How DR Congo conflict could ignite regional war(must read please) see how Tz is involved.

How DR Congo conflict could ignite regional war(must read please) see how Tz is involved.

Vita sio kuwa na silaha kali vita ni ujasiri na mipango,Tanzania ilipopigana na Uganda kumtoa Iddi Amin wanajeshi wa Uganda walikuwa wako "well equiped" walikuwa na silaha kali kuliko wanajeshi wa Tanzania,Tanzania ilishinda vita vile

Jeshi la Tanzania ni jeshi lenye nidhamu katika Africa,jeshi la Tanzania linatoa mafunzo kwa wanajeshi wa nchi nyingi za Africa kuanzia Africa ya kusini,Rwanda,msumbuji,uganda nk

kama Tanzania itaingia vitani wakiungana na South Africa kuna uwezakano mkubwa M23 kushindwa vita,South Africa wana silaha kali,watanzania wanamafunzo makali
 
Someni kenye red ndo msisitizo ulipo

Finally, and in spite of his advice, SADC went ahead to recommend deployment of troops inside DRC to fight “wrong elements” (read M23). The countries to contribute to this force are South Africa, Tanzania and Mozambique. This is a potentially explosive decision.

MIMI NAJIULIZA HUYU MWANDISHI Kwa nini aseme fighting against M23 is fighting against wrong elements? yeye anawafahamu watu halisi behind M23? Anawajua wengineo apart from M23? and why according to him this decision will be potentially explosive one? Mbona kama anaji defend?
 
MIMI NAJIULIZA HUYU MWANDISHI Kwa nini aseme fighting against M23 is fighting against wrong elements? yeye anawafahamu watu halisi behind M23? Anawajua wengineo apart from M23? and why according to him this decision will be potentially explosive one? Mbona kama anaji defend?

Mwandishi anadai ni Mganda.

Ni mwanzilishi na mmiliki wa hiyo gazeti la Independent lililoandika hiyo hiyo story.

Amekuwa na bifu na Museveni kwa muda mrefu sasa kutokana na maandishi yake.

Soma article nyingine yake kuhusu DRC na pia msikilize kwenye video yake hapo chini kwanza kujua ni kwanini anakuja na hoja kuwa jeshi la Tanzania halitaweza huko DRC: The myth of Congolese wealth

Conclusion yake ni kwamba eti Wanyarwanda wanapenda kuwe na amani DRC kuliko wanavyopenda Wakongo wenyewe.

[video=youtube_share;Td1M5WDkGDo]http://youtu.be/Td1M5WDkGDo[/video]
 
Rwanda needs to be punished for supporting the rebels in DRC.

DRC is our neighbour, we have very good relationship with the Congolese, so its our duty whether we like it or not to interfere and help out a neighbour to stamp out instability and make the country prosper. This will be beneficial to both of us.

Rwanda, let them not dare *** with us, we shant fear and we have the international back up..everybody knows that the rebels in DRC are helped by Kagame due to mineral wealth..few weeks ago, Rwanda complained that their Cobalt Cargo was lost in Dar Port..everybody asked, where the *** did Rwanda get Cobalt??

*** RWANDA AND EVERYBODY THAT SUPPORTS THEM. KAGAME IS A CUNNING DICTATOR AND HE SHOULD BE TOPPLED.
 
Mmh, vita zingine hizi hata sizielewi, sasa Rwanda watupige tumewachokoza?

Na uzuri sie kila wanaotaka rasilimali zetu hatuwanyimi tunawapa.

Marekani tumewapa kigamboni na sijui kule wapi, wachina nao tushawapa chao, watupigie nini sasa?

Ntarudi kesho nikiwa sober.
 
Mmh, vita zingine hizi hata sizielewi, sasa Rwanda watupige tumewachokoza?

Na uzuri sie kila wanaotaka rasilimali zetu hatuwanyimi tunawapa.

Marekani tumewapa kigamboni na sijui kule wapi, wachina nao tushawapa chao, watupigie nini sasa?

Ntarudi kesho nikiwa sober.

Bora urudi ukiwa soba usije ukatekwa na Mnyarwanda live hapa au ukawa Full Moon

Pia usisahau kuna ishu ya kusoti outi kule Ziwa Nyasa.

