Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hotuba za JPM hazina matumaini kwa mwananchi wa kawaida.
Sioni rais akiongelea kitu ambacho hajawahi kukiongelea, ndege ameshaongea.
Kuna mambo Muhimu ambayo wananchi wana hamu ya kuyasikia ila wakimuangalia rais kiukweli huyu hana msaada kwa maisha ya sasa ya watanzania.
Ajira zilizositishwa. Hapa rais anachukulia mzaha ila kuna kundi kubwa sana linaumia.
Uhuru wa vyombo vya habari, tulitegemea rais agusie kidogo kwenye hotuba zake ila hana time .
Maisha kuwa magumu.
Hapa ndio tatizo liko hapa, huyu JPM ni kama yupo Kenya, anayoyaongea na anachokiamini na uhalisia ni kama mbingu na bahari.
Ninachokiona kundi kubwa la watanzania hawana matumaini kabisa.
Kilichobaki tu wanaomba sasa hivi siku zikimbie ifike mwaka 2020.
Ni mtizamo wangu naweza kupingwa.
Sioni rais akiongelea kitu ambacho hajawahi kukiongelea, ndege ameshaongea.
Kuna mambo Muhimu ambayo wananchi wana hamu ya kuyasikia ila wakimuangalia rais kiukweli huyu hana msaada kwa maisha ya sasa ya watanzania.
Ajira zilizositishwa. Hapa rais anachukulia mzaha ila kuna kundi kubwa sana linaumia.
Uhuru wa vyombo vya habari, tulitegemea rais agusie kidogo kwenye hotuba zake ila hana time .
Maisha kuwa magumu.
Hapa ndio tatizo liko hapa, huyu JPM ni kama yupo Kenya, anayoyaongea na anachokiamini na uhalisia ni kama mbingu na bahari.
Ninachokiona kundi kubwa la watanzania hawana matumaini kabisa.
Kilichobaki tu wanaomba sasa hivi siku zikimbie ifike mwaka 2020.
Ni mtizamo wangu naweza kupingwa.