukiangalia mfano mdogo tu, kuna askari wa makampuni fulani hawaruhusiwi kutumia silaha za moto, hawana mandate hiyo badala yake wanaita polisi wa nchi.


Nadhani inategemea na mandate waliyonayo ni ipi, so huwezi sema moja kwa moja wasauzi wameshindwa.

Ila sasa huwa nashangaa, huwezi kiuka taratibu na kusema ulikuwa uinajiokoa??

Probably they had a mandate to block their path but not to shoot at them. Hawa jamaa walikuwa ni peacekeepers tuu, not more.

"The South African government on Monday confirmed 13 peacekeepers were killed and 27 others injured in a clash with rebels in the Central African Republic (CAR)."

In January about 200 South African peacekeeping soldiers were deployed to the troubled country of CAR to support the ill- equipped government troops following an offensive launched by the rebels in early December.

Source: S. African gov't confirms 13 peacekeepers killed in C. Africa - Xinhua | English.news.cn

13 S. Africa peacekeepers killed by Central African Republic rebels - WORLD - Globaltimes.cn

13 S. Africa peacekeepers killed by Central African Republic rebels - Xinhua | English.news.cn
 
Sawa kaka elimu yangu ni ndogo sana kwa masuala ya kijeshi. Sijawahi piat JKT wala Mgambo ila nina Doctorate degree in Civil Engineering specialized in landslide and slope stability. Nipo Denver nafanyakazi kama mtaalam mshauri wa terracon. Nakiri sielewi kiingereza vizuri kama wewe maana nimezaliwa Tanzania ila nimesomea Marekani na Uingereza. Kiingereza siyo lugha ya mama kwangu na watoto wangu wote wananizidi kiingereza kwa kuwa wao ni lugha ya mama. Ebu elewa mission ya jeshi[TPDF] kwenye nchi kama Somalia then njoo na hoja. Nakutakia baraka za Mungu sana ila kumbuka hujatoa hoja.
Nadhani huku nikujitapa sasa-wenzetu wanajivunia Intellectual property right sisi vyeti-Ooh poor third word
 
Mwandishi wa habari hizi ni mjinga asiye na elimu. Jeshi la Tanzania limekomboa Comoro juzi juzi hapa yeye anadai hatujaingia kwenye action for more than 30 years. Tanzania imejihusisha na amani ya Sudan, Somalia, Lebanon nk na kote huko Jeshi letu limeingia kwenye action na kufanya vizuri.... Asubiri aone. Habari hii ni ya uzushi tu!!

Huyu Mwandishi Ana malaria Wadudu milioni moja aende hosipitali Haraka iwezekanavyo
 
Huu utani,

Yaani waasi wa M23 wawazidi makamanda wa Tz?

hao M23 usifikiri ni rebels wenye njaa,wana control big mining businesses Eastern Congo...lakini still sioni TZ ikijiingiza kwenye vita na hawa watu.
 
Mwandishi wa habari hizi ni mjinga asiye na elimu. Jeshi la Tanzania limekomboa Comoro juzi juzi hapa yeye anadai hatujaingia kwenye action for more than 30 years. Tanzania imejihusisha na amani ya Sudan, Somalia, Lebanon nk na kote huko Jeshi letu limeingia kwenye action na kufanya vizuri.... Asubiri aone. Habari hii ni ya uzushi tu!!

WanaJf kama nyie ni wachache, Ongera kwa kuliona hili Mkuu.
 
The writer of this article is an idiot who doesn't understand the military capabilities of the Tanzanian Army and the content of his wording indicate he is working for the Rwandan Intelligence Service.

Na amepotosha wengi.
 
Ntaisoma vizuri kesho maana naona ina mapointi mengi sana na muda wa kuisoma unanikimbia
 
Back
Top Bottom