Tunakuhitaji sana ukiwa soba kwenye hizi ishu mbili.
 
Last edited by a moderator:
Rwanda needs to be punished for supporting the rebels in DRC.

DRC is our neighbour, we have very good relationship with the Congolese, so its our duty whether we like it or not to interfere and help out a neighbour to stamp out instability and make the country prosper. This will be beneficial to both of us.

Rwanda, let them not dare *** with us, we shant fear and we have the international back up..everybody knows that the rebels in DRC are helped by Kagame due to mineral wealth..few weeks ago, Rwanda complained that their Cobalt Cargo was lost in Dar Port..everybody asked, where the *** did Rwanda get Cobalt??

*** RWANDA AND EVERYBODY THAT SUPPORTS THEM. KAGAME IS A CUNNING DICTATOR AND HE SHOULD BE TOPPLED.

For this post alone, it sounds like Rwanda will walk alone very soon.
 
Afu Rwanda anaungana na Malawi, uwiii itakuwaje?
 
Sometimes tunatengeneza maadui sababu ya uzeifu wa mtu mmoja tu.

Ila Rwanda akitaka kutuchapa, labda tutakimbilia EAC.

Mahusiano ya Rwanda na EAC wengine yakoje? Lakini why vita wakati tuna zero laki 2 plus?

Na kama M23 ikishinda kwa nini tudhani ni Rwanda kasaidia? Hata kama kasaidia ni kweli humiliation ya kushindwa na M23 itatufanya tumpige Rwanda?
Hizi ni ego za mataifa makubwa sidhani kama TZ tumefikia hapo.

Hivi pamoja na kuweka wakimbizi wa Rwanda vile, leo tena tupigane?

Naona mwandishi kama vile katufanyia maamuzi mno, ikiwa hivi itakuwa vile. Inaweza ikawahivi na TZ isiamue kama anavyofikiri.

Bora urudi ukiwa soba usije ukatekwa na Mnyarwanda live hapa au ukawa Full Moon

Pia usisahau kuna ishu ya kusoti outi kule Ziwa Nyasa.

Tunakuhitaji sana ukiwa soba kwenye hizi ishu mbili.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Mganda?

Asijaribu kutuchonganisha na warwanda kwa bifu zao huko.

Sie si tunawapenda warwanda?(Kwa sauti ya woga kabisa na kujipendekeza)

Mwandishi anadai ni Mganda.

Ni mwanzilishi na mmiliki wa hiyo gazeti la Independent lililoandika hiyo hiyo story.

Amekuwa na bifu na Museveni kwa muda mrefu sasa kutokana na maandishi yake.

Soma article nyingine yake kuhusu DRC na pia msikilize kwenye video yake hapo chini kwanza kujua ni kwanini anakuja na hoja kuwa jeshi la Tanzania halitaweza huko DRC: The myth of Congolese wealth

Conclusion yake ni kwamba eti Wanyarwanda wanapenda kuwe na amani DRC kuliko wanavyopenda Wakongo wenyewe.

[video=youtube_share;Td1M5WDkGDo]http://youtu.be/Td1M5WDkGDo[/video]
 
Hivi pamoja na kuweka wakimbizi wa Rwanda vile, leo tena tupigane?

Wanadamu ni vigeugeu. Saddam si alikuwa best friend wa Marekani? Sasa hivi yuko wapi?

Hata Rwanda si ilikuwa inasifiwana na West juzi juzi tuu? What went wrong?
 
Marekani sio wa kukaa naye karibu

Ukimuudhi hakuachi, na boss sijui hajui.

Anamwita Obama baada tu ya kuchaguliwa afu anamwita Mchina baada ya kuchaguliwa.

Utadhani hajui hawa ni mahasimu wa kiuchumi japo wanatabasamu pamoja majukwaani.

Wanadamu ni vigeugeu. Saddam si alikuwa best friend wa Marekani? Sasa hivi yuko wapi?

Hata Rwanda si ilikuwa inasifiwana na West juzi juzi tuu? What went wrong?
 
Kumbe Mganda?

