Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

unabisha?
Hapana mdau. Ila nimehisi mtaalamu hiyo kitu. Kwa hivyo ukitaka kula ndogo unashindwa jinsi ya kuomba unaweka kidole tu pale kwenye ndogo ukiona mtu hagomi au anafurahia unajua ndio vile tena...duh!
 
Hii kitu wanawake mna mchango mkubwa sana...

Mimi nitauliza swali; Hivi zile picha zenu mnazopiga mmetugeuzia wowowo zenu huwa mna maanisha nini kama siyo kututega tuzitumie.

Kitendo mdada kufikiri kuwa atamvutia mwanaume kwa wowowo basi amini akiombwa seriously atatoa tu
 
Huu ni mtandao wa jamii na kazi yake ni kuelimisha jamii.

Kuna hii tabia imeibuka ya ufanywaji mapenzi kinyume cha maumbile. Dunia imeharibika hii sio mchezo. Asilimia kubwa ya wanawake tulishapitia dhahama ya kuombwa huo mchezo na wengine wameshafanyishwa kabisa.

Najiuliza jamani haya mambo nyie wanaume mmejifunzia wapi? Yana raha gani mkiulizwa? Na msipofanya mtakuwaje?

Acheni kuwachezea watoto wa watu hao ndo mama na binti zenu wa kizazi kijacho

cc kwa serikali
Ombi kwa serikali yetu, kuna haja ya kufanya kampeni juu ya jambo hili, vijana wa kike na wa kiume wanapaswa kujulishwa madhara yake, wanapaswa wajitambue.
Hivi Mwanamke akikata Kufirwa nini Kitatokea? Aatalazimishwa au... Kikubwa Kinachotokea nikuwa Wanawake wameona kuwa ili waweze kumshika mwanaume awaye yeyote ni mpaka ampe nyuma na hii ni mwendelezo wa ile tabia ya kuanza Kunyonya Uume wa Mwanamke na Ikaja tabia ya Kunyonya Uke wa Mwanamke kuwa Mwanaume akimnyonya lazima hataachwa? Kwa hiyo unaweza kuona kuwa huu ni muendelezo wa kuhisi kuwa Mwanamke bila kufirwa anaona hajamlidhisha Mwanaume au ni Njia ya Kumshikilia ili apate Huduma ya Kifehda. Kwa kifupi anayeendekeza Mchezo huu ni Mwanamke.. Mfano Wakikataa Kufirwa watakosa nini????
 
Hivi Mwanamke akikata Ku***** nini Kitatokea? Aatalazimishwa au... Kikubwa Kinachotokea nikuwa Wanawake wameona kuwa ili waweze kumshika mwanaume awaye yeyote ni mpaka ampe nyuma na hii ni mwendelezo wa ile tabia ya kuanza Kunyonya Uume wa Mwanamke na Ikaja tabia ya Kunyonya Uke wa Mwanamke kuwa Mwanaume akimnyonya lazima hataachwa? Kwa hiyo unaweza kuona kuwa huu ni muendelezo wa kuhisi kuwa Mwanamke bila ku***** anaona hajamlidhisha Mwanaume au ni Njia ya Kumshikilia ili apate Huduma ya Kifehda. Kwa kifupi anayeendekeza Mchezo huu ni Mwanamke.. Mfano Wakikataa Ku***** watakosa nini????
Sio siri ukikataa unabaki na rinda lako comfortable kbs...mana ukimpa sio dawa ya kumtuliza..why bother?..
Mtu anatulia na wewe akitaka baas
 
*Naapa kwa Mwenyenzi Mungu Mtukufu Muumba mbingu na ardhi aliye juu mbinguni.
*Hakika wanaume na wanawake wanaofanya matendo ya namna hii mimi sipo pamoja nao kabisa.
*Nakuomba ewe Mwenyezi Mungu Mtukufu uniweke mbali na matendo haya, mimi pamoja na kizazi changu chote.
*Uwape malipo wanayostahili watu wote wanawake na wanaume wanaofanya matendo haya siku ya kufa na kufufuliwa kwao.
Amen.
Hao watu wa matendo hayo walaaniwe milele wao na kizazi chao!
Haponi mtu tena!
 
Wale wanawake waliombwa Tigo na wanaume mkuje huku mtueleze kama mliombwa na mliombwaje na mkawajibu nini?
 
Itakuwa enzi na enzi kuna mwanaume alionjeshwa na mwanamke basi ndio imeshika kasi hadi sasa wapo baadhi wanapenda kufanyiwa 073
 
Sio siri ukikataa unabaki na rinda lako comfortable kbs...mana ukimpa sio dawa ya kumtuliza..why bother?..
Mtu anatulia na wewe akitaka baas
To be honest hizi Mambo zilianza kama Mchezo...

Kwanza Wanawake kulazimishwa kunyonya Umme kama ishara kuwa unampagawisha , wengine waleinda mbalia mpaka kuweka kipini kwenye ndimi zao.. Hiyo ni Moja ya Kazi zao... Walipooona kuwa Kunyonya uume kwa kutumia kipini haiwezekani kumshika Mwanaume wakaja na style ya kumeza Mapumbu na kuingiza Ulimi kwenye njia ya haja kubwa ya Mwanaume.. Hiyo nayo ikabuma japo kuna wanaoiendeleza.. Ukimwona Mwanamke anakipini kwenye Ulimi kazi yake ndiyo hiyo asikudanganye kabisa.

Kumbuka hiyo ya Juu ilitanguliwa na kunyonyana Ndimi baada ya kuona hizo zote zinagonga Mwamba sasa wakaja na style hii ya Kufirwa ili kumshika Mwanaume hasa mume wa mtu na wengine hata wasipoambiwa na Mwanaume wanafanya mastyle ambayo mwisho wa siku wanaume wanshtukia kitu kimeshaingia kwenye haja kubwa na utasikia mtoto wa kike anajibaraguza kusema kwa nini umenifanyia hivi sipendi kumbe kajiingizia mwenyewe.

Hii tabia ndio chanzo kikubwa cha Ndoa Nyingi Kuharibika na Kuvunjia na ndiyo Chanzo Kikubwa cha Wadada wengi kujifungua kwa Kisu... Hakuna sababu Nyingine.

Wengi wameharibika wakiwa mashule wale waliokuwa wanahitaji kuwa na kuishi maisha ya juu kuliko uwezo wa Familia zao.

Kikubwa Asilimia kubwa ya Wadada wengi wana[penda kufirwa kuliko kutombwa nyuma ndiyo maana style pekee wanaoipenda ukiwauliza walio wengi watakwambia wheelbarow style au Chuma Mboga Yote hayo ni kujiteua ili umuuingilie njia ya haja kubwa..

To be honest Wewe Mwanamke Usipokubali unadhani utalazimishwa au utachekwa kuwa hujui sijui mnayaita Mapenzi????
 
Tatizo hili ni kubwa sana. Ukipita kwenye mitandao unakuwa wanaume wanatafuta wanaume wenzao kufanya mapenzi, unakuta wanawake wanajitangaza kuwa wanauza kotekote hivyo ni tendo linalofanyika kwa hiari na utashi wa washiriki. Sijui kama wanaweza kuacha kwa kukemewa mitandaoni!
Cha msingi, kama hujaanza usijiingize! Nasikia ukianza ni vigumu sana kuacha! Ila ni laana tu!
 
Back
Top Bottom