Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,831
- 71,295
Hii hotuba ukiisikiliza kwa makini sana ndiyo sababu kuu iliyo pelekea waovu kushindwa kumjibu kwa hoja na kuamua kutumia risasi ili wamuue nao waendelee kufanya yao.
Mungu akalikataa hilo na inamaanisha alisema kweli. Msemakweli mpenzi wa Mungu na anamlinda
Sent using Jamii Forums mobile app