Wakuu Salaam,
Jamaa yangu anatafuta sehemu nzuri yenye usalama na ya bei ya kati say Tsh 30,000/ - 50,000/= katika mkoa wa Morogoro kwa ajili ya ziara ya kikazi wiki ijayo.
Msaada wowote unakaribishwa na shukrani zinatangulizwa
Tex palace hii ya wakibosho ina usalama?AENDE TAXPALACE AU HILUX HOTEL A
Naamini ni salama kwani vibosile wengi wanafikia hapa, au toplife karibu na kona ya kwenda SUATex palace hii ya wakibosho ina usalama?
Hivi hiyo nayo si ya huyo mwenye Tex palace?Naamini ni salama kwani vibosile wengi wanafikia hapa, au toplife karibu na kona ya kwenda SUA
kwa kweli sijui..nahisi ni watu wawili tofauti au aende msamvu kwenye ile ya Boss wa zamani wa TRA na zingine kama tatu za magorofa around pale kama Gwami etcHivi hiyo nayo si ya huyo mwenye Tex palace?
Hilux mmmh!AENDE TAXPALACE AU HILUX HOTEL A
Yeah Fromi iko njema.Fromi hotel iko pouwa sana
Weka na bei elekezi kabisaFromi hotel iko pouwa sana
Bei zao zikoje??Midland ni nzuri nilifurahia Huduma zao.ipo msamvu Barabara ya kuelekea iringa pia gharama zao ni nafuu .
Neema House...???? Hapana ubora sanaIla awe makini sana kuna vibaka sana Morogoro ajihadhari kwenye matembezi yake hasa nyakati za usiku. mwisho namshauri afikie Neema House iko hapo Msamvu ni salama, pasafi, pazuri sana
Kuanzia 35 na kuendeleaBei zao zikoje??
Huko vibandani si kwa vibaka?Nenda city drem lodge,vibandan karibu na dolphine