Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,360
- 11,588
Wanawake bhana, akishaona mambo yamemwendea kombo ndipo anakumbuka kuna boya mmoja aliwahi kunitaka, anaamua kukutafuta
Kwa kipindi hiki nitakutakaje wakati tayari umeshafubaa? Nilitamani kumuona tena yule Khadija mwenye weusi wake wa kuteleza, jumlisha kishundu juu, mtoto ulikuwa unanawili, figure nane mashaallah! kifua kinaeleweka, ila hapo kwenye kishundu daaah dah! Leo hii unajipempela ilihali mwili ushakuwa kama sabufa za seapiano, ukigeuka nyuma ni kama mbele, umepauka pau, umezalishwa, sasa unapojaribu kuwa karibu yangu nitakupendaje ilihali kuna vibinti vibichi vibichi vinazagaa kwa mtaa vikitafuta wakunaji? Eti na yeye anaramba make up anakaa mbele yangu, ananyuka vimini ili mushedede ashtuke😀
Nilichokigundua, thamani ya mwanaume inazidi kupanda na ongezeko la umri, competition ya mabinti dhidi yake inakua kila kukicha. Thamani ya mwanamke inashuka jinsi umri unavyozidi kwenda, jumlisha kuzaa zaa huku. Thamani yake sasa imeshuka, anatafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu
Kuna siku nimempa salamu akiwa njiani, akajihisi kusamehewa maake sio kwa ule muitikio, aliitoa sauti ya asili isiyo na maringo, kwa uchangamfu mkubwa. Alipoharibu ni pale anamwambia mwanae "msalimie baba yako", katoto nako "amo baba!" babaje?😁 Hali aliyofikia, wanawake wengi walio kwenye status kama hii ndipo hutafunika sana kwa kuwa wana uoga wa kuendelea kuitwa single mother, hivyo anajitokeza mwanaume anamuahidi kumuoa, anampa tumizi la siku mbili tatu, anamvutia Kitojo G/House, anaimunyiza mbun'go, anapita hivi
Kweli maisha yanabadilika aisee! ila namuonea wivu sana aliyeigusa hiyo pisi kipindi hicho inanawili maake ilinipeleka puta sana, sasa hivi imedorosa, imekuwa cha wote, halafu ni kama inawaza future na mimi, ili tulee mtoto wetu🤣🤣🤣🤣
Asalaam Aleikyum...
Kwa kipindi hiki nitakutakaje wakati tayari umeshafubaa? Nilitamani kumuona tena yule Khadija mwenye weusi wake wa kuteleza, jumlisha kishundu juu, mtoto ulikuwa unanawili, figure nane mashaallah! kifua kinaeleweka, ila hapo kwenye kishundu daaah dah! Leo hii unajipempela ilihali mwili ushakuwa kama sabufa za seapiano, ukigeuka nyuma ni kama mbele, umepauka pau, umezalishwa, sasa unapojaribu kuwa karibu yangu nitakupendaje ilihali kuna vibinti vibichi vibichi vinazagaa kwa mtaa vikitafuta wakunaji? Eti na yeye anaramba make up anakaa mbele yangu, ananyuka vimini ili mushedede ashtuke😀
Nilichokigundua, thamani ya mwanaume inazidi kupanda na ongezeko la umri, competition ya mabinti dhidi yake inakua kila kukicha. Thamani ya mwanamke inashuka jinsi umri unavyozidi kwenda, jumlisha kuzaa zaa huku. Thamani yake sasa imeshuka, anatafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu
Kuna siku nimempa salamu akiwa njiani, akajihisi kusamehewa maake sio kwa ule muitikio, aliitoa sauti ya asili isiyo na maringo, kwa uchangamfu mkubwa. Alipoharibu ni pale anamwambia mwanae "msalimie baba yako", katoto nako "amo baba!" babaje?😁 Hali aliyofikia, wanawake wengi walio kwenye status kama hii ndipo hutafunika sana kwa kuwa wana uoga wa kuendelea kuitwa single mother, hivyo anajitokeza mwanaume anamuahidi kumuoa, anampa tumizi la siku mbili tatu, anamvutia Kitojo G/House, anaimunyiza mbun'go, anapita hivi
Kweli maisha yanabadilika aisee! ila namuonea wivu sana aliyeigusa hiyo pisi kipindi hicho inanawili maake ilinipeleka puta sana, sasa hivi imedorosa, imekuwa cha wote, halafu ni kama inawaza future na mimi, ili tulee mtoto wetu🤣🤣🤣🤣
Asalaam Aleikyum...