Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
sorry dia pasi ya umeme,ntatafuta zile tube za dawa ntakupa feedback
nasubiria dearest.
sorry dia pasi ya umeme,ntatafuta zile tube za dawa ntakupa feedback
mweh binti yangu una roho ngumu kujichoma na pasi tena
thanx to god umerudisha ngozi yako ya asili
kuliko kuwa mnafiki niliona nimpokee Yesu wangu mazimaaaaaaaaaaaaaaaa,sasa ntaendaje na zile mark church dia,ilibidi Isack achinjwe au sio?
tetetete Fidel80 naona wewe mtaalam hilo parachichi linatumikaje?
ulifanikiwaje kuzitoa dearest...msaada hapo., kuna frnd wangu anataka kutoa yake ya kiunoni.
weka pasi mpaka ipate moto wa kutosha halafu weka sehemu yenye tatooo...hutumiwa sana na vijana wanaotaka kuji enroll na jeshi..si unajua kule tatoo haziruhusiwi
Kwa vigezo vyangu vya urembo happ hamna kitu wa kawaida sana huyu mdada
weka pasi mpaka ipate moto wa kutosha halafu weka sehemu yenye tatooo...hutumiwa sana na vijana wanaotaka kuji enroll na jeshi..si unajua kule tatoo haziruhusiwi
weka pasi mpaka ipate moto wa kutosha halafu weka sehemu yenye tatooo...hutumiwa sana na vijana wanaotaka kuji enroll na jeshi..si unajua kule tatoo haziruhusiwi
Bila Yesu bana we acha tu ujana unamambo na mafasheni ya kukopy na kupaste
Duh bora kama hukuweka tatoo Ikulu maana hata Yesu asingekusamehe hata utubu maisha yako yote
Duh bora kama hukuweka tatoo Ikulu maana hata Yesu asingekusamehe hata utubu maisha yako yote
typo error...pac?....mhh kweli inahitajika roho ngumu, msaada zaidi...unaweza kuniambia dawa gani hiyo ili nikimpa maelezo nimpe mazima mazima?
Acha tu mamy bila Yesu sijui ningekuwa wapi!sikutaka kuwa na alama tena mwilini mwangu.
Siyo macho ya nyege? Boflo?ana macho ya kiwizi wizi