Hii hotuba ukiisikiliza kwa makini sana ndiyo sababu kuu iliyo pelekea waovu kushindwa kumjibu kwa hoja na kuamua kutumia risasi ili wamuue nao waendelee kufanya yao.
Mungu akalikataa hilo na inamaanisha alisema kweli. Msemakweli mpenzi wa Mungu na anamlinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ngoja ni isake na Ku upload tena
Sasa mpangaji hapatikani kwanini wao wasifungue bank wahudumie wana kijiji wa chato kama hilo ndio lilikuwa lengo kujenga hilo jengo.?!..Kimei alichukua uamuzi wa kuinusuru crdb.
..angekataa kuwekeza huko benki ingeweza kuandamwa, kufanyiwa vitimbi, na kuhujumiwa.