Hoteli au Lodge gani ya bei ya kati Morogoro?

Hoteli au Lodge gani ya bei ya kati Morogoro?

Kuna moja inaitwa kimbinyiko iko misufini ni nzur sna
 
Nenda Sparks, pazuri sana na pametulia, bei ni kuanzia 25,000 mpaka 50,000
 
Wakuu Salaam,

Jamaa yangu anatafuta sehemu nzuri yenye usalama na ya bei ya kati say Tsh 30,000/ - 50,000/= katika mkoa wa Morogoro kwa ajili ya ziara ya kikazi wiki ijayo.


Msaada wowote unakaribishwa na shukrani zinatangulizwa
Midland hotel karibu kabisa na stand kama anaenda mini elfu 30
 
Back
Top Bottom