georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,120
- 1,882
Hiyo ni kawaida kwa Wachagga. Kwa Wachagga bila kupiga Kiporo cha machalari/ngararimo/Shiro/ngashi/sowe/shia na chai siku yao haijaanza.Sasa si afadhali hata huo unapikwa asubuhi watu tushakula sana kiporo cha ugali na chai asubuhi alafu freesh tu unadunda mtaani!
Kwa kawaida(watu waliokulia mjni tunakuwa washamba kwa mambo ya kijijini). Hata mm siku ya kwanza kuona ugali asbh nilipoenda Mugumu mwaka 2010, sa1 watu na nguna...hakika nilishangaa sana! Ndipo nikawa najua kumbe ugali ni chai
"Lete rungu kwa kichuri". Maana yake ni ugali wa mtama uliochanganywa kwa mhongo kwa nyama ya mbuzi. Pembeni lazima kuwe na pilipili.kati ya watu walionishangaza kwa mwaka huu we ni wakwanza, kwani manyerere ameelezea kichuri ni nini? na mbaya zaidi kwa kujiamini unasema umezugwa,soma upya post ya manyerere kwa umakini utamwelewa kitu alichokieleza.
umenikubusha ubhusara iyo kitu tamu balaa,wanakateknolojia kao jinsi ya kutengeneza,ila mwisho wa maneno kuna uji wao special wanutengeneza wakati wa harusi,jina nimesahau la huo uji,ni mtamu kupita maelezo,hii watu ya pande ya tarime inafaidi vitu vitatamu tamu.
aliokwambia ugali unaliwa mchana tu ni nani?
Hiyo ni kawaida kwa Wachagga. Kwa Wachagga bila kupiga Kiporo cha machalari/ngararimo/Shiro/ngashi/sowe/shia na chai siku yao haijaanza.
Aaah! umenikumbusha mbali sana, Nguku nilikwea nikiwa na miaka minne, kutokea Kibumaye via Kenyamanyori kila siku, sijui ng;enyi bado ipo! Irityambwe? jamani ile mboga ya thamani sana sijawahi ona!Teh... mie nimesoma Kiribho mura!!!!
Mmiliki na wateja wa hiyo hotel itakuwa from MbeyaKwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hotel kadhaa zikaamua kupika saubuhi chakula kinacholiwa mchana,bila kujali ni ndizi,wali ama ugali na maharage
Dar! wewe huijui vizuri Mzee Mgaru wa Pugu/ Lumumba anapika ugari saa kumi na moja kila siku na nyama mchemsho vichwa vya ngombe. Mpaka saa sita mchana anamaliza mchezo!Kama umekulia Dar, lazima iwe BIG news. Mkoani hiyo kitu ni kawaida sana, kutokana na nature ya kazi zao, ambazo nyingi ni za nguvu. Nikawaida sana ukifika mji kama Mwanjelwa Mbeya kukuta ugali na wali viko tayari saa 12 asb. Watu wa minadani ambao hawana nafasi ya kula pia hula ugali ama wali mida hiyo ya asb
Dar! wewe huijui vizuri Mzee Mgaru wa Pugu/ Lumumba anapika ugari saa kumi na moja kila siku na nyama mchemsho vichwa vya ngombe. Mpaka saa sita mchana anamaliza mchezo!
Uwe mwiseke au mohgaikolo
Akumbukwe daima mkuu Nelly Nyamachoma RIPNjoo hapa kwetu Iringa keepleft ya uwanja wa samora, kama waelekea down ya ipogolo asubuhi nguna unapata tena nyeupe kabisa haina pumba kwa nyama choma .........