Hotuba Ya JK: Tafsiri Yangu

hakika nasikitika, yani mtu anasifiwa kwa hotuba nzuri ambayo kiukweli imetengenezw na wataalamu wa propoganda kuwahadaa watu dhaifu wa kufikiria.
nashangaa hata baadhi ya Great thinkers bado hawajashtukia mchezo unaochezwa. hivi hamuawajui ccm kwa mazungaombwe na maajabu yao ya kucheza na matukio na akili za watu? jamani jamani fungukeni anataka kutupoteza ili tusahau kupiga kelele zetu kisa " mkubwa kasikia" msilogwe na hotuba ile kazeni buti. mbona isu ya rafiki zake Downs hakusema? im so sad kwa kweli Maggid bro umechakachuliwa tayari? msiwe tayari kukurupuka jamani
 
Watanzania ni wasaulifu sana leo nini hapo cha kupongzea na kusema ataandika historia mkidanganywa kidogo tu mnasahau shida zote.
Kama ni usahaulifu mbona unaanzia hapahapa JF. Tumeshasahau huyu Maggid ndiye alikuja hapa na vijiarticle vyake aki-spin mambo wakati wa kampeni za uchaguzi! Nimeshangaa juzi kaja na lile la kukutana na dr. Slaa pale Mikumi! Ili asitengwe na wenzake akaunganisha na kukutana na Makamba! Lazima kuna wenzake wamemng'ong'a ndiyo akaamua kuja na hii makala ya kijinga! Kwenye blog yake kaandika jana ndio mkataba wake wa kazi ndio mwisho, unategemea nini? Kujikosha, kujikomba, kujipendekeza kama samaki mwenye njaa aliyeona chambo kwenye ndoana! Ukisoma hii makala utaona tu imehaririwa na kamwe haikuandikwa baada ya hotuba ya JK. Mimi ningemshauri amalizie ile makala yake ya Mwamwindi akimaliza aanze stori la kaburi la Kiyeyeu lililohamishwa juzi baada ya kushindikana muda mrefu akimaliza aanze stori ya Makamba amtafute yule mama aliyebakwa na Makamba akimaliza aende Igunga akaandike jinsi Rostam alivyoigeuza Igunga kuwa Singapore ya Afrika!
 
mnasahau kuwa wenzetu walifika kwenye katiba mpya baada ya kumwaga damu na kutiana jela.

JK tunampongeza kwa kutupeleka kwenye mjadala wa jambo hilo bila ya kufika huko na kwa hilo ndio tunapomsifia

JK ni kiongozi na sio mtawala
Kwahiyo sasa tunamsifu mtu kwa kufanya kazi yake?????;
Je whats the part ya wananchi waliokuwa wanapiga kelele, taasisi mbalimbali, wapinzani wote, n.k.???? au huu mjadala umefunguliwa jana baada ya Hotuba????
 
Maggid am out...... ukishapitia ile report ya kesi ya DOWANS aliyoleta invisible please PM me hapo takuwa na chakuchangia..... huku kupeana pongezi kusiko na kichwa wala miguu hakuleti tija.
 
Watanzania ni wasaulifu sana leo nini hapo cha kupongzea na kusema ataandika historia mkidanganywa kidogo tu mnasahau shida zote.
Kama ni usahaulifu mbona unaanzia hapahapa JF. Tumeshasahau huyu Maggid ndiye alikuja hapa na vijiarticle vyake aki-spin mambo wakati wa kampeni za uchaguzi! Nimeshangaa juzi kaja na lile la kukutana na dr. Slaa pale Mikumi! Ili asitengwe na wenzake akaunganisha na kukutana na Makamba! Lazima kuna wenzake wamemng'ong'a ndiyo akaamua kuja na hii makala ya kijinga! Kwenye blog yake kaandika jana ndio mkataba wake wa kazi ndio mwisho, unategemea nini? Kujikosha, kujikomba, kujipendekeza kama samaki mwenye njaa aliyeona chambo kwenye ndoana! Ukisoma hii makala utaona tu imehaririwa na kamwe haikuandikwa baada ya hotuba ya JK. Mimi ningemshauri amalizie ile makala yake ya Mwamwindi akimaliza aanze stori la kaburi la Kiyeyeu lililohamishwa juzi baada ya kushindikana muda mrefu akimaliza aanze stori ya Makamba amtafute yule mama aliyebakwa na Makamba akimaliza aende Igunga akaandike jinsi Rostam alivyoigeuza Igunga kuwa Singapore ya Afrika!
 
