Babu Lao
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,043
- 179
Tutajirekebisha mkuu!bado nasubiri ushauri wenu namna ya kumfukuza mlinzi!!
Kwanini umfukuze mlinzi tu, kama ni kufukuza basi fukuza wote na kama ni kuwaacha basi waache wote...:A S 13:
Tutajirekebisha mkuu!bado nasubiri ushauri wenu namna ya kumfukuza mlinzi!!
Sawa mkuu nimeshakiri kuwa nini makosa na nikaomba mnisamee!naomba ushauri wako namna ya kumfukuza mlizi!!
Asante sana kwa ushauri wako mkuu!!kwa nini hutapata upnzan? Familia haimtaki? Kama ni rahisi anza nae,then mfwate mlinzi kiume, mwambie nmegundua unamchakachua wife so potea kabla cjakufanya hamna, kama ni kwel ataogopa then atapotea, ucmwambie wife. Akshaondoka wife akiulza mwambie ulchogundua, baada ya hapo kaeni chini muangalie wap mlianza kupotea, i mean mapunguf yenu wote wawil na jinsi ya kuyakabili ili huo ujinga ucjirudie tena. Naamin hutarudia tena kaka tukutuku. Mungu akutangulie!
Mimi nina uhusiana wa kimapenzi na housegirl wangu.Siku moja tulikuwa faragha, tukifanya mapenzi,baada ya kumaliza kufanya mapenzi nilimsifia sana na kumwambia penzi alilonipa ni tamu sana kuliko hata la mke wangu.
Baada ya kusikia hivyo alifurahi sana na kusema asante sana Baba kwa kuniambia ukweli,hii ni mara ya pili,mara ya kwanza Mlinzi aliwahi kunisifia na kuniambia penzi langu ni tamu sana kuliko la mama(Mke wangu),nilimbishia sana na kuamini alikuwa ananitania.Sasa leo nimeamini baada ya wewe pia kunisifia.
Baada ya kusikia hayo nilichanganyikiwa sana,na hasa baada ya kugundua kuwa mlinzi wangu kumbe anatembea na mke wangu wa ndoa.Baada ya kufikiri kwa kina niligundua kuwa mimi nilikuwa mkosefu sana,sistahili hata kidogo kumfukuza mke wangu,lakini ni lazima nimfukuze mlinzi ili kunusuru ndoa yangu.Kinachonitatiza ni namna ya kumfukuza huyu mlinzi wangu.Sote kama familia tunaamini ni mchapa kazi na hana mapungufu yoyote ambayo naweza kuyatumia kumfukuza kazi.Je nitumie mbinu gani ili niweze kumfukuza .
Najua nina makosa,lakini naomba wanaJF wote mnisamehe,kwa kuwa hakuna binadamu aliyekamilika,kila mtu ana mapungufu yake.Naomba ushauri wenu namna ya kumfukuza mlinzi.
Nawasilisha!!
Nilikuwa na siku nzuri kwa hili umenichefua!
yan ndgu yng huna tofaut na mimi, cku yte imeharbka dk za mwsho. Nataman kulia juu ya hil, kwel machoz yanakaribia kutoka. Imeniuma kupta maelezo!
Tukukutu, haya uliyosema ni kweli??? au ndo zile hadithi wanajamvi wanatengeneza ili watu waweze kuchangia?? Kwanini nauliza, nashindwa kuamini jinsi huyo housegirl alivyokuambia????....:A S 13::A S 13::A S 13:
Tukiongea kiume ningeshauri huyo h/g umpandishe cheo na kumfanya small hausi na kumpangia mbali na home lakini kwakuwa kakiri kutembea na mlinzi huyo atakuwa ugawaji fukuza wote.Asante sana kwa ushauri wako mkuu!!
Mimi hata siamini kama ni kweli.....:A S 13::A S 13::A S 13:!
Tukiongea kiume ningeshauri huyo h/g umpandishe cheo na kumfanya small hausi na kumpangia mbali na home lakini kwakuwa kakiri kutembea na mlinzi huyo atakuwa ugawaji fukuza wote.
isijekuwa ni ndoto aliota ucku then akasahau akajua ni real story. Nataman aje tena a2ambie samahan wanajamvi hii ilkuwa ni ndoto niliyoota ucku. Yan nngefurahi kupita maelezo cz ameniumiza utadhan mm ndo my wife wake.
Mimi nina uhusiana wa kimapenzi na housegirl wangu.Siku moja tulikuwa faragha, tukifanya mapenzi,baada ya kumaliza kufanya mapenzi nilimsifia sana na kumwambia penzi alilonipa ni tamu sana kuliko hata la mke wangu.
Baada ya kusikia hivyo alifurahi sana na kusema asante sana Baba kwa kuniambia ukweli,hii ni mara ya pili,mara ya kwanza Mlinzi aliwahi kunisifia na kuniambia penzi langu ni tamu sana kuliko la mama(Mke wangu),nilimbishia sana na kuamini alikuwa ananitania.Sasa leo nimeamini baada ya wewe pia kunisifia.
Baada ya kusikia hayo nilichanganyikiwa sana,na hasa baada ya kugundua kuwa mlinzi wangu kumbe anatembea na mke wangu wa ndoa.Baada ya kufikiri kwa kina niligundua kuwa mimi nilikuwa mkosefu sana,sistahili hata kidogo kumfukuza mke wangu,lakini ni lazima nimfukuze mlinzi ili kunusuru ndoa yangu.Kinachonitatiza ni namna ya kumfukuza huyu mlinzi wangu.Sote kama familia tunaamini ni mchapa kazi na hana mapungufu yoyote ambayo naweza kuyatumia kumfukuza kazi.Je nitumie mbinu gani ili niweze kumfukuza .
Najua nina makosa,lakini naomba wanaJF wote mnisamehe,kwa kuwa hakuna binadamu aliyekamilika,kila mtu ana mapungufu yake.Naomba ushauri wenu namna ya kumfukuza mlinzi.
Nawasilisha!!
Tukukutu, haya uliyosema ni kweli??? au ndo zile hadithi wanajamvi wanatengeneza ili watu waweze kuchangia?? Kwanini nauliza, nashindwa kuamini jinsi huyo housegirl alivyokuambia????....:A S 13::A S 13::A S 13: