Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Kumbe unapiga mkwara tu..JK anajua namna ya ku-deal na hiyo mikwara wewe..

Nilikuwa nakupa namna itakayokupa easiest money..endelea kuwa na hatred kwa waarabu, wairan na waislamu wa Tanzania na nje..utakuwa darling wa US..na watakupa support umwondoe huyu JK muislam mbaya sana anaharibu Tanganyika aliyoiasisi st. nyerere..ok

tatizo unafikiri kwa kutumia matakle.
 
Kwahiyo kwenye hii kesi as you stated "vyombo vya usalama" vilijichukulia sheria kwa maslahi ya nani? Mimi ninachoona ni clear contradiction kwenye hotuba nzima, achana na ya Zombe kwanza kwa suala hili itakuwa kazi sana kwa Kikwete and co kusafisha mikono yao, hawatamaliza hii ishu kama walivyozoea kwa kusema wacha ni upepo utapita..........the damage is already done mi friend

Kwa mtazamo wako Madaktari wako sahihi kufanya mgomo kazini na kusababisha mauaji kwa wagonjwa wasio na hatia kinyume cha kiapo chao cha utendaji wa taaluma yao? Kama hawaridhiki na serikali kutowalipa hizo 7,000,000, kwa nini wasiamua kuacha na kwenda kule wanaokoona watalipwa haki hizo stahiki.

Suala la majeruhi Dr. Stephen liko katika uchunguzi na ni mapema mno kutoa hitimisho kwani taratibu za uchunguzi huwa haziruhusu kutoa hukumu wakati utafiti unaendelea kama ilivyo kwa kesi za mahakamani.
 
Wewe ndio huna cha kuzungumza kazi kuitetea Serikali inayowaua raia wake wasio na hatia kila siku siku,mbona Serikali haikuzungumzia kuhusu uboreshwaji Wa mazingira ya kazi/vitendea kazi vinavyomuwezesha daktari kumtibu binaadamu mbona hii point Serikali inaikwepa sana na matokeo yake wanazungumzia mishahara na posho za madaktari?

Hawawezi kulizungumzia hilo kwa sababu wameridhika na hali ya kutisha ya hospitali zetu ya wagonjwa kulala chini, kitanda kimoja kupewa wagonjwa hadi saba walalie kitanda kimoja, chumba cha wajawazito ambacho kinastahili kuwa na wajawazito wawili hadi wanne kurundikwa wajawazito hadi 25 au 30 kama magunia ya mkaa.

Wenyewe wanatibiwa nje hivyo hawaoni sababu yoyote ile ya muhimu katika kuboresha hospitali zetu ili ziwe katika hadhi ambayo inastahili. Kikwete DHAIFU na Serikali yake ni DHAIFU haistahili kuwepo madarakani.


Edkufuli(1).jpg
 
Amekiri kuwa huwa wanaua.. Lakn kwa Dr. Ulimbuka hawakuwa na sbb ya kufanya hvyo.
 
Nyie pimbi wa cdm hamuwezi kukosa la kusema lakini juweni kuwa huyo ndio rais wetu na ametoa maelezo mazuri kabisa, na bilas shaka hata nyie mioyoni mwenu mnakubaliana nae. Tuombe mungu 2015 ccm awekwe rais kama huyu.

Ukisoma between the lines unagundua kuwa madakatari wamesikilizwa na wameshinda kabisa kwa 60% ya madai yao yametekelezwa..

Utagundua pia kuwa JK amekuwa akiboresha maslahi ya sector ya afya na madaktari kupita rais yeyote Tanzania (angalia mishahara yao)...

Kwanini wanaendelea kugoma??? wamevimbishwa na watu fulani, kiburi na ujinga, au???
 
JK ni rais mwenye upeo mdogo sana wa kuchambua mambo ndo maana hawezi kuongea mambo yenye mantiki kwenye matatizo mazito kama haya ....
 
Kwa mtazamo wako Madaktari wako sahihi kufanya mgomo kazini na kusababisha mauaji kwa wagonjwa wasio na hatia kinyume cha kiapo chao cha utendaji wa taaluma yao? Kama hawaridhiki na serikali kutowalipa hizo 7,000,000, kwa nini wasiamua kuacha na kwenda kule wanaokoona watalipwa haki hizo stahiki.

Suala la majeruhi Dr. Stephen liko katika uchunguzi na ni mapema mno kutoa hitimisho kwani taratibu za uchunguzi huwa haziruhusu kutoa hukumu wakati utafiti unaendelea kama ilivyo kwa kesi za mahakamani.

