cheat

Cheating generally describes various actions designed to subvert rules in order to obtain unfair advantages. This includes acts of bribery, cronyism and nepotism in any situation where individuals are given preference using inappropriate criteria. The rules infringed may be explicit, or they may be from an unwritten code of conduct based on morality, ethics or custom, making the identification of cheating conduct a potentially subjective process. Cheating can refer specifically to infidelity. Someone who is known for cheating is referred to as a cheat in British English, and a cheater in American English. A person described as a "cheat" doesn't necessarily cheat all the time, but rather, relies on deceitful tactics to the point of acquiring a reputation for it.

View More On Wikipedia.org
  1. THE FIRST BORN

    Hivi ingekuwaje kama wanawake ndio wangekuwa wanatongoza wanaume?

    Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI. Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi...
  2. 2 of Amerikaz most wanted

    Love don't pay bills and money don't cheat

    Vegas Gamblers girlfriend leaves him over gambling addiction so he makes new one out of money.
  3. M

    Ni sahihi kumuacha mpenzi wako kwasababu ameku-cheat?

    Hey Guys! Mnaendeleaje, Poleni na majukumu, naomba mawazo yenu juu ya hii changamoto hapa. Hivi ni sahihi kumuacha mpenzi wako aliyekucheat na kama ukiamua kumsamehe ni muhimu kufahamu kuwa mahusiano yao na huyo aliyecheat nae yameishia wapi?
  4. Naanto Mushi

    Kiroho, kama humsaliti mke wako yeye pia hawezi kukusaliti

    Hii nakupa chukua.. Hamna uchafu unaokuja mahali pasafi hata siku moja. Ndiyo maana unakuta mtu kama roho yako imejaa Yesu, mtu hata akuendee kwa waganga hakupati, hii pia nakupa chukua. Issue ya ku cheat pia naona imekaa kiroho zaidi. Mwanaume ukiwa unachepuka maana yake unakaribisha roho ya...
  5. Sky Eclat

    Mwanaume amekutwa live ana cheat na bado haja tusi nyumbani siku ya tatu

    Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama. Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na...
  6. M

    Ushawahi kujutia kumcheat umpendaye?

    Wakuu salaam, Kuna mtu ukiwa naye kwenye mahusiano/ndoa vile anavokupenda na kukutreat ikitokea umemcheat unajihisi mkosefu sana mbele zake hata ukawa na majuto. Kuna muda unatamani kumuomba samahani but ndio haiwezekani unabaki na majuto moyoni. Je, ushawahi pitia situation hii na...
Back
Top Bottom