Hotuba Ya JK: Tafsiri Yangu

mm watanzania wenzangu nnakuvulieni kofia kwa ubingwa wa kupingana na lolote lile, liwe positive or negative


mkuu angesema kuwa katiba iliopo iko safi ila inahitaji marekebisho kidogo wangesema, kasema ataunda kamati ya jopo la wataaluma ili waangalie suala hilo pia wanasema


watanzania ni watu wagumu kuwaongoza.

Pole Rais wetu, ila ukiondoka watakukumbuka tena sana, umetufanyia mengi tena mengi tukiondowa ushabiki tunayaona na utapoondoka tutashindwa kuyahesabu.
 
Hivi mbona idadi ya Watanzania ambao ni bendera fuata upepo inaongezeka kwa kasi? Tangia lini Kikwete and Co wakawa ma-championi wa kudai Katiba mpya? Sifahamu kama JK anakunywa mvinyo but typically jana usiku his state of mind was not the same!
 
acheni kutisha watu; ajenda ya Katiba mpya si ya Kikwete,siyo ya CCM na haijawahi kuwa ya CCM ever. Ajenda yao ni kuwa Katiba ya sasa inafaa na msimamo huu wamekuwa nao wakati wote wa kampeni na siku chache zilizopita. Sasa leo kugeuka huku lazima kuendane na maelezo.

Kwani ni Dr. Slaa aliyesema kuwa ndani ya siku 100 ataanzisha mchakato wa kuandika Katiba Mpya; well angempa basi credit Dr. Slaa kwanza maana yeye amefanya hivyo ndani ya siku 100 japo siyo suala la kuandika upya katiba. Alichokifanya hakihusiani na mahitaji ya TAnzania zaidi ya mazingaombwe. Na to tell you the truth JK angesema hakuna Katiba Mpya watu wangempa pongezi vile vile kwa vile "rais kasema". Ni kikao gani cha CCM kilichopitisha uamuzi huu wa kubadili mawazo na kukumbatia wazo la Katiba Mpya au ni prerogative ya Rais?

Mimi nataka kusikia yafuatayo:
1. Tume itaundwa na Bunge Februari 2011,
2. Maoni ya wananchi yatatolewa kwa siku 90, yaani Machi 2011 hadi May 30, 2011,
3. Katiba itaandikwa kwa siku 60, yaani Juni-Julai, 2011,
4. Wakati bunge la Bajeti Juni/Julai linamaliza bajeti yake, pia LIPITISHE KATIBA MPYA.

NAWASILISHA
 
Kikwete hana lolote. Ila amepata nafasi ya kuchomeka mambo yake ya OIC na Kadhi. Hana mapenzi na katiba nzuri
 
Ndugu Zangu,

NIMEMSIKILIZA Rais wetu akilihutubia taifa jana jioni. Hii ni tafsiri yangu ya alichokiongea.




Huu ndiyo uungwana, Mtu sifa yake hupewa. wacheni kudhihaki mtu anaposema kweli na kuwa na nia ya dhati ya kuendeleza taifa letu. Hongera muheshimiwa, watu makini huwa wanasoma alama za nyakati kam ulivyosema.
 
somebody please shoot me!! yaani he is now a hero? really?
Mzee mwanakijiji,
hata mm im comfused, leo hii huyu huyu mtuhumiwa leo tunamuona kwa hotuba nzuri ya kuandaliwa na wataalamu wa propoganda? anataka kutuhadaa watanzania tusahau kilichotokea na tusiendelee kupiga kelele kudai katiba mpya kwamba mkubwa amesikia tayari.
jamani ndugu zangu hatutaki brabra za wakubwa tunachohitaji ni katib ampya, msije shangaa hawa jamaa wakafanya mazingaombwe yao katiba ikawa kwenye mchakato mpaka 2015 iwanufaishe tena.
bro Maggid makala yako imezidisha sifa, bado wakati wa kumuita huyu jamaa hero haujafika, mpaka atakasike na mambo aliyoyafanya.
 
Kabla ya kumsifia JK jibu maswali haya.
Je kama upinzani haukuwa na ajenda ya Katiba mpya katika ilani zao na kupigiwa kelele wakati wa kampeni, je uamuzi wa serikali wa kuanza mchakato wa katiba mpya ungefikiwa? Hasa ikizingatiwa CCM haikuwa na ajenda hii kwenye ilani yao. Je, kama CHADEMA hawakususia hotuba ya JK bungeni (kiashiria au king'ora cha kuamsha hisia kuwa tanzania inatawaliwa na katiba kandamizi) na kutamka waziwazi kuwa wanataka mchakato wa Katiba Mpya na ifikapo 2015 tuende kwenye uchaguzi tukiwa na katiba mpya. Je serikali ingefikia uamuzi wa kuwa na mchakato wa katiba mpya? Wakati wananchi mbalimbali pamoja na vyama vingine vya upinzani, mashirika ya dini, na asasi ya kiraia wakijadili kitendo cha CHADEMA kususia hotuba ya Rais bungeni, Je sio hicho kilichosababisha wananchi na wadau wengine kuunga mkono madai ya CHADEMA ya katiba mpya kipindi hiki na sii kingine? Mimi naona sifa stahiki ya kusababisha uamuzi wa katiba mpya apewe aliyebonyeza king'ora na walifuatia kuunga mkono (wananchi na wadau) na sio serikali. Hapa serikali imeshinikizwa tu.
 
