House panel approves articles of impeachment against Trump

House panel approves articles of impeachment against Trump

Kama anafanya mema, makubwa, mazuri na kuleta maendeleo, hata Magufuli aongezewe tuu awe kama Mugabe, Museveni na Kagame.
P
Pascal Mayalla sikiliza debate ya impechment, utaonja utamu wa democracy! achana na habar za hapa ambapo na wewe unachokiandika ni kile ambacho Jiwe anahitaji kukisikia. Unamuogopa Ndugai, unamuogopa Siro, Mabeho (ingawa huyu si sana)....
 
Pascal Mayalla sikiliza debate ya impechment, utaonja utamu wa democracy! achana na habar za hapa ambapo na wewe unachokiandika ni kile ambacho Jiwe anahitaji kukisikia. Unamuogopa Ndugai, unamuogopa Siro, Mabeho (ingawa huyu si sana)....
Nimecheka hapo kwa Mabeyo, eti ingawa sii sana!. Kwa taarifa yako, simuigopi mtu yoyote hata Magufuli ila nawaheshimu watu wote kutokana na utu wao fiw who they are and not what they are.
P
 
Nimecheka hapo kwa Mabeyo, eti ingawa sii sana!. Kwa taarifa yako, simuigopi mtu yoyote hata Magufuli ila nawaheshimu watu wote kutokana na utu wao fiw who they are and not what they are.
P
 
Mayalla si ulisoma sheria wewe?Hii comment ni professional disgrace
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusoma sheria ni jambo moja, kupeactice sheria ni jambo jingine, na kuwa mwanasheria its quite another.
Soma hapa nilisema nini
P
 
Kama mama yako alivyokufa
Mkuu Retired; heshima ni kitu cha bure, sisi as jf members, lets be free kutukanana sisi kwa sisi as we wish na tutukane tunavyoweza lakini tutukanane wenyewe, tusiingize wasio husika, mama yake unamwingiza wa nini?
P
 
Mkuu Retired; heshima ni kitu cha bure, sisi aa jf members, lets be free kutukana tunavyoweza lakini usiingize wasio husika, mama yake unanwingiza wa nini?
P
Pascal Mayalla ukinitukana nitakutafutia tusi ambalo utakosa usingizi. Huyu kijana hafai kabisa. Nitamtukna lolote anyway! Labda kwa vile umesema na wewe una heshima hapa, let me delete it1
 
Pascal, jiulize maswali haya yafuatayo.

(i) Mema, makubwa, na mazuri ni nini? (ii) Maendeleo ni nini? (iii) 'Standard definitions' za "mema" "makubwa" na "mazuri" ndani ya muktadha huu zikoje? (iv) Na bila 'standardised constitutional system' (rule of law) unaweza ukazisadifu vipi definitions hizo?

Vivumishi "mema", "makubwa", na "mazuri" viko subjective; huwezi kuvitumia kwa uhakika na kwa kujiamini namna hiyo kama ithibati ndani ya muktadha wa kisiasa. Kwa maneno mengine, katika mazingira halisi ya kisiasa, kile kilicho "chema" kwako wewe Pascal, labda kwa ushabiki wako binafsi au kwa sababu nyingine kadha wa kadha, kinaweza kikawa "kibaya" kwa wengine; na yaliyo "makubwa" kwako yanaweza yakawa "madogo" kwa mwingine.

Sisi Waafrika, na hasa sisi Watanzania wa kizazi hiki, ni mizigo. Narudia tena, sisi waBongo ni MIZIGO. Na ninasikitika kusema, itatuchukua muda mrefu sana kujitambua.
Mkuu Nietzsche umepiga mlemle kabisa. Asante kwa ujumbe huu murua!! Tatizo letu kubwa ni uoga!! Hapo ndipo ulipo mushkeli wetu.
 
Mkuu Nietzsche umepiga mlemle kabisa. Asante kwa ujumbe huu murua!! Tatizo letu kubwa ni uoga!! Hapo ndipo ulipo mushkeli wetu.
Capri-point, usisahau unafiki na nidhamu-bandia (nidhamu ya uoga), vitu ambavyo Mwalimu (Nyerere) alivichukia sana.
 
I Quote: The Rule of Law is the one that differentiates us from Third world countries where dictators rule for decades by violating their constitution for their own gains!

Wanatudharau sana, halafu majitu eti mtu aongezewe muda!
Kwahiyo we unawaheshimu ? Unawaheshimu watu wanaoruhusu ushoga na usagaji? Unawaheshimu watu wanaomwaga dam za watu wasio na hatia ? Kama wanatudharau na wewe wadharau . Af swala la kiongozi kukaa muda mrefu ni unafiki wao kusingizia Afrika mbona rafiki wao saudia hakuna demokrasia na hawajawanyoshea vidole ? .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I Quote: The Rule of Law is the one that differentiates us from Third world countries where dictators rule for decades by violating their constitution for their own gains!

Wanatudharau sana, halafu majitu eti mtu aongezewe muda!
Hajatudharau amesema kweli ingawa waafrika hatupendi kuambiwa kweli.
 
I Quote: The Rule of Law is the one that differentiates us from Third world countries where dictators rule for decades by violating their constitution for their own gains!

Wanatudharau sana, halafu majitu eti mtu aongezewe muda!
Hawatudharau, ndiyo tulivyo waafrica.
 
Pesa zipi na kiasi gani?

Mkuu pengine hufuatilii mambo ambayo yanatokea hapa duniani kwa kina. USA fuatilia Panama papers. UK wamekuwa na mgogoro wa miaka mingi na Nigerian Government kuhusu utoroshaji wa pesa haramu kutoka Nigeria. Switzerland walipewa onyo hivi karibuni kushirikiana na viongozi wengi wa Afrika kufungua account ambazo wengi wao hawaonyeshi jinsi walivyopata hizo pesa kama ni halali au la? USA wanapitia sheria zao kuona wanazuia pesa zinazotokana na crime. UK wamezuia Gold Bullion inayohifadhiwa na Venezuela kwenye gold volts pale London. etc. Come outside and smell the coffee.
 
Back
Top Bottom