Kama Rais wako anavyojaribu kutoa focus kwenye madai ya msingi ya Madaktari ndivyo nawe unavyojaribu kuyumbisha mada sasa mimi nakueleza huo uchunguzi wenu hauna tija yoyote wala hautai exonerate Serikali ya Kikwete na tuhuma hizi the writing is on the wall busara ni kujiandaa kwa lolote
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna mtu anaweza kusema kwanini Spika hakuweka/amekataa kuweka hadharani ile report ya Kamati ya bunge inayohusika na huduma za jamii? Kamati hii iliongea na pande zote mbili yaani Serikali na madaktari na walitembelea hospitali ya Muhimbili kujionea hali halisi. Spika na mjumbe wa CC ya CCM akaona ni yake na wapambe wake (kwa siri).

Hapa tunasoma madai ya upande mmoja, lakini mgogoro huu una pande mbili na huitaji kuwa akili za marehemu Steve Jobs kujua namna bora ya kutatua hili tatizo ni kwa 'third party' yaani kamati ya bunge ya huduma za jamii kuweka mambo waliyogundua toka pande zote mbili.

Pia ningeshauri Team magogoni hasa wale wanaoandaa speech za Mh Rais wajitahidi sana kuzi-critique kabla ya kutoa kwenye vyombo vya habari, vinginevyo inaleta tafsiri tofauti. Hotuba ya rais inaonesha udhaifu wa miaka mingi kwenye mambo ya wazamiaji haramu. Mfano rais anaonekana kukiri kuwa tatizo la wavamizi haramu ni la miaka mingi (10 yrs+), sasa kwa akili za kawaida, kama kwa miaka kumi na zaidi serikali ya ccm imeshindwa kudhibiti hilo tatizo badala yake linazidi kuwa kubwa, kwa nini watu waendelee kuiamini CCM kuwa ina uwezo wa kulinda mipaka ya nchi?
 
Kama Rais wako anavyojaribu kutoa focus kwenye madai ya msingi ya Madaktari ndivyo nawe unavyojaribu kuyumbisha mada sasa mimi nakueleza huo uchunguzi wenu hauna tija yoyote wala hautai exonerate Serikali ya Kikwete na tuhuma hizi the writing is on the wall busara ni kujiandaa kwa lolote

Kujiandaa na lolote kama lipi kwa mfano? funguka..
 
Kuna mtu anaweza kusema kwanini Spika hakuweka/amekataa kuweka hadharani ile report ya Kamati ya bunge inayohusika na huduma za jamii? Kamati hii iliongea na pande zote mbili yaani Serikali na madaktari na walitembelea hospitali ya Muhimbili kujionea hali halisi. Spika na mjumbe wa CC ya CCM akaona ni yake na wapambe wake (kwa siri).

Hapa tunasoma madai ya upande mmoja, lakini mgogoro huu una pande mbili na huitaji kuwa akili za marehemu Steve Jobs kujua namna bora ya kutatua hili tatizo ni kwa 'third party' yaani kamati ya bunge ya huduma za jamii kuweka mambo waliyogundua toka pande zote mbili.

Pia ningeshauri Team magogoni hasa wale wanaoandaa speech za Mh Rais wajitahidi sana kuzi-critique kabla ya kutoa kwenye vyombo vya habari, vinginevyo inaleta tafsiri tofauti. Hotuba ya rais inaonesha udhaifu wa miaka mingi kwenye mambo ya wazamiaji haramu. Mfano rais anaonekana kukiri kuwa tatizo la wavamizi haramu ni la miaka mingi (10 yrs+), sasa kwa akili za kawaida, kama kwa miaka kumi na zaidi serikali ya ccm imeshindwa kudhibiti hilo tatizo badala yake linazidi kuwa kubwa, kwa nini watu waendelee kuiamini CCM kuwa ina uwezo wa kulinda mipaka ya nchi?

Zamani miaka ya nyuma walikuwa wanapita siku hizi wanafika Tanzania lakini hawapiti kabisa..

Hizo ndizo juhudi zilizofanyika na serikali ya ccm, chini ya kamanda makini JK..
 
Kuna mtu anaweza kusema kwanini Spika hakuweka/amekataa kuweka hadharani ile report ya Kamati ya bunge inayohusika na huduma za jamii? Kamati hii iliongea na pande zote mbili yaani Serikali na madaktari na walitembelea hospitali ya Muhimbili kujionea hali halisi. Spika na mjumbe wa CC ya CCM akaona ni yake na wapambe wake (kwa siri).

Edkufuli(1).jpg
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Unajua uungwana unatuzidi sana, siku moja tutajikuta na Police nao wanagoma. Labda kweli tufanye jaribio, Police wagome masaa 24 tu tuone kitakachotokea.
Jamani ee, sheria ni sheria tu. Inafahamika kwamba Dr. haruhusiwi kugoma, full stop. Wamegoma - wamejifukuza, BASI. Kwa heri.
Unaona maajabu ya Mungu? Kaongoza migomo, kajikuta anahitaji huduma ya waliogoma.
 