jk hana ujanja wa kupigana na wakati ya mabadiliko yamefika katiba mpya ni sehemu tu ya haya mabadiliko
 
Ndugu wana JF,

Hawa watu kama wakina majjid Mjengwa ni waandishi uchwara, wao huwa wanafikiria kuandika kuwasifia watawala wakati hata kazi ya kuandikwa kwa hiyo katiba mpya haujaanza, hata hiyo tume hatujui ni watu gani wameteuliwa, hatujui mchakato utachukua mda gani? hatujui nia ya serikari ni safi au ni GIMMICKS ya kuwahadaa wananchi, halafu mtu anakuja na kuanza kumwaga sifa even the job has not began, hii ni sawa na kushangilia ushindi wa George W, Bush, that MISSION ACCOMPLISHED in Iraq while the battle has just began,

Majid, alitakiwa kuandika article ya kuonesha ni jinsi gani sasa tutaweza ku accomplish hii mission sio sifa zisizostahili kwa unafiki mkubwa, waandishi kama hawa wanapaswa kulaaniwa na taifa hili, kwani yeye anakaa kwenye sideline na kutaka kutoa cheap political point kwa mtu ambayo bado haja stahili tu earn that score. Huuu ni aina ya uandishi wa kutiliwa mashaka makubwa.

Please Mjengwa, your ruining your reputation for awarding cheap political point for somebody who has not yet earned but he might earn when the job is completed.
 
Watanzania wengine bwana sijui akili zao zipoje? kitu kidogo tu kikifanywa wanapongeza yanapotokea mambo mazito kama ya DOWANS hutawaona kabisa akina Mjengwa wakiongea chochote hapo ndo tunaposhindwa kuwaelewa. Kesho utasikia watanzania waandamana kupongeza hotuba ya JK
 
mm watanzania wenzangu nnakuvulieni kofia kwa ubingwa wa kupingana na lolote lile, liwe positive or negative


mkuu angesema kuwa katiba iliopo iko safi ila inahitaji marekebisho kidogo wangesema, kasema ataunda kamati ya jopo la wataaluma ili waangalie suala hilo pia wanasema


watanzania ni watu wagumu kuwaongoza.

Pole Rais wetu, ila ukiondoka watakukumbuka tena sana, umetufanyia mengi tena mengi tukiondowa ushabiki tunayaona na utapoondoka tutashindwa kuyahesabu.

Kokote kule Duniani hamna watu waliorahisi kuwaongoza. Ila kuna mifano mingi ya nchi ama mahali palipopass kwa uongozi bora, JK na CCM yao hawamo katika waliofikia kiwango cha kupass uongozi bora.

JK kwa kukubali kuanzishwa kwa katiba mpya ni jambo zuri sana na tunamshukuru kwa maana atatuondolea maafa ama katuepusha kutuletea Somali nyingine. Hii haina maana kua kosa la ufisadi ama kuchakachua kwenye uchaguzi tutalisahau.

Pamoja na kumshukuru JK kwa kukubali katiba mpya pia tunamsihi mchakato wa KATIBA ungesimamiwa na tume iliyoidhinishwa na vyama vyote vya siasa ili atupunguzie mzingo wa ''niamini tu ntawaletea Katiba NZURI'', wakati tunajua ni muda mrefu yeye na CCM yao wamekua wakisema katiba iliyopo inafaa.
 
wakenya ndio wakupongezwa maana yake wametuamsha watz kutoka kwenye usingizi mzito, zamani watu wachache(politicians) ndio walikuwa wanataka katiba mpya lakini sasa hivi ni watz wote na hii ni kutokana na wakenya wote... sorry
 
Sijui ni nani mchawi wetu aliyotuloga
Watanzania wengine bwana sijui akili zao zipoje? kitu kidogo tu kikifanywa wanapongeza yanapotokea mambo mazito kama ya DOWANS hutawaona kabisa akina Mjengwa wakiongea chochote hapo ndo tunaposhindwa kuwaelewa. Kesho utasikia watanzania waandamana kupongeza hotuba ya JK
 
jana alikuwa mpole balaa hasa....umma ukiamua hana ujanja
 
Maggid am out...... ukishapitia ile report ya kesi ya DOWANS aliyoleta invisible please PM me hapo takuwa na chakuchangia..... huku kupeana pongezi kusiko na kichwa wala miguu hakuleti tija.

Hawezi kusoma vitu vizito kama vile,yeye achoweza no VITABU na MAGAZETI PENDWA!
 
Hivi JK angekalia kimya hoja hii akamaliza muhula wake km wengine na nchi ikaingia katika machafuko ingekuwa nini kwake?
 
Maana, JK kama binadamu, kuna mazuri na mabaya aliyoyafanya katika utendaji wake wa kazi maishani mwake. Na katika hili la Uona Mbali juu ya Katiba yetu, basi, kama JK atafanikiwa kuongoza juhudi hizi za Watanzania kupata Katiba iliyofanyiwa marekebisho makubwa, sina shaka yeyote, kuwa ataacha legacy kwa maana ya haiba. Katiba Mpya itakuwa moja ya jambo kubwa atakalokumbukwa nalo.


Mkuu katika hiyo red nataka unikumbushe mazuri aliyofanya labda nimesahau kidogo! maana sie binadamu huwa tunasahaugi mazuri na kukumbuka mabaya tu! ila to be honest there is nothing to ring the bells for me to recall anything good from him apart from bringing and paying football Managers for our Taifa stars, and i really appreciate this but i am lost about anything positive from this president! i am sorry if i am missing something here.


 
Apologies ndugu MAggid...

Nimesoma habari yako yooote lakini nimeshindwa uelewa aina ya tafsiri unayoweza kutoa.... kwa hili naomba niseme wazi kwamba umejaza DIBAJI, na nachelea kusema kwamba kama ningekua mwalimu wako, hii "tafasir" ningeipa F

Tafsiri in simple term ingekua directly related to the speech na three dimentional analysis kwa kuangalia key stakeholders

Nisamehe Maggid hiyo si tafsiri call it something else... HIYO NI DIBAJI NA LITERATURE REVIEW TUPU
 
Hivi JK angekalia kimya hoja hii akamaliza muhula wake km wengine na nchi ikaingia katika machafuko ingekuwa nini kwake?

Vipi kama angesema "sitaki katiba mpya" na nchi ikabaki na amani?

Watanzania ndiyo tusiotaka machafuko, kwa sababu JK, EL, RA and Co wanafanya kila maouvu dhidi ya uchumi wa nchi, wanalindana na haujasikia hata sehemu moja Watanzania wameuwana kwa sababu ya madhambi ya viongozi wao.

Kwa hiyo wewe, JK na wenzenu msijifanye viranja wa kuhubiri amani.

Aliyeasisi amani kwa Watanzania ni Kambarage.


Iliyobaki ni mijizi tu.

Tunataka katiba. Kamati/Tume ya kuendesha mchakato iundwe na Bunge, siyo na JK na vibaraka wake!!

Tunataka kujua wamiliki wa Dowans.
 
ndugu wana jf,

hawa watu kama wakina majjid mjengwa ni waandishi uchwara, wao huwa wanafikiria kuandika kuwasifia watawala wakati hata kazi ya kuandikwa kwa hiyo katiba mpya haujaanza, hata hiyo tume hatujui ni watu gani wameteuliwa, hatujui mchakato utachukua mda gani? Hatujui nia ya serikari ni safi au ni gimmicks ya kuwahadaa wananchi, halafu mtu anakuja na kuanza kumwaga sifa even the job has not began, hii ni sawa na kushangilia ushindi wa george w, bush, that mission accomplished in iraq while the battle has just began,

majid, alitakiwa kuandika article ya kuonesha ni jinsi gani sasa tutaweza ku accomplish hii mission sio sifa zisizostahili kwa unafiki mkubwa, waandishi kama hawa wanapaswa kulaaniwa na taifa hili, kwani yeye anakaa kwenye sideline na kutaka kutoa cheap political point kwa mtu ambayo bado haja stahili tu earn that score. Huuu ni aina ya uandishi wa kutiliwa mashaka makubwa.

Please mjengwa, your ruining your reputation for awarding cheap political point for somebody who has not yet earned but he might earn when the job is completed.
mkuu ile siyo tafsiri, ni dibaji.... Hivi tunasoma wapi siku hizi?
 
Back
Top Bottom