Hotel nzuri morogoro kwa mapumziko

Raimundo

JF-Expert Member
May 23, 2009
13,416
12,600
Jamani kuna siku humu jamvini niliomba maelekezo ya Hotel za mjini Morogoro kwa mapumziko, bahati mbaya niliondoka hewani ghafla na zoezi halikufanikiwa (kuna vimatatizo vilijitokeza), nataka kuresume ratiba.
Naomba kwa wale waliotoa maelekezo yao na wengine wenye kujua wapi niende wanisaidie kunielekeza. Hope nitapata ushirikiano wenu wana jamvi.
 
kuna hotel pale karibu na stendi sikumbuki jina, ila ukishuka tu kwenye basi utaiona au uliza wale wapiga debe.
 
Kwa vile umetaja hotel basi sidhani kama unataka kujua kuhusu guest house ambazo ziko nyingi zenye hali nzuri sana na ukiacha bei kuwa poa nazo huduma kama most hotels. kujibu ombi lako jaribu hotal hizi

  1. Morogoro hotel. sasa imekarabatiwa na iko juu. mandhari mazuri sana
  2. Hilux hotel, hii malazi mazuri ila imejibana sana. eneo limejaa hakuna mandhari nzuri
  3. Dragoner, wana vyumba vichache ila pametulia sana
  4. Arc Hotel, Mpya na view yake nzuri san, wana garden kubwa kuliko hotel zote morogoro. Sijui kuhusu malazi. Ila wana excellent food services
  5. Oasis Hotel, hii ya siku nyingi kidogo. malazi nadhani pamechoka kiasi, ila wana huduma nzuri na chakula poa. mandhari nitulivu
 
Kuna ile aliyokuwa Mh Ditopile kabla mauti hayajamkuta..jina nimeisahau.
 
ukimaanisha nini? sidhani kama tanzania tumeshaanza kutumia star ratings, ila unaweza sema ziko 3 stars
 
Kwa vile umetaja hotel basi sidhani kama unataka kujua kuhusu guest house ambazo ziko nyingi zenye hali nzuri sana na ukiacha bei kuwa poa nazo huduma kama most hotels. kujibu ombi lako jaribu hotal hizi

  1. Morogoro hotel. sasa imekarabatiwa na iko juu. mandhari mazuri sana
  2. Hilux hotel, hii malazi mazuri ila imejibana sana. eneo limejaa hakuna mandhari nzuri

    [*]Dragoner, wana vyumba vichache ila pametulia sana
    [*]Arc Hotel, Mpya na view yake nzuri san, wana garden kubwa kuliko hotel zote morogoro. Sijui kuhusu malazi. Ila wana excellent food services
  3. Oasis Hotel, hii ya siku nyingi kidogo. malazi nadhani pamechoka kiasi, ila wana huduma nzuri na chakula poa. mandhari nitulivu

Nipe maelezo ya kina kuhusu hizi nilizored, uhitaji wa kufanya booking, nitafikaje etc
 
Jamani kuna siku humu jamvini niliomba maelekezo ya Hotel za mjini Morogoro kwa mapumziko, bahati mbaya niliondoka hewani ghafla na zoezi halikufanikiwa (kuna vimatatizo vilijitokeza), nataka kuresume ratiba.
Naomba kwa wale waliotoa maelekezo yao na wengine wenye kujua wapi niende wanisaidie kunielekeza. Hope nitapata ushirikiano wenu wana jamvi.

labda nikusaidie kwa arc hotel! hii ni hotel mpya na ina huduma nzuri sana za misosi, for bed n breakfast wana charge 50000 kwa single na 65000 dauble. hizo tariffs ilikuwa ni mwezi wa tisa mwaka jana hope bado zinatumika hizo.
 
Kuna kitu moja inaitwa B-Z iko maeneo ya nane nane imetulia sana........hasa vile vibanda vyake vya kulia kinywaji pale nje......yaani vimechimbwa kukuweka kidharura dharura
 
Kwa vile umetaja hotel basi sidhani kama unataka kujua kuhusu guest house ambazo ziko nyingi zenye hali nzuri sana na ukiacha bei kuwa poa nazo huduma kama most hotels. kujibu ombi lako jaribu hotal hizi

  1. Morogoro hotel. sasa imekarabatiwa na iko juu. mandhari mazuri sana
  2. Hilux hotel, hii malazi mazuri ila imejibana sana. eneo limejaa hakuna mandhari nzuri
  3. Dragoner, wana vyumba vichache ila pametulia sana
  4. Arc Hotel, Mpya na view yake nzuri san, wana garden kubwa kuliko hotel zote morogoro. Sijui kuhusu malazi. Ila wana excellent food services
  5. Oasis Hotel, hii ya siku nyingi kidogo. malazi nadhani pamechoka kiasi, ila wana huduma nzuri na chakula poa. mandhari nitulivu

Hiyo niliyoweka kwenye nyekundu wao ng'ombe ni mungu wao kwahiyo hawana huduma ya nyama hapo kama unapenda kula nyama.
 
kuna hoteli Fulani moro gari inafichwa kwenye kijumba chenye mapazia (inafaa wakina Baba Fanueli=wezi wa wake za watu)
 
Bao tatu lodge iko msamvu au makumaku guest iko njia ya kwenda SUA
 
Kingsway,midland na gwami hotel zote zipo karibu na stend ya msamvu na ni nzuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom