Hotuba za Rais zimejaa Hofu na hazina Matumaini

Hotuba za JPM hazina matumaini kwa mwananchi wa kawaida.
Sioni rais akiongelea kitu ambacho hajawahi kukiongelea, ndege ameshaongea.
Kuna mambo Muhimu ambayo wananchi wana hamu ya kuyasikia ila wakimuangalia rais kiukweli huyu hana msaada kwa maisha ya sasa ya watanzania.
Ajira zilizositishwa. Hapa rais anachukulia mzaha ila kuna kundi kubwa sana linaumia.
Uhuru wa vyombo vya habari, tulitegemea rais agusie kidogo kwenye hotuba zake ila hana time .

Maisha kuwa magumu.
Hapa ndio tatizo liko hapa, huyu JPM ni kama yupo Kenya, anayoyaongea na anachokiamini na uhalisia ni kama mbingu na bahari.
Ninachokiona kundi kubwa la watanzania hawana matumaini kabisa.
Kilichobaki tu wanaomba sasa hivi siku zikimbie ifike mwaka 2020.

Ni mtizamo wangu naweza kupingwa.
Ni kweli kabisa, hotuba za Jpm hazina matumaini hata kidogo kwa watetea mafisadi chadema
 
Mkuu wa nchi anasema ukweli toka moyoni. Hapendi siasa za unafiki.
 
Hotuba za JPM hazina matumaini kwa mwananchi wa kawaida.
Sioni rais akiongelea kitu ambacho hajawahi kukiongelea, ndege ameshaongea.
Kuna mambo Muhimu ambayo wananchi wana hamu ya kuyasikia ila wakimuangalia rais kiukweli huyu hana msaada kwa maisha ya sasa ya watanzania.
Ajira zilizositishwa. Hapa rais anachukulia mzaha ila kuna kundi kubwa sana linaumia.
Uhuru wa vyombo vya habari, tulitegemea rais agusie kidogo kwenye hotuba zake ila hana time .

Maisha kuwa magumu.
Hapa ndio tatizo liko hapa, huyu JPM ni kama yupo Kenya, anayoyaongea na anachokiamini na uhalisia ni kama mbingu na bahari.
Ninachokiona kundi kubwa la watanzania hawana matumaini kabisa.
Kilichobaki tu wanaomba sasa hivi siku zikimbie ifike mwaka 2020.

Ni mtizamo wangu naweza kupingwa.
Afaa kuadhibiwa 2020
 
Ni kama anakopi na kupesti. Hotuba zake,popote anapozitoa,hujaa mikwara;ahadi za kutowaangusha wasikilizaji wake; kuonesha maguvu yake ya Urais na kadhalika.

Hotuba zake hazina jipya. Yanayozungumzwa ni yaleyale;anayezungumza ni yuleyule na hata wasikilizaji ni walewale. Hotuba zake hazina uchambuzi wa kisera kuhusu Ilani au ahadi zake. Hotuba hupaswa kubeba mwelekeo wa Serikali

LA NYONGEZA: Kwa maandalizi yaliyofanyika Kagera kuhusu ziara ya Rais,kwanini Rais hakujimwaga Uwanja wa Kaitaba badala ya kujibana kwenye kakiwanja ka Shule ya Sekondari Ihungo?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Hotuba za JPM hazina matumaini kwa mwananchi wa kawaida.
Sioni rais akiongelea kitu ambacho hajawahi kukiongelea, ndege ameshaongea.
Kuna mambo Muhimu ambayo wananchi wana hamu ya kuyasikia ila wakimuangalia rais kiukweli huyu hana msaada kwa maisha ya sasa ya watanzania.
Ajira zilizositishwa. Hapa rais anachukulia mzaha ila kuna kundi kubwa sana linaumia.
Uhuru wa vyombo vya habari, tulitegemea rais agusie kidogo kwenye hotuba zake ila hana time .

Maisha kuwa magumu.
Hapa ndio tatizo liko hapa, huyu JPM ni kama yupo Kenya, anayoyaongea na anachokiamini na uhalisia ni kama mbingu na bahari.
Ninachokiona kundi kubwa la watanzania hawana matumaini kabisa.
Kilichobaki tu wanaomba sasa hivi siku zikimbie ifike mwaka 2020.

Ni mtizamo wangu naweza kupingwa.

Uko sahihi kaka Mi ni mhanga wa maamuzi ya huyo bwana.Nilihitimu mwaka juzi shahada ya 1 ya ualimu wa masomo ya sanaa,lakini mpaka leo siijui hatma yangu kiajira.
Nimekata tamaa nimebakia tu kama zuzu fulani hivi na imekua hata aibu kujitambulisha kwa watu eti.."nilihitimu mwaka juzi".Hotuba zake hunipa hofu kwani zimekithiri vitisho na maelezo chungu nzima ambayo hayawezi kunikwamua.Ndio nina uhakika na niyasemayo,ndege itanikwamuaje?serikali kupeperukia Dodoma je?na vipi ujenzi wa uwanja wa kimataifa wa chato?
Suruali haziishi viraka,navyo hivi punde vitaweka mgomo.vimechoka kila siku kushonelezewa kwenye makalio!.kiatu kinatoa harufu kali ya kuudhi kwani hakina mwenza wa kubasilishana lifti.kivumbi ni pale nikivivua hasa niingiapo ktk nyumba za watu walioneemeka na kustaarabika..wenyeji huziba pua kwa viganja vyao huku jibaba nikiunyosha mwili ambao umegandamana kwa kimiminika kitoacho chumvichumvi...
Nguo za kujisitiri maungoni hasa sehemu za siri zenye lakabu(majina ya kupanga au a.k.a) kama chupi na bokusa zimeunguzwa kwa jasho na hivyo kutengeneza usugu fulani unaokera.

Wasichana warembo siwezi kuwafaidi.Naishia kumezea mate wanavyopitita mbele yangu huku wakijinyonga kwa madaha na kutikisa rasilimali makalio..nabakia kutafuna meno kwa utamu wa haja.
 
Hotuba za JPM hazina matumaini kwa mwananchi wa kawaida.
Sioni rais akiongelea kitu ambacho hajawahi kukiongelea, ndege ameshaongea.
Kuna mambo Muhimu ambayo wananchi wana hamu ya kuyasikia ila wakimuangalia rais kiukweli huyu hana msaada kwa maisha ya sasa ya watanzania.
Ajira zilizositishwa. Hapa rais anachukulia mzaha ila kuna kundi kubwa sana linaumia.
Uhuru wa vyombo vya habari, tulitegemea rais agusie kidogo kwenye hotuba zake ila hana time .

Maisha kuwa magumu.
Hapa ndio tatizo liko hapa, huyu JPM ni kama yupo Kenya, anayoyaongea na anachokiamini na uhalisia ni kama mbingu na bahari.
Ninachokiona kundi kubwa la watanzania hawana matumaini kabisa.
Kilichobaki tu wanaomba sasa hivi siku zikimbie ifike mwaka 2020.

Ni mtizamo wangu naweza kupingwa.

Uko sahihi kaka Mi ni mhanga wa maamuzi ya huyo bwana.Nilihitimu mwaka juzi shahada ya 1 ya ualimu wa masomo ya sanaa,lakini mpaka leo siijui hatma yangu kiajira.
Nimekata tamaa nimebakia tu kama zuzu fulani hivi na imekua hata aibu kujitambulisha kwa watu eti.."nilihitimu mwaka juzi".Hotuba zake hunipa hofu kwani zimekithiri vitisho na maelezo chungu nzima ambayo hayawezi kunikwamua.Ndio nina uhakika na niyasemayo,ndege itanikwamuaje?serikali kupeperukia Dodoma je?na vipi ujenzi wa uwanja wa kimataifa wa chato?
Suruali haziishi viraka,navyo hivi punde vitaweka mgomo.vimechoka kila siku kushonelezewa kwenye makalio!.kiatu kinatoa harufu kali ya kuudhi kwani hakina mwenza wa kubasilishana lifti.kivumbi ni pale nikivivua hasa niingiapo ktk nyumba za watu walioneemeka na kustaarabika..wenyeji huziba pua kwa viganja vyao huku jibaba nikiunyosha mwili ambao umegandamana kwa kimiminika kitoacho chumvichumvi...
Nguo za kujisitiri maungoni hasa sehemu za siri zenye lakabu(majina ya kupanga au a.k.a) kama chupi na bokusa zimeunguzwa kwa jasho na hivyo kutengeneza usugu fulani unaokera.

Wasichana warembo siwezi kuwafaidi.Naishia kumezea mate wanavyopitita mbele yangu huku wakijinyonga kwa madaha na kutikisa rasilimali makalio..nabakia kutafuna meno kwa utamu wa haja.
 
Hotuba za JPM hazina matumaini kwa mwananchi wa kawaida.
Sioni rais akiongelea kitu ambacho hajawahi kukiongelea, ndege ameshaongea.
Kuna mambo Muhimu ambayo wananchi wana hamu ya kuyasikia ila wakimuangalia rais kiukweli huyu hana msaada kwa maisha ya sasa ya watanzania.
Ajira zilizositishwa. Hapa rais anachukulia mzaha ila kuna kundi kubwa sana linaumia.
Uhuru wa vyombo vya habari, tulitegemea rais agusie kidogo kwenye hotuba zake ila hana time .

Maisha kuwa magumu.
Hapa ndio tatizo liko hapa, huyu JPM ni kama yupo Kenya, anayoyaongea na anachokiamini na uhalisia ni kama mbingu na bahari.
Ninachokiona kundi kubwa la watanzania hawana matumaini kabisa.
Kilichobaki tu wanaomba sasa hivi siku zikimbie ifike mwaka 2020.

Ni mtizamo wangu naweza kupingwa.

Very Stressed!
Mzee Wa Bagamoyo alitake Easy.
 
Back
Top Bottom