Siyo hilo tu hata ile ilikuwa ikiitwa sukari kijiko kimoja ilikuwa ni kashfa kubwa tu lakini kwa sababu ni Tanzania Rupia ilipenyezwa mambo yakamalizwa kimyakimya. Kwa wasiofahamu ni kwamba ile sukari ilichanganywa na kemikali fulani kuiongezea utamu. Waliotoboa siri sasa hivi wako futi saba chini ya ardhi. Pia kuna mkemia Mashimba naye alipotezwa sikumbulki kama ndiye huyo Fupi..
Ngoja nichukue calculator nijumlishe hizo hela alizotoa masaada !!
Ningekuwa ni miongoni mwa hao wanaosikiliza hiyo hotuba ningeondoka mapema! Huyu Jamaa nadhani atakuwa Mbunge wa maisha hapo ukizingatia wapiga kura wake ni omba omba na wavivu kila mwaka wana njaa! wanajua MO yupo
wajinga ndio waliwao