Pale hapakuwa na hotuba Bali uzinduzi wa kampeni, pia hotuba si lazima iwe ya Massa kadhaa ndipo iitwe hotuba. Hotuba inaweza kuwa hata ya dk 5 yenye kuainisha malengo ni hotuba bora kuliko hotuba ya masaa iliyojaa uongo na mambo yasiyo tekelezeka.
Watanzania ndio sisi.Uamuzi wetu ni kura ZOTE kwa Magufuli.Nani apigie cha cha UKAWA ambacho hakina hata usajili?Anayewatuma kuandika upumbavu kama huu alaaniwe.
Mwambieni watanzania wamekwisha amua kwa pamoja kuiondoa ccm.
habari sijui ya kukaa, kusimama, kuchuchumaa, kulala kifudifudi, kubong'oa kamuulizeni jk.
Alikuwa kachuchumaa