eli -DEFIANT- cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 9,785
- 30,076
HahhahaHuyo jamaa na yeye kalala kindezi,
Hahah no i just wanted your opinion, sorryI don’t cheat, kwanini unanitag lakini😅
Sitaki kuamini kama amelala ..atakuwa anasikilizia mchezo..ila kama kalala atakuwa lofa sana...Huyo jamaa na yeye kalala kindezi,
mcheki fresh tena anaota kabisaSitaki kuamini kama amelala ..atakuwa anasikilizia mchezo..ila kama kalala atakuwa lofa sana...
Wanawake wengi wanacheat kwa sababu, sio kama nyie.. either kapenda huko nje, kwa kutojaliwa ndani au kakosa kutimiziwa haja zake za kimwili!Hahah no i just wanted your opinion, sorry
Now this is whats up.Female Hypergamy.
They are always looking for the highest bidder.
Yeyote atakayekuzidi chochote, basi ana chance kubwa ya kumkaza.
I ConcurWanawake wengi wanacheat kwa sababu, sio kama nyie.. either kapenda huko nje, kwa kutojaliwa ndani au kakosa kutimiziwa haja zake za kimwili!
Naona umeamua kuniondoa, ni utani tu mkuu usichulie serious! Ila sababu zipo kibao tu..
View: https://www.instagram.com/p/DVeJpTTiAMQ/?igsh=MTJhY2M1MjU2amMxNQ==
Naona umeamua kuniondoa, ni utani tu mkuu usichulie serious! Ila sababu zipo kibao tu..
View: https://www.instagram.com/p/DVeJpTTiAMQ/?igsh=MTJhY2M1MjU2amMxNQ==
Nipambane na maisha hard copy huku na soft copy tena!! Hahaha never!😂Usijali mkuu, kizuri nachopenda huwa tunaelewana akili zetu mimi na wewe, pia wewe huchukuliagi vitu too serious😁😁