Unyanga
JF-Expert Member
- Feb 6, 2011
- 402
- 83
mie huwa ninachukia kweli ninapoona watu tunadanganywa, haki ya mungu ndio maana siwapendi c.c.m na vibaraka wake coz ni waongo cku zote, mie nipo jimboni hapa na nimeisoma hiyo report cjui walokuwa wanaisikiliza wanatumia masaburi? Kwanza nionyeshe maeneo yenye uongo kwenye report hiyo, kwanza amesema amejenga shule ya sekondari majengo, sgd nzima hakuna shule ya secondari majengo ni uongo, kutoa msaada wa chakula ni kweli alifanya hivyo lkn kwa kila kaya kupewa kg 5 zingewaponesha vp na njaa? Na bado sio kila kaya iliyoweza kupata zaid ya watendaji na mabalozi wa c.c.m kujinufaisha, hivyo visima alivyochimba sio kweli coz hakuna mwaka ambao sgd kulikuwa na nafuu ya maji kuthibitisha hili nendeni kwenye facebook yangu kwenye pics mkaone picha moja nimepiga foleni ya maji na ni kati kati ya mji muone, halafu leo anasema amesaidia maji kivp?