Mhe. TUKUTUKU, nadhani kama kweli umeamua kukiri makosa , fukuza huyo House Girl wako na uachane nae kabisa , Then hilo jingine anza kulifanyia utafiti, maana isije ikawa janja ya hg kutaka kuwafarakanisha ili aweze kuchukua ukanda , kama kuna ukweli lazima utajitenga na hapo ndipo chukua hatua dhidi ya mkeo. Otherwise, utajikuta mke unakosa, mfanyakazi mwenyekuaminika naye mnapoteza unabaki na huyo hg + watoto wakiteseka na hasara nyingine nyingi ukizingatia huyo hajui kukataa hata baada ya kumpromote bado ataendela kuona kama na wengine wanamsifia kama ulivyofanya wewe . Kumbuka Tamaa --> dhambi---> mauti
Sweetlady, yaani ikiwa ni hivyo ni afadhali! Unajua sitaki kuamini kwasababu...hili jukwaa la MMU watu wanatengeneza stori ambazo si za kweli, ili kuona watu wana-react vipi!!!
Unajua namfkiri huyo h/g, alipata wapi ujasiri wa kuanza kumwambia "hata mlinzi naye alinisifia......",! Huyu h/g ni mdogo kiasi gani...mpaka asione aibu kwa yale aliyofanya na mlinzi na kumsimulia baba mwenye nyumba????!!!!! haya maneno:
"Asante sana Baba kwa kuniambia ukweli,hii ni mara ya pili,mara ya kwanza Mlinzi aliwahi kunisifia na kuniambia penzi langu ni tamu sana kuliko la mama(Mke wangu),nilimbishia sana na kuamini alikuwa ananitania.Sasa leo nimeamini baada ya wewe pia kunisifia" Naona kama yamechakakuliwa hivi????!!!!
Tukiongea kiume ningeshauri huyo h/g umpandishe cheo na kumfanya small hausi na kumpangia mbali na home lakini kwakuwa kakiri kutembea na mlinzi huyo atakuwa ugawaji fukuza wote.
Kwa housegirl ni raisi sana kumfukuza sitopata upinzani wowote kutoka kwenye familia yangu!!mbona umeng'ang'ania mlinzi na huyo h'g je? Yeye pia inabd umfukuze. Mimi pia nmekusamehe ila ucrudie tena! Mlinzi usimfkuze! Anza na h'g kwanza.
Ahahha!ni kweli mtamu sana,lakini nahitaji kujenga familia yangu upya,nipo tayari kumfukuza huyo housegirl kama itakuwa ndiyo suluhisho!!Mbona umekazana kutaka mbinu ya kumfukuza mlinzi na h/g humtaji au bado unamhitaji si umekiri ni mtamu kuliko maza hausi.
Ni kweli sister!hii imetokea,tofauti na watu wengine mimi nimeamua kuwa mkweli!kwani waswahili wanasema mficha magonjwa mauti umuumbua!!Tukukutu, haya uliyosema ni kweli??? au ndo zile hadithi wanajamvi wanatengeneza ili watu waweze kuchangia?? Kwanini nauliza, nashindwa kuamini jinsi huyo housegirl alivyokuambia????....:A S 13::A S 13::A S 13: