How Diana secretly recorded hours of tapes pouring out her despair ?

In fact she was the dumbest lady I have ever heard.! Yaani mama wa mfalme wa uingereza,azae na mwarabu kabisa halafu wamtazame tu,na huyo mwarabu awe ndugu wa William !! Hatari kubwa.
Ajabu sana Kiongozi. Wasingemwacha asilani sema akili ndogo walishindwa kuliona hilo. Walipata walichostahili.
 
Ajabu sana Kiongozi. Wasingemwacha asilani sema akili ndogo walishindwa kuliona hilo. Walipata walichostahili.
Nilisikitishwa sana na kifo chake,ila sijawahi kumuonea huruma. Majumba makubwa yana mambo makubwa na waingereza ni wanazi wa protokali,hilo alipaswa kujua. Angetulia tu akamegwa kisailensa na mtu respectable ila siyo kuzaa tena waarabu,haikubaliki.
 
Nilisikitishwa sana na kifo chake,ila sijawahi kumuonea huruma. Majumba makubwa yana mambo makubwa na waingereza ni wanazi wa protokali,hilo alipaswa kujua. Angetulia tu akamegwa kisailensa na mtu respectable ila siyo kuzaa tena waarabu,haikubaliki.
mwarabu hawezi kuwa respectable!?..mkoloni aliwarithisha chuki nzito sana nyie
 
Mama mkwe wake wa zamani - Her Majesty, the Queen; mumewe wa zamani, Prince of Wales (mfalme mtarajiwa) ndio hao wakuu wa nchi na Kanisa la England halafu eti "kuwakomoa" anaenda "kuonesha mahaba" na jitu gani sijui huko; hawawezi kukuacha.

Huyu binti na kukaa kote kwenye nafasi muhimu inaonekana alikuwa "akili ndogo"; alishindwaje kujua fitna za kisiasa na ulimwengu unavyokwenda including dini na mambo kama hayo? Alipaswa ajikalie zake kwa upole na adabu; angekula mema ya nchi sasa ujinga wake umefupisha maisha yake.
Diana aliolewa angali mdogo miaka 19 tu, wazazi wake walishaachana na ha kupata malezi ya mama. Kate Middleton anahimili mikiki ya royal family kwa msaada mkubwa wa mawazo kutoka kwa mama yake.
 
Nilisikitishwa sana na kifo chake,ila sijawahi kumuonea huruma. Majumba makubwa yana mambo makubwa na waingereza ni wanazi wa protokali,hilo alipaswa kujua. Angetulia tu akamegwa kisailensa na mtu respectable ila siyo kuzaa tena waarabu,haikubaliki.
Alipaswa kujua kitendo cha kuwa member Buckingham Palace ni kukubali kupoteza sehemu ya uhuru wake; hakujua hilo. Kwa nafasi aliyokuwa nayo alipaswa kujua security machinery ya nchi yake inafanyaje kazi; miiko ya kuwa sehemu ya ufalme, n.k; just basic do's and dont's. Hapo Uhindini, Pakistan, na Uarabuni kila leo akina dada kwenye familia za kawaida "wanapotezwa" kwa kwenda kinyume na "miiko ya familia" sembuse Royal Family!
 
Alipaswa kujua kitendo cha kuwa member Buckingham Palace ni kukubali kupoteza sehemu ya uhuru wake; hakujua hilo. Kwa nafasi aliyokuwa nayo alipaswa kujua security machinery ya nchi yake inafanyaje kazi; miiko ya kuwa sehemu ya ufalme, n.k; just basic do's and dont's. Hapo Uhindini, Pakistan, na Uarabuni kila leo akina dada kwenye familia za kawaida "wanapotezwa" kwa kwenda kinyume na "miiko ya familia" sembuse Royal Family!
Ushindani ulimponza sana,talaka alipewa but not to zet extent. Maana alipewa kasri la kifalme nadhani na stahili zote za kifalme,halafu eti anataka kuwa huru kuzurula na wakina Dodi.Nani akubali.!
 
Alipaswa kujua kitendo cha kuwa member Buckingham Palace ni kukubali kupoteza sehemu ya uhuru wake; hakujua hilo. Kwa nafasi aliyokuwa nayo alipaswa kujua security machinery ya nchi yake inafanyaje kazi; miiko ya kuwa sehemu ya ufalme, n.k; just basic do's and dont's. Hapo Uhindini, Pakistan, na Uarabuni kila leo akina dada kwenye familia za kawaida "wanapotezwa" kwa kwenda kinyume na "miiko ya familia" sembuse Royal Family!
Mfalme hawezi kushare kitumbua na commoner, na pia watoto wa mfalme hawawezi kuwa na dada mama mmoja marabu.
 
Ushindani ulimponza sana,talaka alipewa but not to zet extent. Maana alipewa kasri la kifalme nadhani na stahili zote za kifalme,halafu eti anataka kuwa huru kuzurula na wakina Dodi.Nani akubali.!
Ha ha ha! In fact sio kwamba baada ya kuachana na mumewe haikujulikana kwamba "atagongwa"; la muhimu alipaswa kugongwa kistaarabu na kuitunzia familia na mfalme (mumewe wa zamani na mwanae - William) heshima. Dah! Sasa yeye kaamua kabisa kuonesha ufirauni hadharani utafikiri yuko Hollywood mbaya zaidi mwarabu. Matusi kwa familia ya kifalme na ukimtusi mfalme umeitusi nchi. Waingereza wasingemwacha.
 
Nilisikitishwa sana na kifo chake,ila sijawahi kumuonea huruma. Majumba makubwa yana mambo makubwa na waingereza ni wanazi wa protokali,hilo alipaswa kujua. Angetulia tu akamegwa kisailensa na mtu respectable ila siyo kuzaa tena waarabu,haikubaliki.
Mkuu kwani akizaa na mwarabu? Huyo jamaa mwarabu si alikuwa anajipigia tu...
 
Ha ha ha! In fact sio kwamba baada ya kuachana na mumewe haikujulikana kwamba "atagongwa"; la muhimu alipaswa kugongwa kistaarabu na kuitunzia familia na mfalme (mumewe wa zamani na mwanae - William) heshima. Dah! Sasa yeye kaamua kabisa kuonesha ufirauni hadharani utafikiri yuko Hollywood mbaya zaidi mwarabu. Matusi kwa familia ya kifalme na ukimtusi mfalme umeitusi nchi. Waingereza wasingemwacha.
Ila jamaa ni wababe sana,japo na yeye alijifanya wa rusha roho sana.
 
RIP Lady Diana your soul will live forever in my heart!
Adui zako wataishia wote kwa mateso makuu hapa duniani na watakitafuta kifo hawatakipata!
 
Back
Top Bottom