..jana mliulizwa kwenye kampeni za ukawa...je kwani magufuli mzima?...kama ni mkataba kweli kujua afya za wagombea...itisheni Wao kupima afya hadharani..kwa kuanza na ukimwi..alafu muone Kama mgombea wenu tu salama kiafya...fanyeni hivyo na majibu Yao wote yawekwe hadharani...kwa hii hoja nayo mtashindwa..ulizeni wataalam muambiwe..
hulijui Congo brazavileHalafu alichanganyikiwa aliposema Zaire na Kongo kama nchi tofauti ambazo zitatumia bandari yetu ya Dar es Salaam. Pia kujitahidi kuzungumza haraka haraka ni hofu ya kuishiwa nguvu asiweze kumaliza kusema anachokusudia.
TANESCO walichukua umeme sikuonaNauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?
Nilikerwan na kipaumbele kimojawapo kati ya alivyovitaja mgombea wa ukawa. Kuwatoa masheikh na babu seya gerezani. Hiki si kipaumbele cha watanzania. Seya na wanaye walihukumiwa na mahakama mgombea hawezi kuwatoa kwani hayuko juu ya sheria. Na hili na David Balal nalo ni la kushangaza. Anasema ameona mabango yanamtaka balal yeye kasema amesikia. Hii ina maana gani?????????????????!!!!!!! Hivi havikupaswa kuwa vipaumbele vya maendeleo.
muwe mnaweka wazi,sio mnamkalisha kwenye stuli ndefu halafu anavunga kasimama.
mtaficha mpaka lini wakati wilayani hakuna studio ya kusomea hotuba,ataumbuka tu
Alitumia muda mfupi kutokana na kupewa muda kidogo,maana alianza kuhutubia saa 11:36.ikiwa kwa muujibu wa sheria mwisho ni saa 12 ulitaka ahutubie dk ngap??
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?
Iyo like ikekuja kamakosa lengo jikukot wewe mbulula usiyejua maana sasa nikuibie sir I huyo mgombea wenu yaani ndo majanga unajua anachoumwa?ngachooka ntarudi kukwambia!usishabikie usiyoyajua....mmepanic na bdo na madume tezi yenu.
Oya nyie manyumbu mmeulizwa swali msianze mitusi yenu hapa, mbona mnakuwa kama mipanya kujibu hovyo hovyo? Alikuwa amesimama ama amekaa? Wengine tulikatiwa umeme kwahiyo hatukuweza kuona live acheni upumbavu mnazingua.
HATA ANGESOMA AKIWA AMECHUCHUMAA AU AMELALA,TUTAMPA KURA ZETU kuliko kuwapa CCM WEZI WA MALI ZA UMMA, NA WATOA AHADI ZA UONGO.
..pimbi ni wewe usiyejua madhara ya ngoma....uliza uambiwe...hayo unayosema ya kuathirika thinking ya mtu pia hutokea kwenye ngoma....rudi ukasome...ama uliza uambiwe...huu mjadala ulishafungwa na Sumaye jangwani...We pimbi kuwa na ukimwi haimaanishi huwezi kuwa rais..ukimwi hau affect thinking ya mtu..ila Parkinson desease inaathiri uwezo wa mtu kufanya maamuzi...watu watakuwa wanamsubiri rais akiwa hayuko vizuri wanampelekea faili aanguke wino...hatutaki kuonja sumu bana
Iyo like ikekuja kamakosa lengo jikukot wewe mbulula usiyejua maana sasa nikuibie sir I huyo mgombea wenu yaani ndo majanga unajua anachoumwa?ngachooka ntarudi kukwambia!usishabikie usiyoyajua....mmepanic na bdo na madume tezi yenu.
ali lala kwenye kitanda basi. Unatakaje basi.
Halafu alichanganyikiwa aliposema Zaire na Kongo kama nchi tofauti ambazo zitatumia bandari yetu ya Dar es Salaam. Pia kujitahidi kuzungumza haraka haraka ni hofu ya kuishiwa nguvu asiweze kumaliza kusema anachokusudia.
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?
Halafu alichanganyikiwa aliposema Zaire na Kongo kama nchi tofauti ambazo zitatumia bandari yetu ya Dar es Salaam. Pia kujitahidi kuzungumza haraka haraka ni hofu ya kuishiwa nguvu asiweze kumaliza kusema anachokusudia.