pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Nimeamini viongozi bora wapo huku upinzani watu wenye maono wenye dira na wenye uthubutu.
Haya nenda kamsifu yesu wa chato ameshaachia ushuziMlevi akianguka na kuteguka mguu mnabaki eti kavamiwa, duh.
Chadema itazungumza na wanahabariHivi agenda ya kuvamiwa na kushambuliwa kwa Mbowe imeishia wapi? mbona hamuitaki? hamtaki mwenyekiti atendewe haki makamanda? kwa nini mnaibua hoja zisizo maana kuzika hoja ya kuvamiwa na kushambuliwa mwenyekiti kitu kisicho kawaida yenu!???
Wewe unaona hiyo inatosha kweli? huoni haja ya kuandamana kwenda kwenye balozi za nchi mbalimbali kufikisha ujumbe mkuu?Chadema itazungumza na wanahabari
endeleeni kulidhalilisha jeshi la polisiWe uaona hiyo inatosha kweli? huoni haja ya kuandamana kwenda kwenye balozi za nchi mbalimbali kufikisha ujumbe mkuu?
Kwani Mchungaji msigwa ana shida gani?"Leo natangaza rasmi nia yangu ya kuwania Urais wa Tanzania, ninautaka Urais kwasababu nataka kuongoza mageuzi makubwa ya kiutawala, kiuchumi na kielimu yatakayoleta maendeleo ya haraka"- PETER MSIGWA
More to follow:
Katika hali ambayo si ya Kawaida Mchungaji na Mbunge wa Iringa Mjini Petter Msigwa ametangaza kushiriki mchakato wa Nafasi ya Urais Ndani ya CHADEMA. Tayari Kejeli zimeanza kumiminika kwa wengine kwenda mbali zaidi na kusema huenda Sigara aliyovuta ni kali zaidi.
Kama kweli anawania CHADEMA ndiyo itakua chama cha Kwanza Kudharau Nafasi hiyo ya Urais Taangu tupate Uhuru mwaka 1961.
Huu nao ni UONGO mwingine toka kwa Mchungaji Msigwa. Hata yeye anajua kuwa anadanganya! Tumpuuze"Leo natangaza rasmi nia yangu ya kuwania Urais wa Tanzania, ninautaka Urais kwasababu nataka kuongoza mageuzi makubwa ya kiutawala, kiuchumi na kielimu yatakayoleta maendeleo ya haraka"- PETER MSIGWA
More to follow:
Katika hali ambayo si ya Kawaida Mchungaji na Mbunge wa Iringa Mjini Petter Msigwa ametangaza kushiriki mchakato wa Nafasi ya Urais Ndani ya CHADEMA. Tayari Kejeli zimeanza kumiminika kwa wengine kwenda mbali zaidi na kusema huenda Sigara aliyovuta ni kali zaidi.
Kama kweli anawania CHADEMA ndiyo itakua chama cha Kwanza Kudharau Nafasi hiyo ya Urais Taangu tupate Uhuru mwaka 1961.
😂😂😂😂Huu nao ni UONGO mwingine toka kwa Mchungaji Msigwa. Hata yeye anajua kuwa anadanganya! Tumpuuze
Maendeleo si vitu ni watu! Hiyo midege na Stigler's gorge, na fly overs na SGR zinakusaidia nini wewe kama huna pesa ya kula na kuishi na mahitaji ya kila siku kwa ujumla ?Viva Msigwa ni haki yako kikatiba.
But jua yupo jembe -JPM kutoka CCM, mengi kafanya na yanaonekana kwa macho na si kwa darubini.