Recta
JF-Expert Member
- Dec 8, 2006
- 855
- 38
Katika hili la makubaliano kati ya Rais Karume na Seif Hamad, nahisi kuna siri kubwa sana. Naona makubaliano yao yamewaunganisha sana kiasi ambacho hakikutegemewa. Natumaini wataendeleza ushirikiano wao. Uchaguzi Mkuu wa ZNZ, mwaka huu nadhani hautakuwa na fujo hata kidogo.
Tuliyaona haya Kenya pia na ikawa vizuri kabisa. Sasa Mzee Moi anaishi kwa raha mustarehe.
Tuliyaona haya Kenya pia na ikawa vizuri kabisa. Sasa Mzee Moi anaishi kwa raha mustarehe.