Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Alikuwa kalala kitandani ila kura tunanmpa.
Sawasawa
Alikuwa kalala kitandani ila kura tunanmpa.
Hata Mimi nashangaa wanaleta hoja dhaifu sana ivi MTU akiongea kwa muda mrefu halafu asitekeleze kama kawaida yenu ndo inakuwaje jamani tunataka MATENDO mengi maneno kidogo. Tatizo hamumjui vizuri Lowassa ktk historian take sio MTU wa blabla nyingi yeye ni ACTION tu.na huku.mitaani ni raha tupu tumejiunga vikundi mbalimbali kuhamasishana yaani Ni OBAMAOBAMA tu .ALIPO TUPO!!!!!!!
Sumaye pia alizungumzia madai kuwa Lowassa ni mgonjwa. Alisema mtu akishapita miaka 50 anapata matatizo ya maradhi. Lakini hata kama mgonjwa, urais unahitaji kiongozi kuwa makini tu, kazi zinafanywa na timu nzuri anayoiteua. Kazi hii anaiweza Mhe Lowassa., amesema. Sumaye akasema kwamba kama Lowassa anasemwa na viongozi wa CCM kuwa ni mgonjwa, kwani hawajui kuwa Magufuli ni mgonjwa? Anakwenda Ulaya kila mwezi kufanya nini, alihoji.
Taarifa za ndani ya serikali zinasema kwamba Magufuli amekuwa akienda kubadilisha damu Ulaya kutokana na kuugua ugonjwa mkubwa ulio maarufu. Hatua hiyo ya kubadilisha damu kila mwezi inagharimu fedha nyingi ambazo analipiwa na serikali anayoongoza Rais Kikwete.
Chanzo: MwanaHalisi Online
Ni kweli...Yake ilikuwa fupi na bogus..
hivi twiga waliopanda ndege wamerudi?
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?
Mi niliona mtu ameshikilia meza kwa mikono yote miwili,kwa maana nyingine alisimama mezani na akiongea as if anaumwa, sasa yuko pale kuomba msaada kwa wenye kuguswa na ugonjwa wake wamchangie. halafu pembeni kama vile kulikuwa na drip za maji kama mbili tatu
Alikuwa studio na alikuwa amesimama
yule siyo muongeaji sana,hana uswahili mwiiingi yeye kazi tu.Hapo ndipo tunapomkubali Lowassa! anaamua na kufanya mambo na yanatekelezeka si mtofautishi katika maamuzi na kujiamini kama Kagame!Jogi kubali tu kuwa jamaa yenu mgongwa maana pamoja na hotuba yake aliyopanga kuhutubia akahutubia ikiwa recorded bado pia katumai dk 19 sasa Huyo mzima kweli.
..jana mliulizwa kwenye kampeni za ukawa...je kwani magufuli mzima?...kama ni mkataba kweli kujua afya za wagombea...itisheni Wao kupima afya hadharani..kwa kuanza na ukimwi..alafu muone Kama mgombea wenu tu salama kiafya...fanyeni hivyo na majibu Yao wote yawekwe hadharani...kwa hii hoja nayo mtashindwa..ulizeni wataalam muambiwe..
Lowasa si amewaagiza mfanye mambo yenu kwaheshima na bila matusi. Sasa haya ya mpelekeye dada yako yamekujaje?
Kutaka kujua unfitness wa kiongozi in election ni kitu muhimu sana na lazima paeleweke.
Pale hapakuwa na hotuba Bali uzinduzi wa kampeni, pia hotuba si lazima iwe ya Massa kadhaa ndipo iitwe hotuba. Hotuba inaweza kuwa hata ya dk 5 yenye kuainisha malengo ni hotuba bora kuliko hotuba ya masaa iliyojaa uongo na mambo yasiyo tekelezeka.