Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
Bas ni tegeta missionRabininsia sio kibaoni mkuu, kule mbali kabisa, kunaitwa namanga
Bas ni tegeta missionRabininsia sio kibaoni mkuu, kule mbali kabisa, kunaitwa namanga
Hii ni kawaida aisee. Unapewa dawa kibaaao especially anti-biotics na madawa ya kifuaPia wana tabia ya kukurundikia madawa yani mtoto Ana homa tu nilirundikiwa mada mapaka basi .... nyumbanikwangu kumegeuka pharmacy ndogo
Inategemea una tatizo ganiKuwa serious basi , mimi nahudhuri klinik ya mtoto muhimbili. Gharama ni nafuu kuliko private
Hapo sawia jamaaInategemea una tatizo gani
Private Hospital zilizo timamu zipo chache sana zilizobaki zote vimeo,halafu kuna huu utitiri wa dispensary ili ni janga kubwa sanaHapo sawia jamaa
Ila Angalau muhimbili kidogo nafuu kuliko majority ya private hosps.
Ukiwa na bima unacheleweshewa huduma, ukiwa na cash unapigwa za kichwaUsichokijua ni kwamba watanzania wenye bima ya afya ni 14% tu.
Unaijua synergistic na additive effect?Halafu kuna hii tabia ya kurundikiana dawa, unakuta unapewa pain killer aina mbili tofauti, antibiotics aina tatu tofauti na dawa ya malaria hapo unaumwa malaria tu.
Wengine wanakucharge dawa za wiki halafu ukienda pharmacy unapewa dawa za siku tatu tu. Nilishapotezaga imani na hizi zahanati binafsi.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Dawa yao ni kuwashtaki tu haiwezekani wafiche taarifa za mgonjwa
Hao Consolata ni hospital za shirika la masista huwa hawajiendeshi kibiashara,na kuna baadhi ya ya hospital zao wanapewa wafanyakazi na serikali.Kuna hospital inaitwa Mt. Consolata huko Ikonda Makete kule gharama za matibabu ni ndogo kero ni gharama za nauli kuifikia
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ukigundua hili.... Take time kumchallenge anayekurundikia madawa yote hayo.Halafu kuna hii tabia ya kurundikiana dawa, unakuta unapewa pain killer aina mbili tofauti, antibiotics aina tatu tofauti na dawa ya malaria hapo unaumwa malaria tu.
Wengine wanakucharge dawa za wiki halafu ukienda pharmacy unapewa dawa za siku tatu tu. Nilishapotezaga imani na hizi zahanati binafsi.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Kuna hospital ipo mbezi kwa msuguri,Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.
Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio kengele ikalia kichwani na kujua hapa kuna shida. Nikaomba niandikiwe ni sindano gani ili nichome mbele kwa mbele, hapo dokta akaanza kukataa anasema harusiwi kutoa hicho kitu inaweza kumletea shida kikazi, ilileta ubishi mkubwa sana kwakuwa mimi nimeshalipa kukuona na kila kitu kitoka kwako nimeshalipia na gharama za vipimo hapa niandikie hizo dawa mi niondoke, ndio kwa mbinde nikapewa majina ya hizo dawa.
Nikaenda pharmacy ipo opposite tu na hiyo hospital hizo dawa hapo wanauza 7,000/= tu na lile bomba la sindano ni 500/= Nikamlipa nesi 3000 nikachomwa sindano yaani 10,000/= nikawa nimepata tiba ambayo ilibidi nilipe 37,000/=
HOSPITALI MUWE NA HURUMA NA WATEJA WENU, MTU AKIUMWA ISIWE NAFASI YA KUMPIGA, SIO POA KABISA
Kuna hospitali wanaitwa wauguzi wanaulizwa mbn dawa hizi na hizi hamziandiki zimejaa store tu. Kuna siku et jamaa kaandikisha cheti wanapigiana simu huyo anapesa fanya kweli. Hivi hii ethic kweli?.Ukigundua hili.... Take time kumchallenge anayekurundikia madawa yote hayo.
We unazungumzia Rabinsia yeye anamaanisha Kitengule...Au ile inayoanza na herufi ' R ' na inaishia na herifi 'A ' pale kushoto kama unatoka Mwenge ?
Ukimkuta clinical officer utamharibia siku kabisa kwa kumuuliza hilo swali litakalo mpiga K.O kikatili.Unaijua synergistic na additive effect?
Kabla haujapewa dawa jaribu kuuliza maswali kwa mtoa huduma wa afya
Nahisi hiyo hospitali itakuwa ina jengo la gorofa.
Wewe ni CO niniUnaijua synergistic na additive effect?
Kabla haujapewa dawa jaribu kuuliza maswali kwa mtoa huduma wa afya