Waungwana,
According to Ernst & Youn's report the total amount that was stolen from EPA is shiling 133 billion: The revelations followed the audit conducted over EPA by a foreign financial consultant firm, Ernst and Young.
The firm revealed that in 2005/06, payments to the tune of 133,015,186,220.74/- were made to 22 domestic companies under the EPA scheme. .Kikwete is talking about shilling 90 Billion only. What happened to the rest of the amount totalling to shilling 43 billion?
Hebu niulize ni lini huyu Rais aliongea something which make sense to majority of Tanzania?
Kampeni ya CCM kumuweka JK ikulu 2005 iligharimu around 8bn(watu wa Marketing Voda, Celtel, TBL wanaweza kuidadavua hii), na hata Ben alipowapa jamaa green light alitarajia watu watachukua max 10bn, matokeo yake watu wamelamba 133bn.... NET profit 125bn kwa kazi yao...ONLY in BONGO.
Companero,
It boggles the mind. Wizi umefanyika Tanzania yet data tunasubiri watupatie wenzetu
walioko ughaibuni. It boggles the mind.
Mwanyika mwenyewe hataki kuzungumza lakini taarifa kutoka ofisini mwake ni kuwa hakuna mtu mwingine aliyerejesha fedha, kwa hiyo hesabu ni ileile. Bado anaendelea na vikao na wenzake, vilianza ofisini asubuhi, jioni hii vimehamia nyumbani kwake. Nadhani wanaandaa taarifa za kumpatia DPP maana kutoka ofisini kwa DPP taarifa zinasema hajapokea kitu chochote hadi sasa
Waungwana,
According to Ernst & Youn's report the total amount that was stolen from EPA is shiling 133 billion: The revelations followed the audit conducted over EPA by a foreign financial consultant firm, Ernst and Young.
The firm revealed that in 2005/06, payments to the tune of 133,015,186,220.74/- were made to 22 domestic companies under the EPA scheme. .Kikwete is talking about shilling 90 Billion only. What happened to the rest of the amount totalling to shilling 43 billion?
...aliye influence kuibiwa pesa BOT sio ccm bali ni MTANDAWO.....KINA ..kikwete,lowassa,rostam..jeetu et al....hata baadhi ya wana ccm walikuwa hawajuwi mapesa yanatoka wapi..zaidi aliyekuwa na siri ni mweka hazina mama mbatia na rostam....,kikwete,lowassa...na connies wao..
Yaani walikuwa wanatarajia mtu mwingine kurejesha fedha usiku wa manane? Hivi kabla ya muda kuongezewa kiasi gani kilikuwa tayari kimerudishwa na kiasi gani kimerudishwa ndani ya miezi karibu miwili ya nyongeza?
Yaani walikuwa wanatarajia mtu mwingine kurejesha fedha usiku wa manane? Hivi kabla ya muda kuongezewa kiasi gani kilikuwa tayari kimerudishwa na kiasi gani kimerudishwa ndani ya miezi karibu miwili ya nyongeza?
Mbona hamutaki kumwelewa Rahisi? JK amesema hivi: Bilioni 90 ndio zilichukuliwa na yale makampuni ambayo uchunguzi wake umekamilika maana data zao zinapatikana kwa urahisi injini. Hao ndio wameombwa kwa heshima na taadhima warudishe fweza kufikia jana ili wasikatwe na sheria ni msumeno. Na wamesharudisha takribani asilimia 76 ambayo ni Daraja A ama Festi Klasi. Hivyo vijisenti vilivyobakia vilichukuliwa na yale makampuni ambayo uchunguzi wake ni mgumu kupindukia kwa kuwa data zake wanazo wenzetu huko ughaibuni hivyo tunategemea usamaria wema wao ndio tuzipate. Bado kina Mwema wanawabembeleza watupe data hivyo UCHUNGUZI UNAENDELEA! Au unadhani hii ni JUST KIDDING?
Rais alisema itatoa taarifa leo, na wao wanasema watatoa taarifa kesho.. hivi hawa watu wanazungumza kwenye hiyo serikali yao?
Rais alisema itatoa taarifa leo, na wao wanasema watatoa taarifa kesho.. hivi hawa watu wanazungumza kwenye hiyo serikali yao?
Nchi hii haina top authority meaning hakuna rais.
Hilo ni tamko la kihaini, yaani 'seditious statement', kwa lugha ya Kiingereza.