Kikwete ahsante sana.

Sasa ondokeni mkafanye kazi zenu za private au mrudi kazini, uamuzi ni wenu, na huko mahospitali tutaanza kuwawekea tathmini ya kujuwa ni nani anaefanya kazi na anastahili kulipwa na nani asiyefanya. Mnalo?

Kwanini imechukua muda mrefu kufikia uamuzi huo? Hili suala siamini kabisa lingefika hapa lilipofika kama kila mtu angekuwa genuine. Ila ndo hivyo tena. By the way, kumbe hata rais anasikitika na kuumizwa kwa Dr. Uli ingawa sio mfanyakazi wa serikali?
 
Zamani miaka ya nyuma walikuwa wanapita siku hizi wanafika Tanzania lakini hawapiti kabisa..

Hizo ndizo juhudi zilizofanyika na serikali ya ccm, chini ya kamanda makini JK..[/QUOTE]

Siongelei serikali ya JK, naongelea serikali ya CCM. Jk amekuwepo madarakani kwa miaka 6 na ushee sasa lakini tatizo lipo kwa zaidi ya miaka 10 according to hii hotuba. Sasa CCM kwa ujumla wake must answer kwa nini tatizo halikomi badala yake linakuwa?
 
Suala la madaktari naona Mkuu ameendeleza propanganda zilezile za kwamba kulikuwa na makubaliano. Makubaliano gani wakati mazungumzo yalikuwa hayajakamilika, hebu tuwekeeni haya makubaliano yakiwa na sahihi za pande zote mbili tuone.

Na JK ameendelea kuudanganya umma na kuufitinisha na madaktari kwa kuonyesha kuwa madaktari tatizo kubwa waling'ang'ania mshahari wa mil 3.5 wakati walikuwa wanajadiliana na kabla ya makubaliano serikali ikatangaza hizo 15% na labda sasa wanafikiri kuongeza mpaka 20% maana hii haikuwepo mwanzo. JK bila aibu anautangazia umma nyongeza ya posho ya kuchunguza maiti, dai ambalo halikuwepo kati ya yale waliyokuwa wanajadili.

JK acha kutishia nyau, hamuwezi kufukuza madaktari wote walioko kwenye mgomo, mnajidanganya, wasikilizeni madaktari na mfikie muafaka warudi kazini, kuendeleza vitisho na kuwakamata na kutesa viongozi wao haitawasidia.

Huduma gani zimeboreshwa kwenye hospitali za mikoa eti na sasa wanageukia wilayani, hii sio era ya kusema uongo na ukafikiri utapata watu. Ukifika mahospitalini sasa hivi hakuna dawa, hakuna vifaa tiba, hakuna watumishi. Hospitali eti zimepandishwa hadhi ya kuwa za rufaa zikiwa hazina madaktari bingwa, sasa nashangaa kama rufaa inatoka kwa MD inakwenda Kwa MD sijui itakuwa rufaa ya namna gani hiyo. Hospitali kuzitaja kwa uchache ni mfano hospitali ya mkoa wa rukwa ambayo ina bingwa mmoja tu ambaye ni surgeon nae yuko kwenye administration. JK usitupige changa la macho hakuna maboresho yoyote yalofanywe. Nchi imekushinda step down.

mkuu sio kwamba utashindwa kwenda Jamaica kubembea.Mnafiki Mkubwa dhaifu, TISS na mwanao ndio ulowatuma kumfanyia unyama Ulimboka, utalipa hapahapa duniani.

Umemaliza!
 
Hii habari sasa imekuwa ni ya kisiasa zaidi; ikiwa kama serikali imechukua hatua zote hizo siamini kama palikuwa na shinikizo la kugoma; Dr. Namala aje atueleze nini hasa kilichoshinikiza mgomo na akanushe maelezo ya mh. Raisi Kikwete; bado sijaelewa ni kwa nini madaktari walikataa kuendelea na majadiliano; naona ni vyema Raisi angeongoza majadiliano; mh. Pinda kazi hii haiwezi. Rai rudini kazini endeleeni na majadiliano. Au ndio zile ahadi tukichukua nchi mfuko wa saruji utakuwa................

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Kama Rais wako anavyojaribu kutoa focus kwenye madai ya msingi ya Madaktari ndivyo nawe unavyojaribu kuyumbisha mada sasa mimi nakueleza huo uchunguzi wenu hauna tija yoyote wala hautai exonerate Serikali ya Kikwete na tuhuma hizi the writing is on the wall busara ni kujiandaa kwa lolote

Betty, you easily despare, labda hata hujiamini wewe mwenyewe! Maisha lazima yasonge mbele, lazima kwenda nayo, may be ni vyema kuyaongoza.
 
Back
Top Bottom