Watanzania ni wasaulifu sana leo nini hapo cha kupongzea na kusema ataandika historia mkidanganywa kidogo tu mnasahau shida zote.
 
:bump: Nilivoanza kuisoma tu thread yako nkaishia mstari wa tatu..........umeandika vitu viiingi lakini sijaona point mr. Majjid naona ni blah blah tu na kujipendekeza kwa Rais coz sijawahi hata kuona thread yako hata 1 ikimkosoa jk.
NASEMA HVIII JK HAKUNA JIPYA LA KUMKUMBUUKA FULL STOP
 
Nami namsifu JK kwa kusoma alama za nyakati. Ametumia busara katika jambo hili. Saa nyingine tusiwe wanyimi wa fadhila. Kikubwa sasa ni uendeshaji wa huo mchakato wa kupata katiba mpya.


hivi wewe, unawajua ccm au unawasikia?
 
Unbeliavable.......Unbeliavable.......

Watanzania tunapenda sana kupongezana na kupeana sifa badala ya kutenda kazi.

Katiba its the right thing at the right time; Ni sisi wananchi ndio tumeidai; na baada ya Kenya kupata Katiba mpya it was only a matter of time na Tanzania to follow.

Sasa hili la ni legacy ya nani au nani ameanzisha it does not matter; History might portray it different lakini ukweli ni kwamba "Katiba mpya italetwa na shinikizo la wananchi, na ukweli wa kwamba iliyopo its not good for the purpose; na wananchi lazima wawe macho kuona kwamba mpya itakayokuja sio viraka ambavyo havisaidii"

Now please lets stop this kuepana masifa na kujipongeza ambako hakuna faida....... "lets stop being mediocre..... na kama hatuwezi kuishi bila kupeana pongezi atleast tuwapongeze wale waliocha kazi zao na kujitahidi kuandamana wakapigwa mabomu"
 
Unbeliavable.......Unbeliavable.......

Watanzania tunapenda sana kupongezana na kupeana sifa badala ya kutenda kazi.

Katiba its the right thing at the right time; Ni sisi wananchi ndio tumeidai; na baada ya Kenya kupata Katiba mpya it was only a matter of time na Tanzania to follow.

Sasa hili la ni legacy ya nani au nani ameanzisha it does not matter; History might portray it different lakini ukweli ni kwamba "Katiba mpya italetwa na shinikizo la wananchi, na ukweli wa kwamba iliyopo its not good for the purpose; na wananchi lazima wawe macho kuona kwamba mpya itakayokuja sio viraka ambavyo havisaidii"

Now please lets stop this kuepana masifa na kujipongeza ambako hakuna faida....... "lets stop being mediocre..... na kama hatuwezi kuishi bila kupeana pongezi atleast tuwapongeze wale waliocha kazi zao na kujitahidi kuandamana wakapigwa mabomu"


mnasahau kuwa wenzetu walifika kwenye katiba mpya baada ya kumwaga damu na kutiana jela.

JK tunampongeza kwa kutupeleka kwenye mjadala wa jambo hilo bila ya kufika huko na kwa hilo ndio tunapomsifia

JK ni kiongozi na sio mtawala
 
JK ni mtu makini sana na ni mtu asiye penda makuu, angekataa katiba mpya wewe ungemfanya nini ? Acha kuwa na fikra mbovu kila wakati, na wewe nae utajiita Great Thinker? jitoe tu humu jamvini huna lolote la maana unalo tupa
:bump:WEWE NDO UJITOE HUMU NDANI YA JF COZ NADHANI NI KIBARAKA WA KIJANI NUNDA WE............JK ANGEKUA HAPENDI MAKUU ANGEPIGA PICHA KWENYE BEMBEA JAMAICA NA KUTUTUMIA WATANZANIA TUNAOKULA MLO 1 KWA SIKU?FUTA TONGOTONGO KIJANA KUMEPAMBAZUKA
 
Ni hotuba nzuri kuhusu katiba, lakini nina wasiwasi na utekelezaji wake, kwa sababu utawala wa Kikwete kwenye serikali na CCM hakuna 'management machinery' au 'collective responsibilities' !! Kila mtu anaongea anavyojisikia; Selina Kombani na Mwanasheria mkuu wa serikali kasema hakuna haja, leo hii imekuja ya Pinda na JK! si ajabu kesho ikaja ya Chilingati na Makamba!
Sina uhakika kama hawa watu wanaongea tu au wako makini na maneno yao!!
 
Serikali ya Kikwete bana, kila kiongozi anasema lake, Kombani anasema lake, Werema anasema lake, Kikwete lake...i don't believe you guys!!
 
Sifa kwa Cdm maana sera zake zimeaanza kutekelezwa, By remote control
No harm with zat .soft touch za cdm inapewa nafasi:violin:
 
Back
Top Bottom