Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
1.Posho ya kuitwa kazini (on call allowance) iwe asilimia 10 ya mshahara.
2.Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara.
3.Madaktari wapatiwe nyumba grade A au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30 ya mshahara.
4.Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara.
5.Madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari.
6.Madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 3,500,00/= kwa mwezi.
7.Madaktari wapatiwe Green Card za Bima ya afya.
8.Hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Watendaji Wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
9.Viongozi wa Kisiasa kulazimisha kupewa rufaa nje.
10.Madaktari waliofukuzwa warudishwe kazini.
11.Huduma za afya ziboreshwe nchini.
12.Posho ya uchunguzi wa maiti iongezwe.
Mungu wangu hili taifa linaelekea wapi, mbona tumejaza binadamu wenye tamaa sana. Watu wote tunaowapa elimu huishia kujifikiria wao tu. Hivi tutaletewa kweli maendeleo kama wasomi wetu wakisha hitimu ni posho tu ndicho walicho kariri.
I had my reservations towards the doctors demands but after reading them no sane individual will side on them. Eti posho ya risk allowance hivi ni doctor au polisi wa leo anaenda kupambana na maandamano yasio isha yupi anafanya kazi kwenye mazingira ya hatari. Hawa watu ni very selfish na ni tamaa tu.
Sote atukubali malipo ya wabunge na marupurupu yao, na tukiseme tuwaendekeze na madokta nao walipwe vile hii nchi aitakuwa na bajeti ya kufanya kingine chochote. Wabunge wapo 350 roughly. Embu madokta wapo wangapi kwa mishahara yao wanayodai tupate estimate ya demands ya mishahara tu let alone hayo marupurupu wanayotaka its absurd.
By the way so far hii sector pekee kumbe inachukua almost 8% ya keki ya taifa, tukiongeza na hiyo mishahara na marupurupu kitaifa god knows how much of the cake itaishia kwao ina maana huo mgomo wa walimu ukija na watucta sijui sasa bajeti kazi yake hiwe ni posho na mishahara ya wafanyakazi ya umma, wale walio private wachangie tu na wasitegemee miradi mingine ya serikali how pathetic.
Ni uwenda wazimu kuwatimizia mahitaji na ni upumbavu wa hali ya juu kuwa-support tamaa hawa kama wabunge waliokosa uzalendo. Tofauti ya mmbunge na dokta kwa utamaa ni mmoja ana saini anapitisha malipo yake mwenyewe lakini motive ya tamaa ni same.