Asijaribu kutuchonganisha na warwanda kwa bifu zao huko.

Sie si tunawapenda warwanda?(Kwa sauti ya woga kabisa na kujipendekeza)

Sie ni watu wa "amani and utulivu" ati. Hatutaki bifu na mtu.

Ile vita ya dhidi ya Idd Amin ilitokea accidentally tuu.

Hata wanasiasa wetu huwa wanatuasa kila mara kuwa tudumishe "amani na utulivu" ulioko nchini.

Sasa kama hao wanasiasa wakiamua kutupeleka kwenye vita si watakuwa wanaenda kinyume na mahubiri yao?

Ila mtu akilianzisha accidentally shauri yake. We've got many powerful friends from China and America.

Hata Malawi wanalijua hili. Our close friends will do the needful.

Sana sana jeshi letu likisumbuka sana ni kukabiliana na maandamano ya Chadema kama polisi wakishindwa.

Otherwise, our soldiers don't need to bother. Amani na utulivu kwanza.
 
Sie ni watu wa "amani and utulivu" ati. Hatutaki bifu na mtu.

Ile vita ya dhidi ya Idd Amin ilitokea accidentally tuu.

Hata wanasiasa wetu huwa wanatuasa kila mara kuwa tudumishe "amani na utulivu" ulioko nchini.

Sasa kama hao wanasiasa wakiamua kutupeleka kwenye vita si watakuwa wanaenda kinyume na mahubiri yao?

Ila mtu akilianzisha accidentally shauri yake. We've got many powerful friends from China and America.

Hata Malawi wanalijua hili. Our close friends will do the needful.

Sana sana jeshi letu likisumbuka sana ni kukabiliana na maandamano ya Chadema kama polisi wakishindwa.

Otherwise, our soldiers don't need to bother. Amani na utulivu kwanza.
Bila Tanzania, RENAMO wangeshachukua madaraka Mozambique, ila wajomba zetu waliopigana huko ni wazee sasa.

Hata hivyo, ni upuuzi kudhani M23 itawachapa TPDF, hizo nchi weakness yao ni kama ya Amin .... too many factions opposing each other.... so, just mobilize them and use them as pawns.

Hiyo article ni lobbying za wanyarwanda.
 
Hata Russia iko upande wetu, hawatataka mradi wao wa urani uwe katika misukosuko.

Tutakuwa bize tunanyonya kama kwenye avatar

Sie ni watu wa "amani and utulivu" ati. Hatutaki bifu na mtu.

Ile vita ya dhidi ya Idd Amin ilitokea accidentally tuu.

Hata wanasiasa wetu huwa wanatuasa kila mara kuwa tudumishe "amani na utulivu" ulioko nchini.

Sasa kama hao wanasiasa wakiamua kutupeleka kwenye vita si watakuwa wanaenda kinyume na mahubiri yao?

Ila mtu akilianzisha accidentally shauri yake. We've got many powerful friends from China and America.

Hata Malawi wanalijua hili. Our close friends will do the needful.

Sana sana jeshi letu likisumbuka sana ni kukabiliana na maandamano ya Chadema kama polisi wakishindwa.

Otherwise, our soldiers don't need to bother. Amani na utulivu kwanza.
 
Moderator toa hii mada hapa jamvini haraka sana. Hatuwezi kuruhusu wapumbavu kujadili jeshi letu hapa.
 
Mwandishi anadai ni Mganda.
Conclusion yake ni kwamba eti Wanyarwanda wanapenda kuwe na amani DRC kuliko wanavyopenda Wakongo wenyewe.
Nini maoni yako mkuu?
 
EMT, Kobello,

..huyo mwandishi anajulikana kwa kuandika propaganda za Rwanda na Kagame.

..Mamilioni ya Wacongo wamekufa kutokana na uasi unaochochewa na Rwanda.

Katika mazingira hayo, ungetegemea waandishi wa Kiafrika watakuwa busy kuandika makala kuzililia roho hizo zilizopotea, lakini wapi!!!

..kwa kifupi ni kwamba nchi za magharibi zimeshamuweka mfukoni Joseph Kabila, kwa hiyo hawana haja tena na Kagame na makundi yake ya waasi.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom