House girl anatafutwa

Nimetumia hiyo sentensi kumaanisha kwamba watu waliostaarabika na wanaowaajiri mahousegirl,mimi nimejitoa hapo kwa sababu sijaajiri mahousegirl japo nimestaarabika kazi nyingi za nyumbani anafanya wife na ndugu yeyote atakayekuwepo.
Huwa sipendi kujifanya nina uwezo wa kuwalipa wafanyakazi halafu nije kuwatesa watoto wa watu hiyo dhambi siitaki.
Asante!
 
Ngoja nikubali kwamba Sina lolote, lakini naamini ukweli nimekueleza na dawa imekuingia..
Wa tz bana, mtu anaongea utasema kweli...

Eti ana wafanya kazi wawili anawalipa 70k kila mmoja (kwenye hadithi yake ameamua mshahara ufanane na ninao utoa)

Mmoja kazi yake kufua tu...
Mwingine kazi yake kukaa na watoto...

Dah!

Nnilitegemea uta weka hata vipengele vya mkataba ulio wasainisha hawa waajiriwa wako, au unawalipa kama ndugu...

Nilitegemea uta attach contract pamoja na bima ya matibabu na fao la kustaafu...


Lets be practical, acheni maigizo...
 
Wa tz bana, mtu anaongea utasema kweli...

Eti ana wafanya kazi wawili anawalipa 70k kila mmoja (kwenye hadithi yake ameamua mshahara ufanane na ninao utoa)

Mmoja kazi yake kufua tu...
Mwingine kazi yake kukaa na watoto...

Dah!

Nnilitegemea uta weka hata vipengele vya mkataba ulio wasainisha hawa waajiriwa wako, au unawalipa kama ndugu...

Nilitegemea uta attach contract pamoja na bima ya matibabu na fao la kustaafu...


Lets be practical, acheni maigizo...
Kijana, naona tangu ujue kuuza nguo na ukahamia Dar toka Tabora ukaenda kuishi G/Mboto, basi unaona maisha umeyalenga.....

And let me advice you young boy, hawa wadada pia ni watu na lazima tuishi nao kwa upendo pasipo kuwaona kama machines kwakua tu tunawalipa.

Kama wewe ni mzazi utafahamu ninacho kimaanisha hapa. Mimi mdada wa kufua nguo ndie anae angalia watoto wangu kwasababu sipendi kuona wanangu wadogo wakienda ama kukaribia jikoni ili kuminimize risks. Na pia napenda wadada wanao tudaidia wawe na furaha, hii ni kutokana na negativity attitude ambazo nimewahi kuziona kutoka kwa wadada hawa wa kazi.

Nkuhusu kuwalipa kila mmoja 70k yes, ninawalipa kwasababu ninamudu kuwalipa kiasi hicho cha fedha, na tunaishinao nyumbani kama sehem ya familia yetu.
 
Kijana, naona tangu ujue kuuza nguo na ukahama toka Tabora ukaenda kuishi G/Mboto, basi unaona maisha umeyalenga.....
And let me advice you young boy, hawa wadada pia ni watu na lazima tuishi nao kwa upendo pasipo kuwaona kama machines kwakua tu tunawalipa.
Kama wewe ni mzazi utafahamu ninacho kimaanisha hapa. Mimi mdada wa kufua nguo ndie anae angalia watoto wangu kwasababu sipendi kuona wanangu wadogo wakienda ama kukaribia jikoni ili kuminimize risks. Na pia napenda wadada wanao tudaidia wawe na furaha, hii ni kutokana na negativity attitude ambazo nimewahi kuziona kutoka kwa wadada hawa wa kazi.
Nkuhusu kuwalipa kila mmoja 70k yes, ninawalipa kwasababu ninamudu kuwalipa kiasi hicho cha fedha, na tunaishinao nyumbani kama sehem ya familia yetu.
Well and good, Evidence??

Kukaribia moto, hoja nyepesi hii

Anyway! To cut a long story short, kila mtu abaki na utaratibu wake, tunatofautiana na tulubali tofauti zetu, ndio maana hata makampuni makubwa yana salary levels tofauti...

I hope hapa tume reconcile, and sorry kama nìmekukwaza
 
Well and good, Evidence??

Kukaribia moto, hoja nyepesi hii

Anyway! To cut a long story short, kila mtu abaki na utaratibu wake, tunatofautiana na tulubali tofauti zetu, ndio maana hata makampuni makubwa yana salary levels tofauti...

I hope hapa tume reconcile, and sorry kama nìmekukwaza
Haujanikwaza mkuu, hapa tunawekana tu sawa. Na ingekua kama unahitaji kubaki na utratibu wako next time usirudie kuuweka kwenye public dare we talk openly..😎
 
House girl ni mdada wa kazi mbalimbali za nyumbani. Anapoongezewa kusaidia na biashara nyingine lazima uongeze dau. Hata kama unasema eti inamsaidia kumpa ujuzi. Itambidi afanya kazi za ndani kwa haraka na shuruba ili afanikishe na biashara zako pia.

Ongeza dau
 
Atakua naafanya kazi zote za ndani, wakati mwingine atakua anafanya kazi za delievery ya keki pamoja na kuagizwa vifaa vya keki.

Wa kuja na kuondoka itapendeza. Ila hata akipatikana wa kulala atachukuliwa.
Atafundishwa kupika keki pia.
Chai na chakula cha mchana bure.

Mshahara 70,000/=

Awe mwenyeji wa Dar
Awe na moyo wa upendo kwa watoto
Awe anajua kusoma na kuandika.

Pesa yake itapitia bank

Nicheki PM

Eneo la kazi ni mbezi Mpiji magohe
Hapo kwenye sifa za house girl ushamaliza?
-- awe na mvuto wa sura? au hata sura kama gari la jeshi utampokea?
 
emoji23.png
Mkuu mbona maswali ya msingi mengi unayakwepa halafu unatoa vijembe na mipasho.
Hiyo michanganuo yote unayopewa ndio ukweli wenyewe huo.
Yaani hapo unamuajiri kwa kazi za aina tatu tofauti kwa mshahara mmoja tena kiduchu huo ni unyonyaji.
Yaani hapo atafanya kazi za nyumbani zote halafu baada ya hapo akusaidie tena kutengeneza biashara yako ya keki wewe ukapige pesa kwa mshahara uleule wa elfu 70.
Hii sio haki kabisa.
Watu waliostaarabika huwa wanazigawanya kazi katika makundi na wafanyakazi tofauti yaani kunakuwa na housegirl,houseboy na mkaka/mdada wa dukani hao ni watu watatu tofauti na majukumu yao ni tofauti.
Umesahau a delivery hizo cake.
 
Natumai atakua anajua kutumia ATM, maana nahitaji anaejua kusoma na kuandika, kama hajui ataelekezwa
Anyway simamia msimamo wakok
Chukua dakika mbili ufikirie siku unakutana na dada wa kazi Bank, ana ATM card yake anatoa pesa (haijarishi ni kiasi gani), anapata ujumbe mshahara wake ukiingia.

Kama akili yako inafanya kazi utaelewa maana yangu....

Achilia mbali namna atakavyo kua akijisikia kwenda Bank n.k...


Lets change the world...
Shida sio kubwa kapesa kadogoo nshakuwa na AC bank, eti akipata shida ya PEDI aende bank atoe 2500 ya kununulia daaaah!.
Ndio, au ulipenda upewe milioni ndio ufungue account? ELIMU! ELIMU! ELIMU!
we leta jeuri,,,, utajihousegirl mwenyewe ili ujilipe.
 
Sio watoto wadogo, hilo swala linatokea sana kwenye nyumba na mwisho wa siku anafukuzwa na kiumbe chake bila kupata msaada sahihi.

Hakika si rahisi kumlinda mwanadamu Ila walau kumpa semina namna ya kujikinga na mimba au hata na wanaume warubunifu.
Kwani vidonge vya P2 vimeisha maduka ya dawa? Acheni tujitafunie vijakazi wetu bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom