Hiyo hotuba ambayo spika kasema ni ya upotoshaji ana maana ukweli wote anaujua yeye tu.
Angeacha isomwe, kipindi cha mjadala na kwa kuwa wabunge wa CCM ni wengi wangeipigia kura ya kuikataa kwa huo unaoitwa upotoshaji.
Sioni hata mantiki ya hao wabunge wa upinzani kuendelea kushiriki hivyo vikao. Labda tu ni kwa kuwa kuna vipaumbele zaidi ya kimoja kuwa bungeni.
Fikiria umealikwa kikaoni halafu huruhusiwi kuongea.
Ina maana wabunge wa upinzani hawapaswi kutoa maoni yao kwa mtazamo wa kiupinzani.
Kwamba watoe maoni yao kwa mtazamo wa CCM hilo linawezekana vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angeacha isomwe, kipindi cha mjadala na kwa kuwa wabunge wa CCM ni wengi wangeipigia kura ya kuikataa kwa huo unaoitwa upotoshaji.
Sioni hata mantiki ya hao wabunge wa upinzani kuendelea kushiriki hivyo vikao. Labda tu ni kwa kuwa kuna vipaumbele zaidi ya kimoja kuwa bungeni.
Fikiria umealikwa kikaoni halafu huruhusiwi kuongea.
Ina maana wabunge wa upinzani hawapaswi kutoa maoni yao kwa mtazamo wa kiupinzani.
Kwamba watoe maoni yao kwa mtazamo wa CCM hilo linawezekana vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app