Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 850
- 788
Afadhali aliyekiri kuliko anayedanganya kila siku na kuwafanya watanzania kama mabwege huku akiendelea kupigiwa makofi na mabwege hao hao!Msigwa hawezi kuaminika popote labda kwa mke wake tu
Huyu anatumika tu kupima upepo,hata yeye anajua hawezi kuwa Rais kwa sababu ameshakiri kuwa ni msema uongo