Hoteli au Lodge gani ya bei ya kati Morogoro?

Hoteli au Lodge gani ya bei ya kati Morogoro?

Piga midland just hapo msamv...hahaa ila ikifija saa nne za usiku usihamishe hamishe chanel za tv huwa wanaweka movie za usiku mnene...adamu na hawa wake
 
Piga midland just hapo msamv...hahaa ila ikifija saa nne za usiku usihamishe hamishe chanel za tv huwa wanaweka movie za usiku mnene...adamu na hawa wake
[emoji23] [emoji23] [emoji85]
 
kwa kweli sijui..nahisi ni watu wawili tofauti au aende msamvu kwenye ile ya Boss wa zamani wa TRA na zingine kama tatu za magorofa around pale kama Gwami etc
hiyo ya boss wa zaman wa TRA unamaanisha njia ya mfalme..?
 
top life round about ya sua kuanzia 30 elfu
 
Wakuu Salaam,

Jamaa yangu anatafuta sehemu nzuri yenye usalama na ya bei ya kati say Tsh 30,000/ - 50,000/= katika mkoa wa Morogoro kwa ajili ya ziara ya kikazi wiki ijayo.


Msaada wowote unakaribishwa na shukrani zinatangulizwa

Mkuu aende City Dream Lodge, pazuri sana. Ipo maeneo ya vibandan karibu na Dolphin. Dereva wa teksi yeyote atakupeleka hapo
 
mjini kati mtaa wa kahimba lodge poa sana
 
Back
Top Bottom