Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Hii hotuba ukiisikiliza kwa makini sana ndiyo sababu kuu iliyo pelekea waovu kushindwa kumjibu kwa hoja na kuamua kutumia risasi ili wamuue nao waendelee kufanya yao.
Mungu akalikataa hilo na inamaanisha alisema kweli. Msemakweli mpenzi wa Mungu na anamlinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa kutoka Singida anataka kutuambia kuwa Lowassa angekuwa rais haya anayoyasema yasingefanyika?.
Anataka kutuambia kuwa shemeji zake Lowassa na watoto wa dada au kaka zake wasingepewa hizo nafasi kubwa kubwa?.
Pengine adui aliyetaka kummaliza ni mmoja wa watu ambao inapofanyika mikutano ya kisiasa pale ufipa wanakuwa wameketi pembeni yake.